monde arabe
JF-Expert Member
- Oct 22, 2017
- 8,486
- 13,017
Habar za leo ndugu zangu wapendwa ktk Taifa,
Sisi sote (Watanzania) adui yetu (our common enemy) ni mmoja ambaye ni Chama cha mapinduzi ( ccm) siandiki thread hii kwa kuwa ninachuki binafsi na ccm na wala siandiki bandiko hili kwa kuwa labda nimekosa uteuzi (kwa maana ndyo fikra za wengi kwa muda huu)
Pia,mimi siyo mwanachama wa chama chochote cha upinzani bali naandika jambo hili ili iwe ni kuandaa njia ya kuelekea kwenye nuru au matumaini ya kiuchumi,kisiasa,kielimu na hata kifikra pia
Kwa wale msiokifaham chama cha mapinduzi vzr naomba kuwafahamisha kuwa hiki ni chama chenye intelligencia kubwa sana hasa kwenye kutenda maovu au mabaya mfano chama kikishindwa ktk uchaguzi huwa wanamtangaza mgombea wao wanayemtaka wao na wakishindwa kufanya hivyo basi huwa nunua viongozi walioshinda kwenye uchaguzi husika kutoka upinzani
Zifuatazo ni mbinu ambazo sote tunaweza kuzitumia kukitoa chama cha mapinduzi madarakani;
1.Kuonyesha kuwa tumeasi kutoka vyama vya siasa ambavyo ni wapinzani wa ccm,hapa mgombea anatangaza kuwa ameamua kujivua uanachama kutoka chama fulani na kujiunga na ccm na anatengeneza mazingira ya kuaminiwa na mwenyekiti wa ccm Taifa kisha atapewa cheo baada ya hapo anaanza kukusanya taarifa nyeti na kuzipenyeza kwenye chama alichohama (na hii unapaswa kuwa undercover mission,wanapaswa kufaham watu wawili au mmoja kutoka kwenye chama alichohama)
2.Kipindi cha uchaguzi hasa kwa maeneo ya vijijini najua watu wengi hawajui kusoma na kuandika so,huwa wanawaomba wasimamizi kuwajazia au kuwawekea tick (√) kwa mgombea wanaye/anayemtaka so,kwa kuwa hawajui kusoma na wao ndyo mtaji wa ccm basi unaweka tick kwa mgombea wa upinzani ambaye udhani kuwa ndye atakayeshinda
3.Kuanza kuwaelimisha watu tangu mapema kuhusiana na madhara ya kutawalaiwa na ccm ikiwa ni pamoja na madhambi tunayofanyiwa na ccm ili kpnd cha uchaguzi watu wawe aware na issues za uchaguzi
4.Kujipendekeza kwa viongozi wa ccm kuanzia ngazi za chini mpaka juu ili waweze kutuamini na hatimaye waweze kutupa nafasi nyeti ikiwa ni pamoja na kusimamia uchaguzi,then hukohuko tunawachinjia baharini
5.Siku ya uchaguzi kuna karatasi za kura huwa zinaletwa na kuwekwa mahali then maafisa wa uchaguzi hutoka mmoja mmoja kutoka kwenye chumba cha kupigia kura kwajili ya kwenda kujaza katarasi hizo na kuziweka kwenye kofia then wanaenda kuzitumbukiza kwenye masanduku ya kura...ukiitwa kwaajili ya kujaza karatasi hizo basi fanya kweli ili CCM wajue kuwa hutukwenda shule bure,mbinu nyingine naomba na ninyi muongezeee!
Sisi sote (Watanzania) adui yetu (our common enemy) ni mmoja ambaye ni Chama cha mapinduzi ( ccm) siandiki thread hii kwa kuwa ninachuki binafsi na ccm na wala siandiki bandiko hili kwa kuwa labda nimekosa uteuzi (kwa maana ndyo fikra za wengi kwa muda huu)
Pia,mimi siyo mwanachama wa chama chochote cha upinzani bali naandika jambo hili ili iwe ni kuandaa njia ya kuelekea kwenye nuru au matumaini ya kiuchumi,kisiasa,kielimu na hata kifikra pia
Kwa wale msiokifaham chama cha mapinduzi vzr naomba kuwafahamisha kuwa hiki ni chama chenye intelligencia kubwa sana hasa kwenye kutenda maovu au mabaya mfano chama kikishindwa ktk uchaguzi huwa wanamtangaza mgombea wao wanayemtaka wao na wakishindwa kufanya hivyo basi huwa nunua viongozi walioshinda kwenye uchaguzi husika kutoka upinzani
Zifuatazo ni mbinu ambazo sote tunaweza kuzitumia kukitoa chama cha mapinduzi madarakani;
1.Kuonyesha kuwa tumeasi kutoka vyama vya siasa ambavyo ni wapinzani wa ccm,hapa mgombea anatangaza kuwa ameamua kujivua uanachama kutoka chama fulani na kujiunga na ccm na anatengeneza mazingira ya kuaminiwa na mwenyekiti wa ccm Taifa kisha atapewa cheo baada ya hapo anaanza kukusanya taarifa nyeti na kuzipenyeza kwenye chama alichohama (na hii unapaswa kuwa undercover mission,wanapaswa kufaham watu wawili au mmoja kutoka kwenye chama alichohama)
2.Kipindi cha uchaguzi hasa kwa maeneo ya vijijini najua watu wengi hawajui kusoma na kuandika so,huwa wanawaomba wasimamizi kuwajazia au kuwawekea tick (√) kwa mgombea wanaye/anayemtaka so,kwa kuwa hawajui kusoma na wao ndyo mtaji wa ccm basi unaweka tick kwa mgombea wa upinzani ambaye udhani kuwa ndye atakayeshinda
3.Kuanza kuwaelimisha watu tangu mapema kuhusiana na madhara ya kutawalaiwa na ccm ikiwa ni pamoja na madhambi tunayofanyiwa na ccm ili kpnd cha uchaguzi watu wawe aware na issues za uchaguzi
4.Kujipendekeza kwa viongozi wa ccm kuanzia ngazi za chini mpaka juu ili waweze kutuamini na hatimaye waweze kutupa nafasi nyeti ikiwa ni pamoja na kusimamia uchaguzi,then hukohuko tunawachinjia baharini
5.Siku ya uchaguzi kuna karatasi za kura huwa zinaletwa na kuwekwa mahali then maafisa wa uchaguzi hutoka mmoja mmoja kutoka kwenye chumba cha kupigia kura kwajili ya kwenda kujaza katarasi hizo na kuziweka kwenye kofia then wanaenda kuzitumbukiza kwenye masanduku ya kura...ukiitwa kwaajili ya kujaza karatasi hizo basi fanya kweli ili CCM wajue kuwa hutukwenda shule bure,mbinu nyingine naomba na ninyi muongezeee!