Mjue Mungu "Amen" wa Misri. Ambae leo tunamsujudia Bila Kujua

sio huyo tu, karbia 98% ya majina ya Mungu ktk biblia yamepotosha ukwel kwa kufuta jina la kwel la Mungu na kupachika majina ya mashetani,,,hakuna histori ya kiumbe aliewahi kuwepo na akaitwa yesu(jesus,yeshua) wala Mungu hana majina mengi kama yale wanayomuita makanisan et yave,yehova,elishadai,elohim, haya yote ni majina ya mashetan ambayo wale walioandika biblia ama walio edit maaandiko original matakatfu wakafuta Jina hakisi La Mungu, Mungu wa kwel ana jina Moja tu, hayo mengine ni mashetan na mapepo, kizaz hiki hasa wakristo, mmedanganywa na mnaabudu vtu msivyo vijua, na tukiwaambia ukwel mnatukana, mm n mkristo niliyepitia maumvi ya kuabud upuuz kwa muda mrefu, lkn baada ya kupata maarifa mapya, nkaujua ukwel now nshaachana na dini maana zote zimepotosha ukwel, Katka sala za maombi kuna upotoshaji mwingi sana, nina ushahidi, mtu leo unapomuombea mwenye mapepo ama shida kwa kumtaja huyo kiumbe elishadai ama jesus, ama elohomu, jua kuwa unamuita pepo mwenye nguvu kwa iman yako ambapo huyo pepo akishafika atafanya vile unataka, hata kufukuza vijipepo vidogo ama kufanya uponyaji, haya yote yanafanyika kuwa hadaa ili msjue ukwel,..mambo ya iman tumedanganywaa sana yaan kama ikitokea waafrika wote tukaujua ukwel kama nnaoujua mm nasema kwanzia leo hakuna atakae kanyaga kanisa wala msikiti, eeh hakunaa, maana ukwel unajulkana kwa asilimia chacheee mnoo, na uongo unajulkana kwa 100% hatar sana , ukiwafuatilia viongoz wa dini wawe mashehe ama wachungaj, ukiwaona wanavyofundisha daaa adi uruma yaan anaongea kitu ambcho yeye mwenyew hana uwakika nacho, kwakua kakalili uongo bas nae anaueneza uo uongo, ukiwaona hawa watu unaishia kusikitika tu, maana hata uwaambie ukwel, watakupinga,,hasa watz n wavvu wa kusoma mambo ya maana, ndy maana uongo bado unatawala, kama wengi tungeachana na ushabiki wa kijinga na kuruhusu maarifa yafwate mkondo wake, basi mambo ya dini tungeachana nayo,,Mungu yupo ila sio hayo majini na mashetan na akina Allah,elohimu,elshadai,jehova,jesus,yesu hawa wote ni mapepo ambayo yaliabudiwa na wamisri then utaratbu ukaamia kwa wagiriki, then warumi na waarabu ambao hawa ndyo wamekuja kuarbu kila kitu kwa kuudanganya umma kumuhusu Mungu wa kwel, hawa hawakutaka tunuabudu shetan direct, bal waltumia njia za maficho kwa kuficha majina ya mashetan na kuyaita Miungu,.uwaga nawapa nafas hao wanaojiita walokole ajitokeze mmoja aje apingane na mm kwa points bila ubish wakijinga na mapenz ya dini, anaeona iman yake ipo thabit ajitokeze abishane na mm kwa hoja tuuu na sio vitisho vyakijinga vile vya oooh neno la Mungu haliojiwi, upuuzi huu......Shetan anatawala dunia, na kama anatawala dunia tegemea kuwa kila nyanja ya itikad za imani na maisha lazma azigusee tena kazigusa kwelkweli kias ambacho kwa wale vichwa panz lazma wapinge tuu,..
FB_IMG_16207313390655564.jpg
 
Habari. Kwa wasiojua, Leo napenda niwape Elimu juu ya Mungu kutoka Misri ya kale aliyeitwa "Amen". Misri ya kale ambayo Vitabu hivi vya sasa huita ni taifa lililolaaniwa kuna mambo mengi sana yaliyojificha ambapo hakuna Dini inayotaka Ufahamu.

AMEN Pia unaweza kumtamka kama Amun, Amon, Ammon, Amen, au Amin. Maana yake ni Mungu Asionekana, Aliejificha.

Huyu alikuwa ni Mungu Mwenye Nguvu Kuliko Miungu Mingine Mingi, Uwezo Wake Ulikuwa si wa kawaida. Jina La Mungu Amen Lilipochanganywa na Ra (Mungu Jua).

Wamisri walimfananisha Na Nguvu kuu isiyooneka (Upepo). Mbali na kuwa Wamisri walikuwa wana miungu zaidi ya 700, Waliamini ndiye Baba wa Mingu Yote.

Hivyo Katika sala Zao zote za kuomba kwa miungu wengine, Ilikuwa ni lazima Jina la Amen liwekwe kwenye Maombi Ili Maombi hayo Kujibiwa.

Alama ya Mungu huyu ilikuwa ni Binadamu aliye na Fimbo kuu, Huku akiwa amevalia Kofia ndefu kwenda juu. Katika wanyama Amen Alilinganishwa na Mbuzi Beberu.

Mafarao zaidi ya Mia 700 waliopata kutawala Misri, katika nyakati tofauti ni Pharao mmoja tu anayejulikanaye kama Akhenatten Ndiye Hakumsadiki Amen.

**Ikumbukwe Dini ya Misri ilishakufa yapata miaka Zaidi ya 2000 iliyopita, Kilichobaki ni kumbukumbu.

Leo hii Dini zote Ulimwenguni, Kama vile
hinduism, judaism, christianity, islam wanaweka Jina La Amen mwisho wa maombi Yao!

Ikumbukwe Wamisri waliweka Neno Amen Mwisho au mwanzo wa maombi, Sababu waliamini Amen ndiye Baba Ya yeyote anaieitwa Mungu.

Asubuhi njema.View attachment 1848229View attachment 1848256
Hiyo ni upotoshaji tuuu, inawezekana unalo lengo flan,
 
Kazi ipo asee! Kwaiyo Fact hapa ni kutumia neno amen kwenye maombi ya dini zetu ndio kunapelekea kuamini au kushawishika tumepata izo myth huko?

Kwenye uislam neno 'AMIIN' maana ake ni "mungu pokea maombi yetu" haijatolewa Relevant kwa yeyote isipokua maelezo ya kiongoz wetu wa dini ya kiislam kuwa tunapoomba tuitikie hivyo kama kuonyesha unyenyekevu ndani yake!

Anyway hayo mambo ya dini ya egypt sijui wapi zilikua ni vitu ambavyo vimesababisha Mungu kuwatuma watumishi wake kama Yesu kuja kuiweka sawa hii dhana ya kudhania kuwa Mungu ana msaidiz au ana washirika.

Masuala ya kiuungu ni mapana sana, kwa uwezo na uelewa wangu naomba niwasilishe haya machache!

Asanteni
 
Mungu anaye hubiriwa katika Ukristo yupo maeneo yote, siku zote, wamisionary hawakumleta Mungu Africa, walijaribu kumuelezea Mungu tunaemjua Ila kwa usahihi zaidi, Kuna makabila wanamwita Kyala, au Lesa n.k ingekuwa wazo la Mungu limeletwa na wakoloni Basi hata kwa kisukuma angeitwa God, au wangetohoa ingekuwa Igodi, abhagodi, ghodi n.k

Warumi walimwita "Mungu asiyejulikana" Paulo aliwahakikishia kuwa na yeye anamuhubiri Mungu Huyo Huyo wanayemwabudu Bila kumjua.

Hivyo hao wamisri wanaosema Mungu Amen ni Mungu asiyeonekana, Ila yupo kila mahali na ndio mwumbaji, Bila Shaka walikuwa na maana ileile
 
Habari. Kwa wasiojua, Leo napenda niwape Elimu juu ya Mungu kutoka Misri ya kale aliyeitwa "Amen". Misri ya kale ambayo Vitabu hivi vya sasa huita ni taifa lililolaaniwa kuna mambo mengi sana yaliyojificha ambapo hakuna Dini inayotaka Ufahamu.

AMEN Pia unaweza kumtamka kama Amun, Amon, Ammon, Amen, au Amin. Maana yake ni Mungu Asionekana, Aliejificha.

Huyu alikuwa ni Mungu Mwenye Nguvu Kuliko Miungu Mingine Mingi, Uwezo Wake Ulikuwa si wa kawaida. Jina La Mungu Amen Lilipochanganywa na Ra (Mungu Jua).

Wamisri walimfananisha Na Nguvu kuu isiyooneka (Upepo). Mbali na kuwa Wamisri walikuwa wana miungu zaidi ya 700, Waliamini ndiye Baba wa Mingu Yote.

Hivyo Katika sala Zao zote za kuomba kwa miungu wengine, Ilikuwa ni lazima Jina la Amen liwekwe kwenye Maombi Ili Maombi hayo Kujibiwa.

Alama ya Mungu huyu ilikuwa ni Binadamu aliye na Fimbo kuu, Huku akiwa amevalia Kofia ndefu kwenda juu. Katika wanyama Amen Alilinganishwa na Mbuzi Beberu.

Mafarao zaidi ya Mia 700 waliopata kutawala Misri, katika nyakati tofauti ni Pharao mmoja tu anayejulikanaye kama Akhenatten Ndiye Hakumsadiki Amen.

**Ikumbukwe Dini ya Misri ilishakufa yapata miaka Zaidi ya 2000 iliyopita, Kilichobaki ni kumbukumbu.

Leo hii Dini zote Ulimwenguni, Kama vile
hinduism, judaism, christianity, islam wanaweka Jina La Amen mwisho wa maombi Yao!

Ikumbukwe Wamisri waliweka Neno Amen Mwisho au mwanzo wa maombi, Sababu waliamini Amen ndiye Baba Ya yeyote anaieitwa Mungu.

Asubuhi njema.View attachment 1848229View attachment 1848256
Siyo kweli ndugu.Neno "Amen'' lina asili ya kiebrania;Maana yake ya msingi ni " Naiwe''/So be it(kwa kimombo).
Usilete mzaha na Lugha za asili.Lugha ya asili huwa imebeba muujiza wa utendaji.Leo hii watu hawafanikiwi hata manuizi yao kwa kuwa wananuiza kwa Lugha zisizo za asili(ya kule watokako wao kama wao).
Kabla ya Mwanadamu kuwa na Lugha hizi tulizonazo,palikuwa na Lugha ya asili ya pamoja kwa wanadamu wote.Lugha ile waliitumia miongoni mwao na kuzungumuza moja kwa moja na Mola wao.
Moja kati ya Lugha zenye muujiza ni Kiebrania kwa kuwa ni Lugha ya kale ambayo pengine ina nasaba na Lugha ya asili ya mwanadamu wa kabla ya Babel.
 
Mfano wa hadithi ya Yesu na Krishna wa wa Hindu



Wote Yesu na Krishna waliitwa Mungu na Wana wa Mungu

Wote waliitwa waokozi

Wote walitumwa toka mbinguni kuja duniani, na ni nafasi ya pili ya utatu mtakatifu

Hata baba wa Krishna wa duniani alikuwa seremala kama Yesu

Wote walitembelewa na wazee wenye busara walioongozwa na nyota walipozaliwa

Katika story zote mbili Malaika waliwaonya wazaz wao kuwa watawala walikuwa na mpango wa kuwaua watoto hao kwa kutoa amri ya kuwaua. Kwenye hadithi zote mbili wazazi walikimbia kuokoa maisha ya watoto. Wakati Maria an Yesu walikimbilia Egypt, Krishna walikimbilia Mathura.

Wakiwa watu wazima wote Yesu na Krishna walikimbilia jangwani na kufunga

Yesu aliitwa Simba wa Yuda wakati Krishna aliitwa Simba wa Saki

Wote walidai kuwa ndiyo njia ya ufufuo na uzima

Wote walidai kwamba walikuwepo hata kabla ya kuumbwa kwa dunia

Wotewalitenda miujiza.



Mfanano wa hadithi ya Yesu na Dionysus wa Wagiriki



Wote walizaliwa na mabikra huku Dionysus akwia amezaliwa December, 25

Wote walikuwa walimu (wahubiri) waliokuwa wakifundisha makundi ya watu toka sehemu moja kwenda nyingine

Dionysus alibadili maji kuwa DIvai

Dionysus alikuwa akiliwa kwenye karamu ya ibada kama inavyofanywa kanisani katika mwili na damu ya Yesu

Dionysus alitoka kuzimu siku ya tatu na kupaa mbinguni

Dionysus alikuwa akitambulika kwa picha ya mwanakondoo



Na kumbuka dini ya Kihindu na imani za Kigiriki ni za kale zaidi kuliko kuzaliwa kwa Yesu.
Hii naipataje kwa kirefu nijisomee na kuongeza maarifa mkuu
 
Amen kwa Kiebrania humaanisha NA IWE HIVYO
Hilo neno kwa kule mutwara ni jina la mtu...amina.....

.ni sawa na ntombazane kwa iSizulu ni dadangu!!
Kwa kiswahili utafungiwa humu jf usikanyage tena.

Imana south ni kiungo lkn kwa wajita Mama yangu utamke ivo??....
Matombo
Chiriku maneti.

Ok! kambi ya wakimbizi hapo northern kenya inaitwaje ka...kuuu.. Kwa hiyo haipo sababu ni tusi??

Kwa hiyo neno ""amen" lilikuwa kwa wa Misri ya kale. Kwani sisi ni wamisri wa kale??

Tombazani ni kwa wazulu siyo kwa waswahili..
 
Hilo neno kwa kule mutwara ni jina la mtu...amina.....

.ni sawa na ntombazane kwa iSizulu ni dadangu!!
Kwa kiswahili utafungiwa humu jf usikanyage tena.

Imana south ni kiungo lkn kwa wajita Mama yangu utamke ivo??....
Matombo
Chiriku maneti.

Ok! kambi ya wakimbizi hapo northern kenya inaitwaje ka...kuuu.. Kwa hiyo haipo sababu ni tusi??

Kwa hiyo neno ""amen" lilikuwa kwa wa Misri ya kale. Kwani sisi ni wamisri wa kale??

Tombazani ni kwa wazulu siyo kwa waswahili..
Opium
 
Hilo neno kwa kule mutwara ni jina la mtu...amina.....

.ni sawa na ntombazane kwa iSizulu ni dadangu!!
Kwa kiswahili utafungiwa humu jf usikanyage tena.

Imana south ni kiungo lkn kwa wajita Mama yangu utamke ivo??....
Matombo
Chiriku maneti.

Ok! kambi ya wakimbizi hapo northern kenya inaitwaje ka...kuuu.. Kwa hiyo haipo sababu ni tusi??

Kwa hiyo neno ""amen" lilikuwa kwa wa Misri ya kale. Kwani sisi ni wamisri wa kale??

Tombazani ni kwa wazulu siyo kwa waswahili..
Opium
 
Simply not true.

Amen tunayoitumia sisi inamaana "na iwe hivyo" na imetoka kwenye maandishi ya kiebrania.

Hizo theory za kuwa imetokana na mungu Amun ni just fringe theories with no roots or whatsoever.

Soma 👇
Amen is a word of Biblical Hebrew origin.[8] The word originated in the Hebrew Scriptures, as a confirmatory response; it is found in Deuteronomy as a confirmatory response made by the people.[9] Moreover, in the Books of Chronicles (16:36), it is indicated that around 1000 BC, the word was used in its religious sense, with the people responding "Amen" upon hearing the blessing, "Blessed be the Lord God of Israel from now and unto all eternity".[9] The basic triconsonantal root from which the word is derived, is common to a number of languages in the Semitic branch of the Afroasiatic languages, including biblical Aramaic.

The word was imported into Greek from the Judaism of the early Church.[3][10] From Greek, amen entered other European languages. According to a standard dictionary etymology of the English word, amen passed from Greek into Late Latin, and thence into English.[11] Rabbinic scholars from medieval France believed the standard Hebrew word for faith emuna comes from the root amen. as they are both from the root aleph-mem-nun. That is, the Hebrew word amen was thus etymologically derived from the same triliteral Hebrew root as does the verb ʾāmán

Kisha Soma 👇

Popular among some theosophists,[13] proponents of Afrocentric theories of history,[14] and adherents of esoteric Christianity[15] is the conjecture that amen is a derivative of the name of the Egyptian god Amun (which is sometimes also spelled Amen). Some adherents of Eastern religions believe that amen shares roots with the Hindu Sanskrit word Aum.[16][17][18][19] Such external etymologies are not included in standard etymological reference works. The Hebrew word, as noted above, starts with aleph, while the Egyptian name begins with a yodh
Achana na hizo theories za kisabato!! wewe ni complete westernised brain washed, you'r compeletely asleep! en you are comfortable about it!! tena mateka haswa!!

hakuna yesu mrembo mzungu aliye wahi kuishi km yule Blondish boy! hata!! eti ata kukomboa siku ya mwisho!! mweee ! ... hizo refferences zako za gwajima hizo!! zilipitwa na wkt tangu kitambooo!

na utasubiri sana dogo, yesu mzungu haji ng'oo! na kamwe!!! .........utanikumbuka muda umeshaenda sana! but muda wa kujiweka sawa ni sasa, tena umesema vizuri '' Afri asiatic language'' kwa nini isiwe ''Euro-asiatic language'' unajua kwa nini?

Yesu aliongea lugha za Kiyunani na Kiyahudi tu, sasa kwa nini Lugha ya kiungu imepotea Duniani? ila kiyunani kipo hadi kesho? yaani miafrica leo ''mnaabudu msichokijua''! ! alisema Nabii Musa some centuries ago! na ni kweli!
 
Achana na hizo theories za kisabato!! wewe ni complete westernised brain washed, you'r compeletely asleep! en you are comfortable about it!! tena mateka haswa!!

hakuna yesu mrembo mzungu aliye wahi kuishi km yule Blondish boy! hata!! eti ata kukomboa siku ya mwisho!! mweee ! ... hizo refferences zako za gwajima hizo!! zilipitwa na wkt tangu kitambooo!

na utasubiri sana dogo, yesu mzungu haji ng'oo! na kamwe!!! .........utanikumbuka muda umeshaenda sana! but muda wa kujiweka sawa ni sasa, tena umesema vizuri '' Afri asiatic language'' kwa nini isiwe ''Euro-asiatic language'' unajua kwa nini?

Yesu aliongea lugha za Kiyunani na Kiyahudi tu, sasa kwa nini Lugha ya kiungu imepotea Duniani? ila kiyunani kipo hadi kesho? yaani miafrica leo ''mnaabudu msichokijua''! ! alisema Nabii Musa some centuries ago! na ni kweli!
🤣🤣🤣
 
Mfano wa hadithi ya Yesu na Krishna wa wa Hindu



Wote Yesu na Krishna waliitwa Mungu na Wana wa Mungu

Wote waliitwa waokozi

Wote walitumwa toka mbinguni kuja duniani, na ni nafasi ya pili ya utatu mtakatifu

Hata baba wa Krishna wa duniani alikuwa seremala kama Yesu

Wote walitembelewa na wazee wenye busara walioongozwa na nyota walipozaliwa

Katika story zote mbili Malaika waliwaonya wazaz wao kuwa watawala walikuwa na mpango wa kuwaua watoto hao kwa kutoa amri ya kuwaua. Kwenye hadithi zote mbili wazazi walikimbia kuokoa maisha ya watoto. Wakati Maria an Yesu walikimbilia Egypt, Krishna walikimbilia Mathura.

Wakiwa watu wazima wote Yesu na Krishna walikimbilia jangwani na kufunga

Yesu aliitwa Simba wa Yuda wakati Krishna aliitwa Simba wa Saki

Wote walidai kuwa ndiyo njia ya ufufuo na uzima

Wote walidai kwamba walikuwepo hata kabla ya kuumbwa kwa dunia

Wotewalitenda miujiza.



Mfanano wa hadithi ya Yesu na Dionysus wa Wagiriki



Wote walizaliwa na mabikra huku Dionysus akwia amezaliwa December, 25

Wote walikuwa walimu (wahubiri) waliokuwa wakifundisha makundi ya watu toka sehemu moja kwenda nyingine

Dionysus alibadili maji kuwa DIvai

Dionysus alikuwa akiliwa kwenye karamu ya ibada kama inavyofanywa kanisani katika mwili na damu ya Yesu

Dionysus alitoka kuzimu siku ya tatu na kupaa mbinguni

Dionysus alikuwa akitambulika kwa picha ya mwanakondoo



Na kumbuka dini ya Kihindu na imani za Kigiriki ni za kale zaidi kuliko kuzaliwa kwa Yesu.
Hapa ndio uone ukuu wa Yesu. Hadi waislamu wanamtambua kwenye Quran. Na Quran imemwelezea vyema Kama Biblia. Sema tu Quran haimtambui Kama mwana wa Mungu. LAKINI MENGINE INAYAKUBALI. Yesu Kristo yupo Kila sehemu Hadi kwa wahindi na wagiriki.
 
Back
Top Bottom