Kimbunga
Platinum Member
- Oct 4, 2007
- 14,941
- 9,947
Alisafiri kwenda kununua au?Huyo Major si ndio tunaambiwa kwenye report ya cag kuwa kaenda kwa farao kununua dawa za bil 10. Hapo hawezi kukosa bil 5. Takukuru huyo meja achunguzwe, msd ni shirika la umma sio la kijeshi, alienda kwa mafarao kwa mchakato gani wa manunuzi.