Mbopo:
1(red): - Kama ulifuatilia kesi ile vizuri utajua kwamba kinachofanyika sasa hivi ni kuinyonga haki na dhana ya kwamba wakubwa hawastahili kwenda jela! Hii inajulikana kama PREJUDICE. Nani kakwambia wewe una uwezo wa ku-judge? Washitakiwa hata hwajaanza kujitetea wewe tayari unapitisha hukumu? Au kama walivyosema Wakwere wenzako, lazima profesa aende na maji?
2 (blue): - Kama ungekuwepo pale IFM (mimi nilikuwepo) wakati wa video evidence ambayo Marando aliipinga sana (bila mafanikio) ungejua kwamba nchi hii ilipaswa kugeuka kuwa China kwa muda na kumtia adabu Mahalu
Sheria ya kutumia video conference kwenye uendeshwaji wa kesi, na yatokanayo ndio kwanza imepita. Wakati ule ilikuwa bado! kilichojiri pale ni kituko ukiacha ukiukwaji wa taratibu na haki . Unathubutu kukiri kwamba ulikuwapo pale! Kama umesomea sheria na ukafuzu(?) basi wewe ni walewale wa za chupi. Shame on you
3 (darkred): - Kama ungekuwepo pale IFM (mimi nilikuwepo) wakati wa video evidence ambayo Marando aliipinga sana (bila mafanikio) ungejua kwamba nchi hii ilipaswa kugeuka kuwa China kwa muda na kumtia adabu Mahalu Wewe mzushi. Muuzaji wa jengo lile hajawahi kutoa ushahidi wowote. Upande wa mashitaka ulipaswa kuwasilisha ushahidi wa muuza jengo. Hawakufanya hivyo. Badala yake wakatumia mihela kibao kumleta yule Notary Public na kuhakikisha anasema waliyotaka kusikia. Ilipofika zamu ya Utetezi kumhoji, HAKIMU MWANGESI akachomoa. Ati mda umekwenda sana, ipangiwe siku ingine. Siku hiyo ni ile ya video kwani Papi alikataa kata kata kurudi Bongo. Shahidi wa piili toka Italia, Avvocato Georgio alifariki siku moja kabla ya kujitokeza kwenye video conference hiyo hiyo. Wewe Mbopo, URONGO ni URONGO tu hata upindishe vipi!
... By the way kwani Mwandosya angeadabishwa kwa kitu gani vile? Anahusika vipi?
.... By the way, DPP alipoenda kwa Mzee Mkapa akimsihi ajiengue kwenye ushahidi alitolewa nje, sawasawa na Mzee Warioba na wengine wote. kwa taarifa yako na wenzako, Mzee wa watu yuko tayari kwenda pale Kisutu hata kuwa in-person badala ya Kamera. Siku hiyo wewe na wazushi wenzako mchimbe.