Umfute Simba alipo au usimame, hiyo ni hatari sana.Kuna nadharia moja nilipewa sjiu kama ina ukweli,kuwa ukikutana na Simba uso kwa uso,usigeuke nyuma na kukimbia,unachotakiwa kufanya ni kundelea kumfuata kule aliko na yeye akishaona hivyo hukimbia...
Yanga mnashida sanaKichwa cha mada nikadhania unaizungumzia Simba Sports Club