Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 117,578
- 217,950
- Thread starter
- #41
mmeumbuka vibaya sanaBado tu mna propaganda za kizamaani!
mmeumbuka vibaya sanaBado tu mna propaganda za kizamaani!
HAMNA NENO JINGINE LA KUWAITA KWAKWELI!🤣 🤣 🤣 hawa watu ni wehu
Asante kwa taarifa .Sio singida tu,Mbeya nako ni hivyo hivyo.
una umri gani ?karatasi imeandikwa na MTU mmoja ..sehemu ya mwisho ya sahihi haijajazwa ...mbona hakuna uhusiano na unachosema
acha aibu iwakamate maboya nyieModerators SI sahihi kumwaga nba za watu hadharani Bila ridhaa ya wahusika alichofanya mleta mada sio sahihi na SI sahihi kwa jamii forums pia KU tolerate hiki.
Ukiondoka wewe jukwaa litapungukiwa na Nini mku?Moderators kuonyesha wazi napinga hiki kitendo Cha kuanika simu za watu hadharani bila ridhaa yaob na log off na siji kuingia jamii forums Tena bye bye jamii forums
Nyambafu jìtoeModerators SI sahihi kumwaga nba za watu hadharani Bila ridhaa ya wahusika alichofanya mleta mada sio sahihi na SI sahihi kwa jamii forums pia KU tolerate hiki.
😆😆😆😆Nyambafu jìtoe
Iringa wanagawa hela za mikopo isiyo na riba kwa akina Mama kupitia tpb
walimu wenyewe wanakiri hilo na ndio wanaotusaidia kukusanya taarifa zote hizi ,wewe endelea kulipwa elfu 7 kwa wiki .Sasa hiyo list ndiyo inamaanisha kuwa hao wamelazimishwa ama kuonyesha vituo watakavyo fanya kazi.
Form hii inaweza tengenezwa na mtu yoyote. Hapo sioni chochote kinacholingana na anachozungumzia mleta mada. Nadhani hii ni tuu katika jitihada za wapinzani kuichafua ccm.
nitawasiliana na Mh MsigwaIringa wanagawa hela za mikopo isiyo na riba kwa akina Mama kupitia tpb