Mkandarasi achota 3bn advance akimbia! Alipewa kujenga km 26 za lami wakati hana ujuzi wowote...


...mkuu' ni kwa sababu viongozi wetu karibia wote ni feki..., ukianza na mkubwa wao!
 

Tatizo ni kuwa hawakuomba authenticity ya submitted Advance Bank Guarantee kabla ya kulipa invoice ya advance payment. Kwa mradi wa 26Bilion ilikuwa ni lazima ku-request for authenticity kwa banker wake or Insurance Company kama waliruhusu insurance.
 

Mambo anayotakiwa kufanya contractor kabla ya advance payment ni pamoja na Bank Guarantee. Kama nimesoma vizuri mtoa mada amesema Guarantee iliyokuwa submitted ni feki.
Watu walijipanga kiwizi wizi tangu awali. Ni movie ambayo walijua mwisho wake.
 
Ujinga wa watanzania utatuponza sana. Sitashangaa mabilioni haya ya walipa kodi yakinyamaziwa na maccm

Sent from my BlackBerry 9780 using JamiiForums


Tunaelekea uchaguzi mkuu, miongoni mwa mbinu za kupata fedha ya kampeni ni hizo
 
hao wafanyakazi waliokwenda huko nchumbiji kuona hizo kazi na kuhakiki hizo document tutajiwe majina yao au waanze kuchunguzwa
 
magufuli ni mwizi wa nyumba za serikali,tangu lini jizi likawa jembe!mwakyembe ndio njaa tupu.
 
Hivi kwanini serikali isitumie Balozi za nchi husika ku certify kampuni inayotaka kufanya kazi na sisi kuepuka haya......hatukujifunza kwenye Richmond na mengine kibao? Au ndio kutengeneza loop holes za kupiga? Kama ubalozi wa UK hapa ungetumika vizuri walau kuna taarifa za msingi zingejulikana......

.......Kweli Tanzania ni nchi yenye kila kitu isipokuwa Watanzania....:A S 13:
 

Mkuu usitegemee hii serikali inayoongozwa na Chamacha Mapinduzi kumuadhibu mzembe hata siku moja!

Wangekuwa wanafanya hivyo matatizo ya aina hiiyangekuwa yamepungua. Chukulia madudu yaliyofanyika katika kubinafsishamashirika ya Reli na Ndege kwa mfano. Baada ya wawekezaji waliowekwa kuzidikuyadhoofisha haya mashirika na mikataba yao kuvunjwa na serikali hiyo hiyoiliyowapigia debe, nani kachukuliwa hatua zozote?!

Kwa hii nchi, kulindana hata katika maswala yanayosabibishia nchi hasara imekuwa ni jambo la kawaida kabisa!
 
Mkuu kama hii issue ni kweli, kinachofanyika ni makusudi kwa kuwa taratibu za tender iwe ndani ya nchi au za kimataifa zinamlolongo mrefu ikiwa pamoja na kuwasilisha company profile na at least kazi mbili tatu ilizofanya plus vitu vingine kama bank statement na usajiri wake then serikali inafanya certification based na hizo information kabla ya kutoa tender, we si umeona UDA ipo hapa hapa nchini lakini kauli zinabaki sintofahamu wakati hata kwa simu tu unamaliza utata.
 
Bora hata angepewa Nyanza road hata akichakachua na kujenga chini ya kiwango lakini ni wa hapa hapa
 
Bora hata angepewa Nyanza road hata akichakachua na kujenga chini ya kiwango lakini ni wa hapa hapa

Kaka nyanza road wanajitahid sana, nenda kaangalie barabara alizojenga dodoma mjini, huwezi fananisha na za arusha mjini ambayo alifanya mchina. Project zote zilikuwa financed na world bank kupitia Tanzania strategic cities project.
 
Dah inasikitisha saana. Hao maofisa wa tan roads waloenda huko Msumbiji na Ghana wanastahili kunyofolewa korodani bila ganzi kisha wanyongwe pum.ba.vu kabisa.

Mkuu ndo nchi yetu hii watanzania na hapa ndipo tulipofikishwa. Punguza tu hasira ndugu yangu maana yake unaweza kukuta hao maofisa wa Tanroads ni wa ile jinsia nyingine kwa hiyo hawana hiyo makitu ya kunyofolewa!!!!
 

Yasioyowezekana nchi yoyote ile, Tanzania yanawezekana. Na bado mengi yatatokea hadi hapo Wananchi watakapoamua kama Malawi walivyoamua!!!!!!!!!!!!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…