Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 117,600
- 217,997
Huu ni mkakati wa uchaguzi wa serikali za mitaa na uchaguzi mkuu
Tunashukuru timu ya wachunguzi wazalendo ambayo iko katikati yao ili kuvujisha kila ubaya ulioandaliwa🤣 🤣 🤣 hawa watu ni wehu
Walimu wacha wanyanyasike ni haki yao kabisa. Aliejiua haliliwi. NyambafTunashukuru timu ya wachunguzi wazalendo ambayo iko katikati yao ili kuvujisha kila ubaya ulioandaliwa
Mkakati upi sasa mbona mi siuoni naona majina tu,tueleweshe
Kichwa cha habari chajieleza .Mkakati upi sasa mbona mi siuoni naona majina tu,tueleweshe
Primitive ni akina nani?Watu primitive wamepewa rungu na haya ndio matokeo yake!
ni kheri kibaka mpiga ngeta kuliko kibaka mporaji wa haki.Chama cha wanyang'anyi
Sa hiyo takataka mbona haiendani hata na ulichokiandika mkuu?Tunashukuru timu ya wachunguzi wazalendo ambayo iko katikati yao ili kuvujisha kila ubaya ulioandaliwa
una umri gani ?Sa hiyo takataka mbona haiendani hata na ulichokiandika mkuu?