Dominic mr
Member
- Jan 19, 2018
- 9
- 1
Habari wana Jf . naomba msaada wenu wakunijuza taratibu/ngazi za jinsi yakupata kibali chakuchoma nakuuza mkaa wa mti poli ..
Ninasafisha shamba langu eka 30 .. Je ni swala linalowezekana??
Ninasafisha shamba langu eka 30 .. Je ni swala linalowezekana??