Wyatt Mathewson
JF-Expert Member
- Dec 22, 2017
- 10,182
- 24,684
Aisee
Hawa jamaa wanatia huruma kabisa!
wao hizo namba hawakuziweka hadharani hapo ? halafu shida yetu haikuwa namba zao , na nakuhakikishia wala hakuna hata wa kuwapigia , lengo letu ilikuwa kuanika uchafu wao hadharaniModerators SI sahihi kumwaga nba za watu hadharani Bila ridhaa ya wahusika alichofanya mleta mada sio sahihi na SI sahihi kwa jamii forums pia KU tolerate hiki
Duh kweli unafiki ni kipajiModerators SI sahihi kumwaga nba za watu hadharani Bila ridhaa ya wahusika alichofanya mleta mada sio sahihi na SI sahihi kwa jamii forums pia KU tolerate hiki.
Uchafu umeupa heading wewe hapo kwenye hiyo karatasi Hakuna mahali pameandikwa hayo uliyoyapa heading wewe.Hiyo.karatasi hakuna mahali Pana hayo maneno uliyoweka kwenye heading.All in all simu ya mtu Ni private Hakuna mwenye haki for whatever reason kuanika au kutoa namba ya mtu mwingine Bila ridhaa Yake.Ulichofanya hakiko sahihi.Moderators please haya ya kuanikiana namba Sio fair.wao hizo namba hawakuziweka hadharani hapo ? halafu shida yetu haikuwa namba zao , na nakuhakikishia wala hakuna hata wa kuwapigia , lengo letu ilikuwa kuanika uchafu wao hadharani
Sa hiyo takataka mbona haiendani hata na ulichokiandika mkuu?
Hivi huyu nnafiki alishawahi kukanusha hii kauli yake ?
Mkuu mwalimu mlipokuwa mnazianika namba zenu kwa gharama ya elfu 5 hamkulijua hili ?Moderators kuonyesha wazi napinga hiki kitendo Cha kuanika simu za watu hadharani bila ridhaa yaob na log off na siji kuingia jamii forums Tena bye bye jamii forums
Jielekeze kwenye mada hizo zingine ni porojo tu. Kuna mtu wa kuficha namba za simu karne hii?? popote unapotembelea ofsi kubwa na ndogo, usajiri wa aina yoyote unaambiwa acha namba yako hadi Google unaficha nini sasa.Moderators SI sahihi kumwaga nba za watu hadharani Bila ridhaa ya wahusika alichofanya mleta mada sio sahihi na SI sahihi kwa jamii forums pia KU tolerate hiki.
ila ccm singida ndio yenye haki kuchukua namba za watu eee !Uchafu umeupa heading wewe hapo kwenye hiyo karatasi Hakuna mahali pameandikwa hayo uliyoyapa heading wewe.Hiyo.karatasi hakuna mahali Pana hayo maneno uliyoweka kwenye heading.All in all simu ya mtu Ni private Hakuna mwenye haki for whatever reason kuanika au kutoa namba ya mtu mwingine Bila ridhaa Yake.Ulichofanya hakiko sahihi.Moderators please haya ya kuanikiana namba Sio fair.
Ila udukuzi wa mazungumzo ya watu ni sawa ?!. Unafki utakuweka wapi ?! Fikiria nje ya box dadaModerators kuonyesha wazi napinga hiki kitendo Cha kuanika simu za watu hadharani bila ridhaa yaob na log off na siji kuingia jamii forums Tena bye bye jamii forums
amezijulia wapi ?Mbona huo mwandiko ni wa mtu mmoja?? inawezekana kuna mtu ameorodhesha majina yao na kuandika namba zao bila ridhaa yao