barafuyamoto
JF-Expert Member
- Jul 26, 2014
- 32,405
- 29,811
Umepaniki mkuu kwahiyo unataka tunyonye yako na siyo ya lowassa? Unataka tuamini mgombea unaemtaka wewe unamnyonya di@#k ndo maana unamsupport? Lowassa anaweza kuwa more worse tha JK lakini mbona hujawahi kujiuliza kwanini Lowassa hakuwajibishwa kwa kashfa ya Richmond wala hakupewa nafasi ya kujitetea? Usipende kuchukulia vitu juu juu mkuu sababu umeshapandikizwa chuki moyoni mwako
Kuchoka huko kwa Lowassa ni kupi sasa? Jk alikua anakimbia ajiweke fit ila Lowassa is fit enough hahitaji show off akiwa anakimbia sawa?
Labda kama baba yako ndo mgombea anaekubalika ila so far Lowassa ndo matumaini kwa watanzania. Sisi wajinga ila ujinga wetu sio kama wako na team yako mnaokaa kimya eti hamtaki kujulikana what the hell is that?
Labda kama baba yako ndo mgombea anaekubalika ila so far Lowassa ndo matumaini kwa watanzania. Sisi wajinga ila ujinga wetu sio kama wako na team yako mnaokaa kimya eti hamtaki kujulikana what the hell is that?
Kuna jitihada zozote amezifanya za kuwahakikishia wananchi kuwa alionewa? Au anavyogawa pesa kama njugu ndo kuwaonyesha kuwa alionewa? Sijapandikizwa chuki. Ni kwamba hana sifa na ana skendo.
Mkuu kujitolea napo ni kugawa pesa bure? Sio kila scandal inasababishwa na aliepata scandal zingine zinatokeaga ili kusave watu wengine, muda ukifika wa Lowassa kujisafisha atajisafisha sasa hiv anawapa wapinzani wake cha kukiongea mumpe umaarufu zaidi
Mkuu kujitolea napo ni kugawa pesa bure? Sio kila scandal inasababishwa na aliepata scandal zingine zinatokeaga ili kusave watu wengine, muda ukifika wa Lowassa kujisafisha atajisafisha sasa hiv anawapa wapinzani wake cha kukiongea mumpe umaarufu zaidi
Nawatakieni kila la kheri kwenye kampeni zenu.
hata akijisafisha na magadi bado ataendelea kuwa mchafu
Labda mgombea wako anahitaji magadi lakini si Edo Jamaa ni jembe
Nadhani mpaka sasa Lowassa ndio namba moja kati ya wagombea wote .
Hii nchi mbaya sio mtu mmoja bali ni mfumo wa kishetani uliojengwa na Kundi la wapagani waliokua wanakwenda kuzimu kule Bagamoyo wakati wa uhuru.
Lowasa,Kikwete ,Mwinyi na Mkapa walikua ni watu safi lakini waliongozwa na kanuni za Lusifa zilizopo na kujikuta wanamtumikia shetani na Mali kuliko Kumtumikia Mungu na watanzania aliowaumba.
Yeyote atakayeamua kumwacha shetani kwa maana ya CCM atakuwa ameongoka na kurudi kwa mola wake.
Kwa kulijua hilo ndio maana Kikwete kwa wema na roho yake ya huruma kwa watanzania ameamua kukiua Chama cha mapinduzi ili watanzania wawe huru mbali na dhulma.
KIKWETE ni chaguo la Mungu. Hata Nabii Buberwa amesema.
Lowasa hafai urais(tuwe waungwana na wakweli tu).
Na muarobaini wake ni huyu Mzee! Nasikia amekonga nyoyo za watu na amebomoa karibuni kambi zote!
Mkuu kujitolea napo ni kugawa pesa bure? Sio kila scandal inasababishwa na aliepata scandal zingine zinatokeaga ili kusave watu wengine, muda ukifika wa Lowassa kujisafisha atajisafisha sasa hiv anawapa wapinzani wake cha kukiongea mumpe umaarufu zaidi
Huyu ni mwiz tu
Unataka Ricmond namba 2 iibukiwe UKAWA?
Hahahahahahaaaa! Lowassa hana ubavu wa kubaki CCM kama atatoswa kwenye kuwania Urais. Kwa sababu anajua hawezi tena kusubiri miaka kumi ijayo kama alivyokubali kumsubiri Kikwete hadi atakapomaliza ungwe yake. Akitoshwa Urais atatoka tu CCM, na kuna kila dalili kuwa CCM hawatampa nafasi ya kuwania Urais mwakani.
Ova
Mmmh atakuja kuharibu chama yulemajembe yanalima huko vijini kama Lowassa ni jembe mwacheni huko monduli aendelea kulima uraisi ataishia kusikiliza kwenye redio tuu.