rosemarie
JF-Expert Member
- Mar 22, 2011
- 6,887
- 3,412
Hiyo mijamaa ya Mexico imeingia nchini kwa wingi mpaka naogopa wameona nini huku kwetu maana nilikwenda kwenye restaurant inayopika vyakula vyenye asili ya Mexico iliyoko kule Mikocheni nilishangaa hao jamaa wako wengi ajabu........ je ni wawekezaji au ndio wanatafuta ardhi ya kupanda ile makitu yao?
Na ile ziara ya mkuu wa kaya kule nchini kwao imezidi kufungua milango ya hawa jamaa kumiminika nchini kama wauza ng'ombe wa Pugu..........
yangu macho na masikio, tusubiri tutaujua ukweli siku si nyingi
Hivi mkuu una habari kwamba Tanzania imekuwa centre ya drugs supply??ndio nchi inayopitisha madawa kuliko nchi yoyote ile duniani,kuna madawa yanakuja ma meli hapa tone na tone za madawa na yanasafirishwa kuelekea nchi zingine