Mjomba wangu sitakusahau

Huyu jamaa ni comedian
Ana post nyingene, anahitaji kukodi mbwa wa3 kwa sababu mbwa wake aina Germany Shepard walimezwa na chatu, na hiyo chatu alimeza mifugo yake Kama mbuzi kuku na ngombe, Ila hao mbwa watatu wakimezwa itabidi mkodishaji wakae Tena mezani

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Huyu sio darasa la saba. Bahati mbaya tumezoea tafsiri rahisi. Tutafakari. Why Dakitari na Mtanesco yaani umeme. Alirushwa na umeme, akarudi mjini. Alizoea kuchimbia nguzo.....
 
Yaani nilipofika hapo anaomba kazi ya udaktari nilitaka niachie kurndelea kusoma Ila nilishawahi ngoja niendelee ili kuifurahisha nafsi tu.
-DARASA LA SABA NA UDAKTARI NA TANESCO
-MJOMBA HAKUMBIA KAMA UMEME NI HATARI
Huyu bro nina uwalakini na upstairs kwake Kama kupo vizuri, siioni lawama anazostahili mjomba hapa
Mbona kama ulikuwa na kiherehere sana Mkuu... Ulitaka kazi ya udaktari wakati hukuwa na taalumu mara utanesco
... Nadhani hata rafiki wa mjomba wako alikuzingua tu baada ya kukusoma!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ahaha! Mkuu hapa hamna kitu, dishi limeyumba afu ujue jamaa anakaribia kuoa πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Hapana sikuwa najua taaluma ya udaktari.

Sent using Jamii Forums mobile app
yaani hata taaluma ya udaktari ulikuwa hujui ila ukahtaj kaz ya udaktari,,,,,, nimesoma pia umesema ulimwomba mjomba wako akusaidie hata kaz ya utanesco,hii ni kaz gan na inahtaji watu wenye taaluma gani??? kama unamlaum mjomba wako kwa sababu hizi basi ww ni mpumbavu haswaa
 
Ahaha! Mkuu hapa hamna kitu, dishi limeyumba afu ujue jamaa anakaribia kuoa πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
Haha anasema in 2004 he was 20 years old na ndio alikuwa namaliza darasa la saba. Sasa hivi jamaa ana 36 na bado tu anamlaumu mjomba akeπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
Dunia ina mambo
 
Ulivyo mjomba wako angekuweka dukani tu kwa hizo akili angekuzindika.

Jilimie, jembe halimtupi mtu

Sent using Jamii Forums mobile app
Hahaha mamii umeua labda angezindikwa dukani?! πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
Mwishoni anamalizia "Namtumia ulezi, tenda wema nenda zako". πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Mkuu huyu jamaa hayupo serious, ni comedian angalia nyuzi zake zote
Sent using Jamii Forums mobile app
 
nikawawahi na kuwaomba samahani na kumwambia mjomba tumehangaika sana kutafuta kazi naomba ongea hata na rafiki yako anisaidie kazi hata udaktari tu kama atapata nafasi anipe ajira. Mjomba akasema sawa nitaongea naye na yule daktari akasema akipata nafasi ataniambia.

Aisee

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…