Mkandarasi achota 3bn advance akimbia! Alipewa kujenga km 26 za lami wakati hana ujuzi wowote...

Muhongo alishasema yote kuhusu mbunge wa eneo hilo. Wanamererani wanatakiwa sasa kuhakikisha wanafanya kweli 2015. Sehemu ya barabara hii ipo mkoa wa Manyara na sehemu nyingine ipo mkoa wa Arusha. Hivyo wabunge wahusika wote wanatakiwa kulivalia njuga swala hili na maelezo ya kina yatolewe bungeni. Nadhani Nasari na Sendeka wafanyie kazi hili swali kwa pamoja kwa maslahi mapana. Bunge lijalo litaanza mwezi wa saba. Hivyo wawahishe swala la kizushi kuulizia ni lini ujenzi wa hiyo barabara utaanza na kuisha. Then kwenye maswali ya nyongeza ndo wamwage nondo kali na kuomba uchunguzi wa kina ufanyike. Wanawezavhata kuloby wabunge wenzao wenye uchungu na fedha za umma kuongezea nguvu
 
Company Profile

Strada, a family owned group of companies, has since inception not only achieved its initial objectives but has expanded operations with offices in four continents – in Beirut, London, Houston and Nairobi including branches and other offices in those continents.

The Strada Group has for over thirty six years served the petrochemical industry and through its world wide branches has established an international reputation in the fields of engineering and construction of onshore pipelines, storage tank farms, gathering and pumping stations, refineries and industrial plants. Cross-country pipeline activities include the installation of river crossings by the horizontal directional drilling technique.

During this period the Group rapidly diversified into other fields of construction and broadened its range of services to the industry to include water supply systems, sewage and waste water schemes, water pipelines, roads, highways, buildings, housing estates, hospitals, marina works, hotels and leisure facilities.

The skills, experience and resources gained over the period, combined with a proven track record of completed high quality work, enable the Strada Group of Companies to undertake major projects anywhere in the world.

Source: Stradacivils International - Company Profile

 
http://www.pesatimes.com/news/tenders/strada-international-disappoints-tanroads

Kweli hii nchi shamba la bibi. Inamaana jamaa kama wangecyeki google wangeona hii kitu. Istoshe huko uk ilikuwa haipo verified.

http://companycheck.co.uk/company/0...LDING--CIVIL-ENGINEERS-LTD/financial-accounts

Hiki ni miongoni mwa nilivyovipata baada ya kusearch kwenye Google.

Company information

Company type: Private Limited Company
Company number: 07546113
Company status: Active

country of origin: United Kingdom
incorporation date: 2011.02.28
last member list: 2013.02.28
has UK establishment: No
has appointments: Yes
in liquidation: No

Company directors and board members:


KARAMJEET SINGH MUDAN (current)
Director, 2011.04.01
275 SWAKELEYS ROAD ICKENHAM , UXBRIDGE
UB10 8DR, MIDDLESEX
ENGLAND

GURMIT BHURJI (resigned)
Director, 2011.04.01 - 2012.08.01
33 ZERMATT ROAD , THORNTON HEATH
CR7 7BL, SURREY
ENGLAND

ELIMBOTO SINDA ISINGO (resigned)
Director, 2011.06.01 - 2012.08.01
PLOT NO 837 BLOCK A TEGETA WAZO HILL KINONDONI MUNICIPALITY , DAR ES SALAAM
TANZANIA
Born: 1969
Nationality: TANZANIAN
Country: TANZANIA
Posttown: DAR ES SALAAM
Country of residence: TANZANIA

BARBARA KAHAN (resigned)
Director, 2011.02.28 - 2011.02.28
WINNINGTON HOUSE 2 WOODBERRY GROVE , NORTH FINCHLEY
N12 0DR, LONDON

FAROUK AHMED MALIK (resigned)
Director, 2011.04.01 - 2012.08.01
8 PROCTORS CLOSE , FELTHAM
TW14 9NB, MIDDLESEX
ENGLAND
 
Huyu ELIMBOTO SINDA ISINGO ambaye alikuwa director wa Strada International alishawahi kushtakiwa Mahakama Kuu mwaka 2009 baada ya kutaka kuwaliza wenzake katika dili la mradi wa kukarabati barabara ya Gairo–Nongwe wilayani Kilosa.

Walalamikaji walikuwa THE MUSHROOM CONTRACTORS CO. LTD na ATTU SIMON MWAIPYANA na walalamikiwa walikuwa ni
NIM CIVIL CONTRACTORS LTD na ELIMBOTO SINDA ISINGO.

THE MUSHROOM CONTRACTORS CO. LTD walishinda tenda ya kukarabati hiyo barabara ya Gairo. ATTU SIMON MWAIPYANA alikuwa ni chief engineer wa Manispaa ya Morogoro.

Walalamikaji na walalamikiwa walikubaliana kuchukua tenda hiyo mkoani morogoro ambapo mlalamikaji wa pili alikuwa pia chief engineer wa manispaa ya Morogoro. Nia ya wa wanne hao ilikuwa kugawana faida itakayopatikana kutoka kwenye mradi. Kesi iliamuliwa na Judge Werema: http://www.judiciary.go.tz/judiciary/admin/files/cases/CCNO._26_OF_2007.pdf

Hapo unaweza kuona jinsi chief engineer wa manispaa ya morogoro alivyocheza dili. Inawezekana pia kwenye mradi wa barabara ya kutoka KIA kwenda Mererani mambo yalikuwa hivyo hivyo.

cc. SUMLEY
 
Last edited by a moderator:
CCM hawawezi fanya manunuzi sahihi mpaka wafe, kusoma product ddescription hawawezi wala hawana tabia ya kusoma instructions au maelezo yoyote ya msingi,CCM hawawezi soma mkataba,CCM hawawezi soma hata ukiwapa profile wa documents yoyote ya kumpima na kuhalalisha mkandarasi..unategema nini.Dida kawaambia wanatumia masaburi..sasa wapo ktk debate kuwa hajauziwa UDA ila anamilikii kihalali kwa vile aliuzia visivyo halali,Na malima alikaa na huyo mwekezaji had hasi usiku mnene na kukiri hana sifa ila kachukua hisa.Wengine wanadau ahajauziwa kwa taarifa alizo nazo.
 
Akili ipi unayozungumzia hapa!? Akili ya wizi ya kuhusika na ukwapuaji wa nyumba za Serikali akishirikiana na fisadi Mkapa na kuliingizia Taifa hasara ya zaidi ya shilingi bilioni 500!? Hii nayo utaita ni akili!? Utendaji upi unaozungumzia!? Hii picha hapa chini inaonyesha utendaji wowote uliotukuka!?






Huko ufipa nani ana akili kubwa na utendaji kumzidi?

au mnajivunia hao vijaa?
 
Huyo mpumbav atakuwa ameondoka na senti ndogo sana, na yeye ameingizwa chaka na jamaa wa TANROADS! Hiyo 3bn iliyotoka lazima alitakiwa kuwapa chao kwanza wafanikishaji ambao ni wengi na kila mmoja lazima aguse mnuso ili amlinde, huenda alitegemea itakuwa rahisi kuvuta mkopo akishakamata kazi, mwisho wa siku kazi amekamata, kila mtu hamwamini kumpa mitambo, benki hazimwamini kumpa pesa, na muda wa kazi unakwenda, singasinga wa watu badala ya kujiramba risasi kwa vile si raiya wa hapa akaona bora achape lapa, utakuta ametoka hapa na nauli tu...chezeya bongo!
 
Mtoa post inaonyesha uko deep sana na Wanaosajili Makandarasi ni CRB je wameshachukua hatua????? maana makandarasi kama hawa wanatakiwa wanyongwe
 
Ujinga wa watanzania utatuponza sana. Sitashangaa mabilioni haya ya walipa kodi yakinyamaziwa na maccm

Sent from my BlackBerry 9780 using JamiiForums
 
watupishe tukamate nchi tufanye kazi... kitu kama hiki mtu mwenye logical thinking na uzoefu wa hela atagundua scam mapena.. bunge livunjwe watuachie nchi tuendeshe wameshindwa... ndio matatizo ya mtu kapata F flat unamuweka afu unasema ana umri sawa na akili timamu..
 
Tanzania imekuwa kichaka cha kila mtu kuiba iwe viongozi, wafanyakazi wenye dhamana katika serikali, mashirika ya uma na kwingineko. Sasa unategemea nini kwenye kolipa kodi, kweli mtu hapa atakuwa na hali ya dhati ya kulipa kodi ili mradi hata hizo kidogo zinazopatikana zinaibwa kila kukicha?
Tafakari
 
habari kama hizi zinakuondolea hata hamu ya kuendelea kuwa Mtanzania mzalendo.
 
Tanzania imekuwa kichaka cha kila mtu kuiba iwe viongozi, wafanyakazi wenye dhamana katika serikali, mashirika ya uma na kwingineko. Sasa unategemea nini kwenye kolipa kodi, kweli mtu hapa atakuwa na hali ya dhati ya kulipa kodi ili mradi hata hizo kidogo zinazopatikana zinaibwa kila kukicha na viongozi au wahusika wakuu hawafanyi kitu chochote?
Tafakari
 
Nilijua tu ni Mhindi kafanya hivyo. Kashfa hizi: EPA, RICHMOND, RADAR, IPTL, ESCROW na zingine zilizozimwa zinahusu wahindi. Na bado tutaendelea kuwaamini na kuwapa tenda. Sijui viongozi wetu wanaweka vichwa vyao kwenye ma-deep frieezer halafu ndio wafanye maamuzi?
 
Dah inasikitisha saana. Hao maofisa wa tan roads waloenda huko Msumbiji na Ghana wanastahili kunyofolewa korodani[/red] bila ganzi kisha wanyongwe pum.ba.vu kabisa.


...yawezekana ni jinsia nyingine..., yenye micro SD...
 
Back
Top Bottom