Mkadirie Umri wake

Mkadirie Umri wake

Amavubi

JF-Expert Member
Joined
Dec 9, 2010
Posts
30,156
Reaction score
13,267
1075643_665921953437671_1288813712_n.jpg
 
Anaweza akawa kwenye sitini na tano ila sabini hajafika

Usishangae ukiambiwa umri wake ni zaidi ya miaka 90...hivi unafahamu umri wa Rais wetu mstaafu Ali Hassan Mwinyi??? Wazee wa zamani walikuwa wanajitunza sana...Mzee huyo kwenye picha bila shaka hali mi-kuku hii ya siku hizi, wala maembe yanayooteshwa na kuzaa matunda kwa miaka mitatu, pia wanakula chakula bila mafuta ya kupikia ya korie...pia wanakunywa maziwa yanayotokana na ng'ombe halisi siyo ng'ombe wa siku hizi wanaochomwa sindano na nyama yake kuwa nyeupe...Mzee kama huyo kwenye picha matunda yake ni ya porini, na siyo machungwa yanayooteshwa Kibaha...
 
Back
Top Bottom