Mjiandae Kisaikoloji

Mjiandae Kisaikoloji

My Son drink water

JF-Expert Member
Joined
Nov 30, 2016
Posts
4,930
Reaction score
13,333
Aisee miaka inakimbia kama gari yaani, nipo kijijini kwetu Magu nakula viazi vitamu mwezi wa pili leo.

Yaani natumia Ka Tecno kangu baada ya kuibiwa kila kitu na machokora wa Nairobi.

Viazi vitamu na karanga za kukaanga na chai ya maziwa ni vitamu asikuambie mtu, Burger za nyama ya kondoo hazina dili kabisa.

Wananzengo mjiandae kisaikoloji over the up coming heavy news which will be trending in the social networks .
 
Aisee miaka inakimbia kama gari yaani, nipo kijijini kwetu Magu nakula viazi vitamu mwezi wa pili leo.
Yaani natumia Ka Tecno kangu baada ya kuibiwa kila kitu na machokora wa Nairobi.
Viazi vitamu na karanga za kukaanga na chai ya maziwa ni vitamu asikuambie mtu, Burger za nyama ya kondoo hazina dili kabisa.
Wananzengo mjiandae kisaikoloji over the up coming heavy news which will be trending in the social networks .


Kafa au anaumwa???🙊
 
Naomba nisiongezee neno mie....
IMG-20200801-WA0013.jpg
 
Aisee miaka inakimbia kama gari yaani, nipo kijijini kwetu Magu nakula viazi vitamu mwezi wa pili leo.
Yaani natumia Ka Tecno kangu baada ya kuibiwa kila kitu na machokora wa Nairobi.
Viazi vitamu na karanga za kukaanga na chai ya maziwa ni vitamu asikuambie mtu, Burger za nyama ya kondoo hazina dili kabisa.
Wananzengo mjiandae kisaikoloji over the up coming heavy news which will be trending in the social networks .
Mkuu corona imeshafanya kazi huko burigi au?
 
Ngoja nichokoze..😅

Alieandika huu ushuzi mwambieni akanywe maji atakatishe tumbo au atumie sanitizer..
Nchi yetu atuachie..😜
 
Aisee miaka inakimbia kama gari yaani, nipo kijijini kwetu Magu nakula viazi vitamu mwezi wa pili leo.
Yaani natumia Ka Tecno kangu baada ya kuibiwa kila kitu na machokora wa Nairobi.
Viazi vitamu na karanga za kukaanga na chai ya maziwa ni vitamu asikuambie mtu, Burger za nyama ya kondoo hazina dili kabisa.
Wananzengo mjiandae kisaikoloji over the up coming heavy news which will be trending in the social networks .
No problem.
We still have many candidates - Musiba , Makonda etc!
 
Back
Top Bottom