Acheni upuuzi na hiyo attitude ndiyo imelifikisha hilo taifa hapo lilipo, toka lini mwizi akawa mjasiriamali na shujaa??????? Hao wenye mgodi si wanafanya biashara kwa terms, conditions na mkataba halali waliowekeana na serikali??????? Sasa kama serikali yetu kupitia corruption ikafanya tupunjwe si justification hata kidogo ya kubariki uhalifu. It is pathetic kujustify uhalifu eti kwa sababu wenye mgodi wanadhaniwa kutuibia.
Taifa hilo ni kama lina laana, badala ya kuikomalia serikali ya CCM iliyoingia mkataba na hao wawekezaji, eti kuna watu wanataka tuamini our revenge ni thru uhalifu. Badala ya kuelekeza shutuma, na kuiwajibisha serikali ya CCM kwa tabia mazoea ya kuomba omba watanzania wanakomalia kauli za Cameron na Obama kuhusu gay rights.