GE2025 Mjimpya- Morogoro, wajumbe kuanza mchakato wa kuhesabu kura

GE2025 Mjimpya- Morogoro, wajumbe kuanza mchakato wa kuhesabu kura

Matukio, Taarifa, Habari na Mijadala ya Wananchi WAKATI wa Mchakato wa Uchaguzi Mkuu 2025

Wild Flower

JF-Expert Member
Joined
Jul 20, 2023
Posts
844
Reaction score
1,608
Msimamizi wa uchaguzi na Mjumbe wa Halmashauri Kuu ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) Mkoa wa Morogoro, Kheri Mkamba, leo ameongoza zoezi la kuanza kwa uchaguzi wa kura za maoni katika Kata ya Mjimpya, Manispaa ya Morogoro.​

1754300517264.png

Pichani Mkamba akionyesha sanduku la kura pamoja na kura ambazo bado hazijapigwa, ikiwa ni hatua ya kuhakikisha uwazi na uaminifu kabla ya kuanza rasmi kwa zoezi hilo.

Uchaguzi huo unalenga kumpata mgombea wa nafasi ya Diwani wa Kata ya Mjimpya na Mbunge watakaokiwasilisha Chama Cha Mapinduzi katika Uchaguzi Mkuu unaotarajiwa kufanyika Oktoba mwaka huu.
 
Back
Top Bottom