TANESCO wasaini mkataba wa kuuziana umeme na Geita Gold Mining

JUMA JUMA

JF-Expert Member
Jan 5, 2013
640
818
TANESCO KUVUNA BILIONI 5 MAPATO YA MWEZI KUTOKA GGM

Kukamilika kwa mradi wa kupeleka umeme kwenye Kampuni ya uchimbaji madini ya dhahabu ya Geita Gold Mining (GGM) kutaliwezeshaTANESCO kupata kiasi cha shilingi bilioni 5 kwa mwezi zitakazotokana na mauzo ya umeme.

Source: TANESCO

===

Shirika la umeme nchini TANESCO na Mgodi wa dhahabu wa Geita GGM wamesaini mkataba wa kuuziana umeme.

Takribani miaka 20 mgodi wa GGM unatumia mafuta katika kuendesha shughuli zake jambo ambalo ni gharama ukilinganisha na utumiaji wa umeme.

Aidha mradi huo unaotarajiwa kukamilika disemba 22 utasaidia mapato ya bilioni 7 kwa TANESCO yatakayolipwa na Mgodi wa GGM.

Chanzo: Star TV
 
Tanesco inapata fedha nyingi sana lakini zinaishia kwenye uendeshaji.

Serikali ifuatilie kwa karibu ili ipate gawio kubwa
 
Shirika la umeme nchini TANESCO na Mgodi wa dhahabu wa Geita GGM wamesaini mkataba wa kuuziana umeme.

Takribani miaka 20 mgodi wa GGM unatumia mafuta katika kuendesha shughuli zake jambo ambalo ni gharama ukilinganisha na utumiaji wa umeme.

Aidha mradi huo unaotarajiwa kukamilika disemba 22 utasaidia mapato ya bilioni 7 kwa TANESCO yatakayolipwa na Mgodi wa GGM.

Chanzo: Star TV
My God mtumia umeme mkubwa kama huyu atasubiri miezi kumi hadi December 2022 kupata umeme? Hivi Tanesco wanaumwa kipindupindu au?

Hilo libinafisishwe tu tujue moja

Mteja mkubwa huyo ilitakiwa afungiwe chapchap

Haya endeleeni kumuuzia mafuta kampuni zenu wahujumu uchumi nyie zifaidi hadi hapo taree 22 December loooo

Hivi kuhujumu kampuni ya umma Tanesco ili muuze mafuta ya kampuni zenu kunawasaidia nini hasa?
 
Pongezi kwa JPM na watendaji kufanya maamuzi mradi, wamechelewa Sana kwa zaidi ya miaka 20 kutumia fursa soko la GGM.
 
Tanesco inapata fedha nyingi sana lakini zinaishia kwenye uendeshaji.

Serikali ifuatilie kwa karibu ili ipate gawio kubwa
Hivi katika Objectives na Mission ya Tanesco ni kutoa Gawio ?

Is it a Profit Oriented or Service Oriented..., Kama issue ni profit tu hawashindwi kesho wakapandisha bei maradufu and non can say otherwise (after all Gawio litaongezeka)
 
Hivi katika Objectives na Mission ya Tanesco ni kutoa Gawio ?

Is it a Profit Oriented or Service Oriented..., Kama issue ni profit tu hawashindwi kesho wakapandisha bei maradufu and non can say otherwise (after all Gawio litaongezeka)
Review your question(s). Even Tanesco doesn't have answers infact.
 
TANESCO KUVUNA BILIONI 5 MAPATO YA MWEZI KUTOKA GGM

Kukamilika kwa mradi wa kupeleka umeme kwenye Kampuni ya uchimbaji madini ya dhahabu ya Geita Gold Mining (GGM) kutaliwezeshaTANESCO kupata kiasi cha shilingi bilioni 5 kwa mwezi zitakazotokana na mauzo ya umeme.

Source: TANESCO

===

Shirika la umeme nchini TANESCO na Mgodi wa dhahabu wa Geita GGM wamesaini mkataba wa kuuziana umeme.

Takribani miaka 20 mgodi wa GGM unatumia mafuta katika kuendesha shughuli zake jambo ambalo ni gharama ukilinganisha na utumiaji wa umeme.

Aidha mradi huo unaotarajiwa kukamilika disemba 22 utasaidia mapato ya bilioni 7 kwa TANESCO yatakayolipwa na Mgodi wa GGM.

Chanzo: Star TV
Sukuma gang watanuna 😆😆
 
ghalama wanayo tumia geita kuzalisha umeme ni kubwa sana.hii itasaidia kupata pesa nyingi tanesco
 
My God mtumia umeme mkubwa kama huyu atasubiri miezi kumi hadi December 2022 kupata umeme? Hivi Tanesco wanaumwa kipindupindu au?

Hilo libinafisishwe tu tujue moja

Mteja mkubwa huyo ilitakiwa afungiwe chapchap

Haya endeleeni kumuuzia mafuta kampuni zenu wahujumu uchumi nyie zifaidi hadi hapo taree 22 December loooo

Hivi kuhujumu kampuni ya umma Tanesco ili muuze mafuta ya kampuni zenu kunawasaidia nini hasa?
Boss, hapo inabidi ijengwe sub-station ya kupoozea umeme, so hapo kuna procurement process ya materials, transportation ya materials kutoka Europe/Asia hadi yafike hapa, installation ya hiyo sub-station, commissioning, testing, etc.... inawezekana pia haya yote kufanyika hiyo December ikapita.
 
4 Reactions
Reply
Back
Top Bottom