Mjue rafiki wa Isaac Newton, Bw. John Wickins

fungi6

JF-Expert Member
Nov 24, 2017
292
261
main-qimg-78b1495f07d9afa94c2e98671eeec66f.jpeg
huyu ndie Sir, Isaack newton.

Mtu alie kua mpweke mno. Hakua na mke wala mchumba wala maisha yakuchangamana na mtu yoyote yule duniani.

Huyu jamaa aliwai kua na rafiki mmoja maishani.
Alivyokua chuoni isaack newton alipata kua na rafiki mmoja tu kwa jina akifaamika kama JOHN WICKINS

urafiki wao umetokana na kua wamekua wakikutana sana njiani mda wakiwa wanatoka vipindi na kua karibu (majirani) kwenye vyumba vyao vya kuishi chuoni.kutokana na sababu hii apa ikawafanya wawe marafiki maana waliweza kuongea kwa kusalimiana mara kwa mara pale wanapo kutana.

Kwa kipindi cha miaka kazaa awa jamaa wakawa marafiki wakubwa bila kujali utata alio nao newton kwenye maisha yake. John wickin akujali ayo yote bali aliishi nae vyema kwa kua muangalizi mkuu wa newton akiwa anamuakikishia kua anakula na kupata muda wakupumzika.

Walikua wakisoma mambo ya shule kila wakati jambo ambalo walikua wanalipenda wote pamoja na pia john wickins amekua msaada mkubwa kwa crazy experiment tofauti tofauti ndani ya maabara akimsaidi newton kama assistance wake.

Ajabu nikua hawaku kaa kwa muda mrefu pamoja!!!!

hii ilitokea kwa sababu Newton hakua mtu wakujali watu hata kidogo nakuwa haoni umuhimu wao mpaka pale atakapo muhitaji mtu, kwa lugha nyepesi tunaweza sema huyu jamaa hakua akijali mtu kabisa

Baada ya John Wickins kuachana na Newton, Wickins ajawai kumuongelea kokote pale newton katika maisha yake!!!, japo watu wengi walitumai ukaribu wao na vitu baadhi walivyo fanya vitawapa majina na heshima kubwa kubwa duniani ila zote zikabaki wa newton pekee.


Inapo shangaza zaidi nikua huyu jamaa hata kwa watoto wake (John wickins) hakuwai kuwaambia kua anamfahamu newton!!!!!!!

Ila baada tu ya John wickins kuondoka Newton aliuona umuhimu wake sasa kwa maana uyu jamaa alikua anajitolea vyema kwenye maabara ya newton bila hiyana yoyote. Basi newton akaona umuhimu wa watu na kuanza kutafuta msaidizi wake kwenye maabara yake

Na uo ndo ulikua mwisho wa urafiki wao ambao hajawai tena pata rafiki wa namna hiyo

Newton hakuwai kua na maisha ya fun wala maraisi bali amekua mtu wakuhangaika tu akikosea vingi na kuoata furaha ndogo maishani ila akaishia kua mtu mashuhuri duniani.

Maisha yake yanaleta mjadala mkubwa sana duniani ukiongelea je ni vyema kuishi maisha ya anasa mbeleni au kuishi maisha magumu yakutafuta suluhisho zuri mbeleni ili kusaidia dunia na maisha yajayo?
(Hapa tunatakiwa tuwaze wenyewe)

Unadhani kuna umuhimu wakua na marafiki??

Marafiki ambao sio wa msingi sana kama maji na hewa vilivyo vya msingi katika maisha.. Ambao wachache ni wamanufaa ila wengi ni wakukukwamisha.

Basi ni vyema mtu kuchagua namna nzuri yakuishi bila kutegemeana sana kila kitu..
 
My role model na Tesla
Rafiki yake mkubwa mwingine aliitwa Diamond, Diamond alikua mbwa wake aliyeishi nae baada ya kutoweza ku interact na watu. Inasemekana Asilimia 50 ya kazi za Newton zimeharibiwa na Diamond. Alikua anapenda kuchana chana na kuvunja vitu maabara.
So hii kazi iliyopo leo ni mabaki au nusu tu
 
My role model na Tesla
Rafiki yake mkubwa mwingine aliitwa Diamond, Diamond alikua mbwa wake aliyeishi nae baada ya kutoweza ku interact na watu. Inasemekana Asilimia 50 ya kazi za Newton zimeharibiwa na Diamond. Alikua anapenda kuchana chana na kuvunja vitu maabara.
So hii kazi iliyopo leo ni mabaki au nusu tu
Angekua binadamu ndo amechana chana ivi kwwli angemuelewa au ndo ange mfanya specimen
 
Nikiwa chuo kuna jamaa alikuwa best student 3 years zote course zote na rafiki yake nilikuwa mm tuu .Na alikuwa anamaisha ya ajabu sana hakuwa na demu hatakuwahi nihadithia juu ya familia yake wala maisha yake ya nyuma .watu walikuwa wananiuliza mnaongeaga nn na jamaa hata mm nkawa sina jibu badae alipata sponsurship finland huko akafind love na anaishi huko ,I wish nimuone huyo shemeji yangu anafananaje maana jamaa nilikuwa nikimuuzi saa nne ananipigia simu nusu saa akiwa hakumbuki kitu pia sio muongeaji .
HII DUNIA INA MAMBO
 
Nikiwa chuo kuna jamaa alikuwa best student 3 years zote course zote na rafiki yake nilikuwa mm tuu .Na alikuwa anamaisha ya ajabu sana hakuwa na demu hatakuwahi nihadithia juu ya familia yake wala maisha yake ya nyuma .watu walikuwa wananiuliza mnaongeaga nn na jamaa hata mm nkawa sina jibu badae alipata sponsurship finland huko akafind love na anaishi huko ,I wish nimuone huyo shemeji yangu anafananaje maana jamaa nilikuwa nikimuuzi saa nne ananipigia simu nusu saa akiwa hakumbuki kitu pia sio muongeaji .
HII DUNIA INA MAMBO

Mkuu kuwa serious. Hii mada ni ya Sir Isaac Newton na rafiki zake. Braza umeishusha hadi kwa mshkaji wako aliyeongoza chuo na rafiki yake (wewe).. Kidding bro😎
 
Mkuu kuwa serious. Hii mada ni ya Sir Isaac Newton na rafiki zake. Braza umeishusha hadi kwa mshkaji wako aliyeongoza chuo na rafiki yake (wewe).. Kidding bro😎
Mkuu hiyo ni application ya alichoandika jamaa kwenye maisha yangu .we huna akili za isaac na hautakaa uwenazo.muhimu chukua msomo yakusaidie personally ndo maana maprofesa wa biashara hawawi matajiri maana wako kama ww
 
Sometimes marafiki wanazingua,mimi toka zamani nilikuwa na mpango wa kuwa na almost usd 500000 nikifikisha miaka 30,dah marafiki ndo niligundua ni kikwazo,najaribu kupiga kazi,ku-save hela lakini sasa kila weekend hao na mademu kula bata,wananitamanisha,nakaza ila mwisho wa siku naingia mtegoni,wakija ghetto wananiponda kudadeki kwamba"oohhh utakufa na hela zako,tutazitumia sisi" yaani mambo ni mengi wanakuondolea concentration mwisho wa siku unaishia kwenye mkondo wao...yaani kama una jambo lako unataka kulifanya kwa usahihi,epuka marafiki wengi
 
Sometimes marafiki wanazingua,mimi toka zamani nilikuwa na mpango wa kuwa na almost usd 500000 nikifikisha miaka 30,dah marafiki ndo niligundua ni kikwazo,najaribu kupiga kazi,ku-save hela lakini sasa kila weekend hao na mademu kula bata,wananitamanisha,nakaza ila mwisho wa siku naingia mtegoni,wakija ghetto wananiponda kudadeki kwamba"oohhh utakufa na hela zako,tutazitumia sisi" yaani mambo ni mengi wanakuondolea concentration mwisho wa siku unaishia kwenye mkondo wao...yaani kama una jambo lako unataka kulifanya kwa usahihi,epuka marafiki wengi
Kuna kitabu kinaitwa "how to influence other and develop friends iki nikizuri but ukiongeza mawazo yako apo unaweza kujua namna yakuishi nao if bado mpo na urafiki
 
Sometimes marafiki wanazingua,mimi toka zamani nilikuwa na mpango wa kuwa na almost usd 500000 nikifikisha miaka 30,dah marafiki ndo niligundua ni kikwazo,najaribu kupiga kazi,ku-save hela lakini sasa kila weekend hao na mademu kula bata,wananitamanisha,nakaza ila mwisho wa siku naingia mtegoni,wakija ghetto wananiponda kudadeki kwamba"oohhh utakufa na hela zako,tutazitumia sisi" yaani mambo ni mengi wanakuondolea concentration mwisho wa siku unaishia kwenye mkondo wao...yaani kama una jambo lako unataka kulifanya kwa usahihi,epuka marafiki wengi
Na mwenye masikio asikie.
 
Back
Top Bottom