Mkakati wa kumrudisha aliyekuwa Mkurugenzi wa MSD

Megalodon

JF-Expert Member
Apr 9, 2021
2,177
3,780
Kama ilivyokawaida, ´elite system ‘ wapo katika harakati za kuhakikisha mabaki yote yaliyoachwa na aliyekuwa Rais wa JMT, Ndugu John Pombe Joseph Magufuli (JJPM) yanaondolewa na kuharibiwa haraka.

Mkakati huo unaojulikana kama atrocement policy ulianzia ngazi za juu kuanzia katibu kiongozi, ukashuka kwa mawaziri na kuondoa mawaziri wote wasiofiti Kwenye atrocement policy.

Kwa sasa atrocement policy imehamia kwa Wakurugenzi na tunaona baadhi ya Wakurugenzi wameshaanza kurudi kwenye nafasi zao kwa mf. Mkurugenzi wa nhc.

atrocement policy inayoendelea kwa sasa ni kuhakikisha aliyekuwa CEO wa MSD, kati ya mwaka 2016 hadi 2020 anarudi katika nafasi yake. Ukirudi nyuma ukichunguza utendaji wa CEO huyo , haukuwa wa kuridhisha zaidi ya propaganda za survival of the fittest na ndani yake kulikuwa na kashfa nyingi za upotevu wa dawa, wizi wa dawa, rushwa iliyojificha, taarifa za uongo juu ya upatikanaji wa dawa , kashfa za mapenzi ofisini. Yote haya yanapatikana katika taarifa ya CAG ya mwaka 2019 na 2020, 2018 na 2019

Chapuo la kihuni la kumrudisha aliyekuwa CEO wa msd ni kiashiria jinsi gani nchi yetu inaendeshwa na watu ambao hawana weledi; inawezekana kabisa Dkt. Brigedia Mjeshi, CEO wa sasa ameshindwa kuleta matokeo, na sio rahisi kuleta matokeo ndani ya mwaka; na hii ni ukweli tupu kwamba ndani ya managers na directors wake ni informers wenye kupeleka taarifa hasi dhidi yake na kuhakikisha anavuta pumzi ya moto ndani ya kombati zake za kijeshi. Alipashwa kuwa na mfumo shirikishi ili kuwabaini

Inawezekana kabisa amefeli kwenye baadhi ya maeneo kama staffing na nepotism( jobs for the boys), je ni justification ya kutaka kumrudisha mtu aliyeshindwa pia? Mfu hawezi kumzika mfu.

Tunaambiwa ni CEO mmoja tu wa MSD alikuwa ni Mtaalam wa madawa( mfamasia) ndio angalau aliwahi kufanikiwa na kwa ufinyu wa fedha uliokuwepo alileta matokeo ambayo yanaweza kukumbukwa kwa upatikanaji wa dawa muhimu, sambamba na ujenzi wa HQ inayotumika kwa sasa.
Hao wengine wote akiwemo na Brigedia Mjeshi ( jobs for the boys ) wamepwaya, lzkini je , Brigedia Mjeshi unampima vipi kwa miezi 12? wengine wamekaa zaidi ya miaka 4 , na hakukuwa na matokeo chanya hata theluthi zaidi ya ufisadi ulikithiri, rejea taarifa za CAG.

Je serikali imewahi kuchunguza sababu za CEO wengi wa msd kushindwa? Je changamoto ni nini , hatuna sera endelevu au shida ni kuweka watu wasio sahihi na mifumo isiyokuwa shirikishi.

Napenda kuishauri serikali, kurudisha makapi ambayo yalishashindwa kazi ndani ya miaka 4 ni ukosefu wa weledi na sera endelevu za nchi na failure ya governance system ya Tanzania. tunawafamasia wa kutosha ndani ya wizara na nje wenye kuijua supply chain ya Dawa vyema, miongoni mwao washindanishwe na kumpata mmoja sahihi mwenye financial skills, management skills.

IMG_7387.jpg

Maendeleo hayana uchama, nasema uongo ndugu zangu ?
 
Mimi nasema fukuza sukuma gang wote, nashangaa kwanini Bashiru asipewe ubarozi wa huko burundi. Mwendazake aliharibu nchi vibaya sana.

Hatuendi kwa chuki, tafuteni mtu sahihi. Acheni chuki hii nchi ni ya watanzania wote
 
Mimi sijuhi aliyekuwepo MSD enzi za JK alikuwa nani ila angalau nakumbuka tunaletewa condom maboksi kwa maboksi ambayo yamebakiza miezi 3 kuisha muda wa matumizi, maboksi kwa maboksi ya Lignocaine ngazi ya zahanati tena kijijini huku ndani hadi unajiuliza wameleta ya nini yote haya ...kibaya zaidi wanakijiji wakiona maboksi ya "dawa" yameshushwa kesho wanajaa kwa mamia kutibiwa ukiwaambia hakuna dawa wanakuuliza mbona zimeletwa jana?

Mama fungua nchi, mikumi tena kwako, asiyekupenda ahamie Mogadishu!
 
Kama ilivyokawaida, ´elite system ‘ wapo katika harakati za kuhakikisha mabaki yote yaliyoachwa na aliyekuwa Rais wa JMT, Ndugu John Pombe Joseph Magufuli (JJPM) yanaondolewa na kuharibiwa haraka.

Mkakati huo unaojulikana kama atrocement policy ulianzia ngazi za juu kuanzia katibu kiongozi, ukashuka kwa mawaziri na kuondoa mawaziri wote wasiofiti Kwenye atrocement policy.

Kwa sasa atrocement policy imehamia kwa Wakurugenzi na tunaona baadhi ya Wakurugenzi wameshaanza kurudi kwenye nafasi zao kwa mf. Mkurugenzi wa nhc.

atrocement policy inayoendelea kwa sasa ni kuhakikisha aliyekuwa CEO wa MSD, kati ya mwaka 2016 hadi 2020 anarudi katika nafasi yake. Ukirudi nyuma ukichunguza utendaji wa CEO huyo , haukuwa wa kuridhisha zaidi ya propaganda za survival of the fittest na ndani yake kulikuwa na kashfa nyingi za upotevu wa dawa, wizi wa dawa, rushwa iliyojificha, taarifa za uongo juu ya upatikanaji wa dawa , kashfa za mapenzi ofisini. Yote haya yanapatikana katika taarifa ya CAG ya mwaka 2019 na 2020, 2018 na 2019

Chapuo la kihuni la kumrudisha aliyekuwa CEO wa msd ni kiashiria jinsi gani nchi yetu inaendeshwa na watu ambao hawana weledi; inawezekana kabisa Dkt. Brigedia Mjeshi, CEO wa sasa ameshindwa kuleta matokeo, na sio rahisi kuleta matokeo ndani ya mwaka; na hii ni ukweli tupu kwamba ndani ya managers na directors wake ni informers wenye kupeleka taarifa hasi dhidi yake na kuhakikisha anavuta pumzi ya moto ndani ya kombati zake za kijeshi. Alipashwa kuwa na mfumo shirikishi ili kuwabaini

Inawezekana kabisa amefeli kwenye baadhi ya maeneo kama staffing na nepotism( jobs for the boys), je ni justification ya kutaka kumrudisha mtu aliyeshindwa pia? Mfu hawezi kumzika mfu.

Tunaambiwa ni CEO mmoja tu wa MSD alikuwa ni Mtaalam wa madawa( mfamasia) ndio angalau aliwahi kufanikiwa na kwa ufinyu wa fedha uliokuwepo alileta matokeo ambayo yanaweza kukumbukwa kwa upatikanaji wa dawa muhimu, sambamba na ujenzi wa HQ inayotumika kwa sasa.
Hao wengine wote akiwemo na Brigedia Mjeshi ( jobs for the boys ) wamepwaya, lzkini je , Brigedia Mjeshi unampima vipi kwa miezi 12? wengine wamekaa zaidi ya miaka 4 , na hakukuwa na matokeo chanya hata theluthi zaidi ya ufisadi ulikithiri, rejea taarifa za CAG.

Je serikali imewahi kuchunguza sababu za CEO wengi wa msd kushindwa? Je changamoto ni nini , hatuna sera endelevu au shida ni kuweka watu wasio sahihi na mifumo isiyokuwa shirikishi.

Napenda kuishauri serikali, kurudisha makapi ambayo yalishashindwa kazi ndani ya miaka 4 ni ukosefu wa weledi na sera endelevu za nchi na failure ya governance system ya Tanzania. tunawafamasia wa kutosha ndani ya wizara na nje wenye kuijua supply chain ya Dawa vyema, miongoni mwao washindanishwe na kumpata mmoja sahihi mwenye financial skills, management skills.

View attachment 2181315
Maendeleo hayana uchama, nasema uongo ndugu zangu ?
Kwanini husemi JPM alimtoa kwa fitna kwa kuwa yeye sio Sukuma gang!!??
 
Acha watu watafune hii nchi hadi kieleweke....

Wajinga ndio huliwa siku zote,,, na hakuna kitu wanafanya
 
Kama ilivyokawaida, ´elite system ‘ wapo katika harakati za kuhakikisha mabaki yote yaliyoachwa na aliyekuwa Rais wa JMT, Ndugu John Pombe Joseph Magufuli (JJPM) yanaondolewa na kuharibiwa haraka.

Mkakati huo unaojulikana kama atrocement policy ulianzia ngazi za juu kuanzia katibu kiongozi, ukashuka kwa mawaziri na kuondoa mawaziri wote wasiofiti Kwenye atrocement policy.

Kwa sasa atrocement policy imehamia kwa Wakurugenzi na tunaona baadhi ya Wakurugenzi wameshaanza kurudi kwenye nafasi zao kwa mf. Mkurugenzi wa nhc.

atrocement policy inayoendelea kwa sasa ni kuhakikisha aliyekuwa CEO wa MSD, kati ya mwaka 2016 hadi 2020 anarudi katika nafasi yake. Ukirudi nyuma ukichunguza utendaji wa CEO huyo , haukuwa wa kuridhisha zaidi ya propaganda za survival of the fittest na ndani yake kulikuwa na kashfa nyingi za upotevu wa dawa, wizi wa dawa, rushwa iliyojificha, taarifa za uongo juu ya upatikanaji wa dawa , kashfa za mapenzi ofisini. Yote haya yanapatikana katika taarifa ya CAG ya mwaka 2019 na 2020, 2018 na 2019

Chapuo la kihuni la kumrudisha aliyekuwa CEO wa msd ni kiashiria jinsi gani nchi yetu inaendeshwa na watu ambao hawana weledi; inawezekana kabisa Dkt. Brigedia Mjeshi, CEO wa sasa ameshindwa kuleta matokeo, na sio rahisi kuleta matokeo ndani ya mwaka; na hii ni ukweli tupu kwamba ndani ya managers na directors wake ni informers wenye kupeleka taarifa hasi dhidi yake na kuhakikisha anavuta pumzi ya moto ndani ya kombati zake za kijeshi. Alipashwa kuwa na mfumo shirikishi ili kuwabaini

Inawezekana kabisa amefeli kwenye baadhi ya maeneo kama staffing na nepotism( jobs for the boys), je ni justification ya kutaka kumrudisha mtu aliyeshindwa pia? Mfu hawezi kumzika mfu.

Tunaambiwa ni CEO mmoja tu wa MSD alikuwa ni Mtaalam wa madawa( mfamasia) ndio angalau aliwahi kufanikiwa na kwa ufinyu wa fedha uliokuwepo alileta matokeo ambayo yanaweza kukumbukwa kwa upatikanaji wa dawa muhimu, sambamba na ujenzi wa HQ inayotumika kwa sasa.
Hao wengine wote akiwemo na Brigedia Mjeshi ( jobs for the boys ) wamepwaya, lzkini je , Brigedia Mjeshi unampima vipi kwa miezi 12? wengine wamekaa zaidi ya miaka 4 , na hakukuwa na matokeo chanya hata theluthi zaidi ya ufisadi ulikithiri, rejea taarifa za CAG.

Je serikali imewahi kuchunguza sababu za CEO wengi wa msd kushindwa? Je changamoto ni nini , hatuna sera endelevu au shida ni kuweka watu wasio sahihi na mifumo isiyokuwa shirikishi.

Napenda kuishauri serikali, kurudisha makapi ambayo yalishashindwa kazi ndani ya miaka 4 ni ukosefu wa weledi na sera endelevu za nchi na failure ya governance system ya Tanzania. tunawafamasia wa kutosha ndani ya wizara na nje wenye kuijua supply chain ya Dawa vyema, miongoni mwao washindanishwe na kumpata mmoja sahihi mwenye financial skills, management skills.

View attachment 2181315
Maendeleo hayana uchama, nasema uongo ndugu zangu ?
serikali ya undugulization yote yanawezekana, mama anaupiga mwingi.
 
Kama ilivyokawaida, ´elite system ‘ wapo katika harakati za kuhakikisha mabaki yote yaliyoachwa na aliyekuwa Rais wa JMT, Ndugu John Pombe Joseph Magufuli (JJPM) yanaondolewa na kuharibiwa haraka.

Mkakati huo unaojulikana kama atrocement policy ulianzia ngazi za juu kuanzia katibu kiongozi, ukashuka kwa mawaziri na kuondoa mawaziri wote wasiofiti Kwenye atrocement policy.

Kwa sasa atrocement policy imehamia kwa Wakurugenzi na tunaona baadhi ya Wakurugenzi wameshaanza kurudi kwenye nafasi zao kwa mf. Mkurugenzi wa nhc.

atrocement policy inayoendelea kwa sasa ni kuhakikisha aliyekuwa CEO wa MSD, kati ya mwaka 2016 hadi 2020 anarudi katika nafasi yake. Ukirudi nyuma ukichunguza utendaji wa CEO huyo , haukuwa wa kuridhisha zaidi ya propaganda za survival of the fittest na ndani yake kulikuwa na kashfa nyingi za upotevu wa dawa, wizi wa dawa, rushwa iliyojificha, taarifa za uongo juu ya upatikanaji wa dawa , kashfa za mapenzi ofisini. Yote haya yanapatikana katika taarifa ya CAG ya mwaka 2019 na 2020, 2018 na 2019

Chapuo la kihuni la kumrudisha aliyekuwa CEO wa msd ni kiashiria jinsi gani nchi yetu inaendeshwa na watu ambao hawana weledi; inawezekana kabisa Dkt. Brigedia Mjeshi, CEO wa sasa ameshindwa kuleta matokeo, na sio rahisi kuleta matokeo ndani ya mwaka; na hii ni ukweli tupu kwamba ndani ya managers na directors wake ni informers wenye kupeleka taarifa hasi dhidi yake na kuhakikisha anavuta pumzi ya moto ndani ya kombati zake za kijeshi. Alipashwa kuwa na mfumo shirikishi ili kuwabaini

Inawezekana kabisa amefeli kwenye baadhi ya maeneo kama staffing na nepotism( jobs for the boys), je ni justification ya kutaka kumrudisha mtu aliyeshindwa pia? Mfu hawezi kumzika mfu.

Tunaambiwa ni CEO mmoja tu wa MSD alikuwa ni Mtaalam wa madawa( mfamasia) ndio angalau aliwahi kufanikiwa na kwa ufinyu wa fedha uliokuwepo alileta matokeo ambayo yanaweza kukumbukwa kwa upatikanaji wa dawa muhimu, sambamba na ujenzi wa HQ inayotumika kwa sasa.
Hao wengine wote akiwemo na Brigedia Mjeshi ( jobs for the boys ) wamepwaya, lzkini je , Brigedia Mjeshi unampima vipi kwa miezi 12? wengine wamekaa zaidi ya miaka 4 , na hakukuwa na matokeo chanya hata theluthi zaidi ya ufisadi ulikithiri, rejea taarifa za CAG.

Je serikali imewahi kuchunguza sababu za CEO wengi wa msd kushindwa? Je changamoto ni nini , hatuna sera endelevu au shida ni kuweka watu wasio sahihi na mifumo isiyokuwa shirikishi.

Napenda kuishauri serikali, kurudisha makapi ambayo yalishashindwa kazi ndani ya miaka 4 ni ukosefu wa weledi na sera endelevu za nchi na failure ya governance system ya Tanzania. tunawafamasia wa kutosha ndani ya wizara na nje wenye kuijua supply chain ya Dawa vyema, miongoni mwao washindanishwe na kumpata mmoja sahihi mwenye financial skills, management skills.

View attachment 2181315
Maendeleo hayana uchama, nasema uongo ndugu zangu ?
Muosha huoshwa.

Tema Jpm waliingia kwa mbwembwe sana.

Tuliwambia kunahitajika tasisi imara mkabeza.

Ni zamu yenu tena.
 
Hatuendi kwa chuki, tafuteni mtu sahihi. Acheni chuki hii nchi ni ya watanzania wote
Uko sahihi, lakini mwendazake aliweka watu wa chuki na ubaguzi wakiongozwa na yeye mwenyewe na ndiyo maana Watanzania wengi walimchukia na kumwombea mabaya. Mungu alisikia kilio cha watanzania na kumwondosha. So sukuma gang wote inabidi watoke. Simaanishi wasukuma kama kabila ila nasema sukuma gang akiwemo Bashiriiii ambaye ni muhaya kikabila.
 
Back
Top Bottom