Pdidy
JF-Expert Member
- Nov 22, 2007
- 56,915
- 30,970
baada ya muda mrefu serikali kuheshimu matakwa ya wana JF Na kujua kumbe mengi tyasemwayo huku ni ya kweli tofauti na walivyojua mwanzoni,,serikali imeamua kutoa gov gurantee kwa masharti mengi tu ambayo kwetu sie tunaona kama kumwambia bwana DAVI na wenzake wajitayarishe kufunga virago,,na hapo ndipo tulipogundua kwa nini hawa ndugu zetu wanakula kwa fujo hivi,,,hebu angalia gurantee aijatoka wamepeleka RUBANI anajiita mazulwa na kakaa wiki mbili majuzi kapiga simu anawaambia nakaa ten wiki mbili nitumieni hela,,embu angalieni wasivyo na uchungu analipwa doller 400 kwa siku anakaa siku 31,,doller 12,000..
jamani kampuni ikifa mungu ataweza hata kuwanyanyua kwa ulaji huu.....mi sisemi niko nje kwa raha zangu kazi kwenu watanzania....sisi tumeamua kubeba mabox imani imetushinda kwa watanzania,,,mwisho nashauri wawepo wanaandishi wengi na watanzania siku ya kupokea mkangafu wetu ambao ni laana kwa wajukuu zetu wajayo....tatizo si watu bali ni roho zao hazina uwepo wa mungu kabisa wala kumwogopa mungu,,,swali je hii ndege itaimaliza atcl???????????????????au itaimarisha atcl?????????
kwenu wadau hii ni kampuni yenu na wala si watu binafsi tunaitaji hoja zenu,,,
wenu
mtanzania-mzamiaji
jamani kampuni ikifa mungu ataweza hata kuwanyanyua kwa ulaji huu.....mi sisemi niko nje kwa raha zangu kazi kwenu watanzania....sisi tumeamua kubeba mabox imani imetushinda kwa watanzania,,,mwisho nashauri wawepo wanaandishi wengi na watanzania siku ya kupokea mkangafu wetu ambao ni laana kwa wajukuu zetu wajayo....tatizo si watu bali ni roho zao hazina uwepo wa mungu kabisa wala kumwogopa mungu,,,swali je hii ndege itaimaliza atcl???????????????????au itaimarisha atcl?????????
kwenu wadau hii ni kampuni yenu na wala si watu binafsi tunaitaji hoja zenu,,,
wenu
mtanzania-mzamiaji