Mji Wa Kigamboni Warejeshwa Temeke

Mji Wa Kigamboni Warejeshwa Temeke

Longo longo tu, wameshindwa. Kuendeleza kieneo kidogo cha kutoka Feri hadi Kibugumo "B" je mpk Pemba mnazi ndio wataweza
 
Mji ukishajengwa vituo vya basi vitakuwa hivi:

1. Kibada: Kwa Obama
2. Garibovu: Kwa Clinton
3. Ungindoni: Kwa Rice
4. Mjimwema: Chicago
4. Maweni: Oregon
5. Bigstone: Kwa Bush
6. Kwa Mwingira: Rice Corner
7. Makaburini: September Eleven
8. Mikadi: Kwa Washington
9. Machava: Clinton Square
10.Feri: New Hawaii
 
Nimetonywa na jamaa kuwa kuna eneo huko Kigamboni kuna gesi kwa wingi na ndio maana kuna hiki kiini macho cha KDA mara mji mpya na baadae Mji wa kisasa.
 
He ina maana mama Anna alikaa mezani kwake akapitisha maamuzi yake kuhusu KDA na
akatangaza!!!! Tanzania kweli ina viongozi vituko"
 
Nimetonywa na jamaa kuwa kuna eneo huko Kigamboni kuna gesi kwa wingi na ndio maana kuna hiki kiini macho cha KDA mara mji mpya na baadae Mji wa kisasa.

Gesi iko pale Vijibweni; nami nina ka kiwanja hapo karibu na kwa Balozi Dr. Hassan Kibelloh na Kagasheki. Halafu ujue Mwenyekiti/Rais wa Klabu wa Yanga, Mh. Yusuph Manji, ndiye mwenye eneo kubwa kuliko sisi sote huko Kigamboni. Patachimbika.
 
Mnamo tarehe 7/12/ 2012 waziri wa Ardhi nyumba na maendeleo Pro Anna Tibaijuka alisafiri kwenda nchini Thailand ambako alikutana na wakuu wa kampuni kutoka China na kusaini mkataba wa ujenzi wa mji wa Kigamboni. Tayari baadhi ya wachina wameshafika na kundi jingine linakuja.

Katika safari hii mheshimiwa waziri aligharimiwa kila kitu.
kama miradi huu ni wa serikali kwa nini asitumie wataalamu kutoka serikalini kusaini mikataba huu?
 
Mji ukishajengwa vituo vya basi vitakuwa hivi:

1. Kibada: Kwa Obama
2. Garibovu: Kwa Clinton
3. Ungindoni: Kwa Rice
4. Mjimwema: Chicago
4. Maweni: Oregon
5. Bigstone: Kwa Bush
6. Kwa Mwingira: Rice Corner
7. Makaburini: September Eleven
8. Mikadi: Kwa Washington
9. Machava: Clinton Square
10.Feri: New Hawaii

Kona ya Kibada je?
 
Baada ya malalamiko ya Wananchi na Madiwani pamoja na Wadau mbalimbali hatimae Serikali kwa kupitia kwa Waziri wake Anna Tibaijuka imeurudisha mji wa Kigamboni Chini ya Halmashauri ya Wilaya ya Temeke.
Ametoa ufafanuzi ya kuwa kitengo cha kuuboresha mji huo kitabaki kikijitegemea ila shughuli nyingine zitakuwa chini ya mkuu wa Wilaya kama mwanzo.

Huu utaratibu wa serikali kujiamulia mambo yake kienyeji bila kushirikisha washikadau wakubwa ambao ni Wananchi si mzuri umepitwa na wakati na zaidi huchochea Vurugu.
Chanzo. StarTv

Bora mama Tibaijuka umeliona hilo maana mngeleta ya Mtwara Kigamboni!! Wananchi ni lazima sasa watetee rasilimali zao maana serikali inawafanya watumwa ndani ya nchi yao na wawekezaji uchwara mabepari wanakumbatiwa!!! Ardhi ni suala sensitive sana na matokeo yake unapogawia wageni kama njugu ni yale ya Makaburu wa Afrika ya Kusini ndiyo unayaleta Tanzania. Beware mama!!
 
It doesnt matter. Whether Kigamboni ipo temeke, mbagala, ilala, keko or Lindi region, we dont care. Haituhusu. Tunachotaka kuona sisi ni maendeleo. Mji safi, barabara, hospitali, umeme, masoko ya kisasa, shule za sekondari, vyuo nk. nk.

dont you care whether will be administered by Tanzania or America? je hayo majumba unayoyashangilia unajua wamiliki watakuwa nani? Unajua lolote kuhusu township za Johannesburg zilivyoanza mpaka ubaguzi wa rangi ukaenea? Kigambozi kama hatutakuwa makini itakuwa territory ya Marekani. We chekelea maghorofa tu. We need to know excatly every detail!
 
We need a modern city, there is no any development in this world which occured bila baadhi ya watu kuumia.
Hivi wanaoindeleza Dubai ni wapumbavu????? Leo hii project Kigamboni ikitake off nani ataenda kununua plot Masaki ya dola laki 5 na zaid?
Je mwamanchi wa kawaida aliyepewa nyumba ya millioni 100 ktk huo Mradi akiamua kuuza atauza sh ngapi? Mjomba wangu wa Gezaulole kiwanja chake kitapanda thamani mara ngapi mradi uki take off???
Dar es Salaam ya leo ni mbaya, Chafu, haivutii hata kidogo kwa mtu mwenye pesa yake kuja kupumzika.
Tunahitaji watalii kufikia 2015 wawe 1m and above na ikibidi 2030 wawe 5m and above.
Watu wanataka wakishamaliza kuona Simba wakifanya mapenzi nao waende sehemu kujirusha na kula bata( Kigamboni ingekuwa ideal) leo hii niambie waende wapi????.
Juzi Kibaki kachukua plani mnazopinga za Kigamboni anaimplement kwao, nyie pigeni makelele mkiamka itakuwa imekula kwetu.
NINGEKUWA NA UWEZO NINGE MWAMBIA MAMA TIBAIJUKA TIA PAMBA MASIKIONI ENDELEZA MRADI WATAKUSHUKURU BAADAE WAKISHA ONA (Watengenezee MACAU ya TZ)
Baba, wajomba walichapwa na Mjerumani viboko leo hii tuna reli ya Kati, Mwl na waliomfuata wameleta siasa katika mambo ya maendeleo ndo maana tuko hivi tulivyo.
TUSHABIKIE UJINGA NA TUTABAKI HIVI HIVI NA UMASIKINI WETU, MANISPAA ZETU ZINA NINI KA SIO PANGO LA WACHUMIA TUMBO? MIAKA 50 YA UHURU NI MANISPAA GANI IMEFANIKIWA KTK MIPANGO MJI?????? TAFAKARI HALAFU UCHUKUE HATUA!!!!!
 
We need a modern city, there is no any development in this world which occured bila baadhi ya watu kuumia.
Hivi wanaoindeleza Dubai ni wapumbavu????? Leo hii project Kigamboni ikitake off nani ataenda kununua plot Masaki ya dola laki 5 na zaid?
Je mwamanchi wa kawaida aliyepewa nyumba ya millioni 100 ktk huo Mradi akiamua kuuza atauza sh ngapi? Mjomba wangu wa Gezaulole kiwanja chake kitapanda thamani mara ngapi mradi uki take off???
Dar es Salaam ya leo ni mbaya, Chafu, haivutii hata kidogo kwa mtu mwenye pesa yake kuja kupumzika.
Tunahitaji watalii kufikia 2015 wawe 1m and above na ikibidi 2030 wawe 5m and above.
Watu wanataka wakishamaliza kuona Simba wakifanya mapenzi nao waende sehemu kujirusha na kula bata( Kigamboni ingekuwa ideal) leo hii niambie waende wapi????.
Juzi Kibaki kachukua plani mnazopinga za Kigamboni anaimplement kwao, nyie pigeni makelele mkiamka itakuwa imekula kwetu.
NINGEKUWA NA UWEZO NINGE MWAMBIA MAMA TIBAIJUKA TIA PAMBA MASIKIONI ENDELEZA MRADI WATAKUSHUKURU BAADAE WAKISHA ONA (Watengenezee MACAU ya TZ)
Baba, wajomba walichapwa na Mjerumani viboko leo hii tuna reli ya Kati, Mwl na waliomfuata wameleta siasa katika mambo ya maendeleo ndo maana tuko hivi tulivyo.
TUSHABIKIE UJINGA NA TUTABAKI HIVI HIVI NA UMASIKINI WETU, MANISPAA ZETU ZINA NINI KA SIO PANGO LA WACHUMIA TUMBO? MIAKA 50 YA UHURU NI MANISPAA GANI IMEFANIKIWA KTK MIPANGO MJI?????? TAFAKARI HALAFU UCHUKUE HATUA!!!!!

Ndugu yangu wewe unaongea kama Muhongo alivyokuwa anajibu mambo ya Mtwara, yaani off point
Watu wanahoji kwa nini serikali inalazimisha na kudanganya wameshashirikisha wananchi wakati siyo kweli
Watu wanahoji uadilifu wa serikali kutekeleza miradi ya ardhi bila kudhulumu wananachi na kufanya ufisadi
Hakuna mtu asiyetaka modern city, watu hawataki huo mchakato
 
We need a modern city, there is no any development in this world which occured bila baadhi ya watu kuumia.
Hivi wanaoindeleza Dubai ni wapumbavu????? Leo hii project Kigamboni ikitake off nani ataenda kununua plot Masaki ya dola laki 5 na zaid?
Je mwamanchi wa kawaida aliyepewa nyumba ya millioni 100 ktk huo Mradi akiamua kuuza atauza sh ngapi? Mjomba wangu wa Gezaulole kiwanja chake kitapanda thamani mara ngapi mradi uki take off???
Dar es Salaam ya leo ni mbaya, Chafu, haivutii hata kidogo kwa mtu mwenye pesa yake kuja kupumzika.
Tunahitaji watalii kufikia 2015 wawe 1m and above na ikibidi 2030 wawe 5m and above.
Watu wanataka wakishamaliza kuona Simba wakifanya mapenzi nao waende sehemu kujirusha na kula bata( Kigamboni ingekuwa ideal) leo hii niambie waende wapi????.
Juzi Kibaki kachukua plani mnazopinga za Kigamboni anaimplement kwao, nyie pigeni makelele mkiamka itakuwa imekula kwetu.
NINGEKUWA NA UWEZO NINGE MWAMBIA MAMA TIBAIJUKA TIA PAMBA MASIKIONI ENDELEZA MRADI WATAKUSHUKURU BAADAE WAKISHA ONA (Watengenezee MACAU ya TZ)
Baba, wajomba walichapwa na Mjerumani viboko leo hii tuna reli ya Kati, Mwl na waliomfuata wameleta siasa katika mambo ya maendeleo ndo maana tuko hivi tulivyo.
TUSHABIKIE UJINGA NA TUTABAKI HIVI HIVI NA UMASIKINI WETU, MANISPAA ZETU ZINA NINI KA SIO PANGO LA WACHUMIA TUMBO? MIAKA 50 YA UHURU NI MANISPAA GANI IMEFANIKIWA KTK MIPANGO MJI?????? TAFAKARI HALAFU UCHUKUE HATUA!!!!!

Nini kilifanya hayo yote yakatokea kama sio siasa mbovu za chumia TUMBO? Hakuna asipenda maendeleo, ila wanasiasa wamezidi Ubabaishaji, huyo mama tangu akiwa UN kazi kuropoka tu, hajafanyia Watz lolote, Uwaziri kaanza kwa mbwembwe hadi leo hajafanya kitu. Mbabue na mawe akija tena Kigamboni
 
Baada ya malalamiko ya Wananchi na Madiwani pamoja na Wadau mbalimbali hatimae Serikali kwa kupitia kwa Waziri wake Anna Tibaijuka imeurudisha mji wa Kigamboni Chini ya Halmashauri ya Wilaya ya Temeke.
Ametoa ufafanuzi ya kuwa kitengo cha kuuboresha mji huo kitabaki kikijitegemea ila shughuli nyingine zitakuwa chini ya mkuu wa Wilaya kama mwanzo.

Huu utaratibu wa serikali kujiamulia mambo yake kienyeji bila kushirikisha washikadau wakubwa ambao ni Wananchi si mzuri umepitwa na wakati na zaidi huchochea Vurugu.
Chanzo. StarTv

Swali ni itawezekanaje au itafanyaje kazi - mamlaka au wakala anayejitegemea wakati huo huo chini ya manispaa? I just cannot see it working! Wizara, manispaa, wakala/mamlaka watahusianaje katika ujenzi huu. Kuna kazi bado ya kufanya.
 
Hii serikali sasa kama kipepeo...no direction at all
marehemu Kolimba Katibu Mkuu wa CCM (RIP) aliyaona hayo miaka 15 na ushee iliyopita, sasa watanzania wa hali ya chini kabisa ndiyo wameanza kuyagundua leo hii. Kuwa na serikali kipepeo ni hatari kuwa usalama wa taifa.
 
We need a modern city, there is no any development in this world which occured bila baadhi ya watu kuumia.
Hivi wanaoindeleza Dubai ni wapumbavu????? Leo hii project Kigamboni ikitake off nani ataenda kununua plot Masaki ya dola laki 5 na zaid?
Je mwamanchi wa kawaida aliyepewa nyumba ya millioni 100 ktk huo Mradi akiamua kuuza atauza sh ngapi? Mjomba wangu wa Gezaulole kiwanja chake kitapanda thamani mara ngapi mradi uki take off???
Dar es Salaam ya leo ni mbaya, Chafu, haivutii hata kidogo kwa mtu mwenye pesa yake kuja kupumzika.
Tunahitaji watalii kufikia 2015 wawe 1m and above na ikibidi 2030 wawe 5m and above.
Watu wanataka wakishamaliza kuona Simba wakifanya mapenzi nao waende sehemu kujirusha na kula bata( Kigamboni ingekuwa ideal) leo hii niambie waende wapi????.
Juzi Kibaki kachukua plani mnazopinga za Kigamboni anaimplement kwao, nyie pigeni makelele mkiamka itakuwa imekula kwetu.
NINGEKUWA NA UWEZO NINGE MWAMBIA MAMA TIBAIJUKA TIA PAMBA MASIKIONI ENDELEZA MRADI WATAKUSHUKURU BAADAE WAKISHA ONA (Watengenezee MACAU ya TZ)
Baba, wajomba walichapwa na Mjerumani viboko leo hii tuna reli ya Kati, Mwl na waliomfuata wameleta siasa katika mambo ya maendeleo ndo maana tuko hivi tulivyo.
TUSHABIKIE UJINGA NA TUTABAKI HIVI HIVI NA UMASIKINI WETU, MANISPAA ZETU ZINA NINI KA SIO PANGO LA WACHUMIA TUMBO? MIAKA 50 YA UHURU NI MANISPAA GANI IMEFANIKIWA KTK MIPANGO MJI?????? TAFAKARI HALAFU UCHUKUE HATUA!!!!!

Ngug yangu Lingusenguse nadhani wewe hujatuelewa wananchi wa Kigamboni, hatupingi mji mpya wa maendeleo ya mji, ila je serikali yetu itaweza, wametusimamisha kwa muda wa miaka 3, badala waje na kwa nini wameshindwa kufanya kitu kwa muda wote huo ndio kwanza wanaongeza eneo, hapo ww unaona sawa? Ferry pale kila siku magari yanagongana kutokana na ufinyu wa eneo, kwa nini serikali iserekebishe tatizo la pale kwanza,Ferry ndio commercial area mimi naona wangeanza na Ferry mpk Machava kwanza hapo hata ss wananchi tungekuwa na imani.
 
Back
Top Bottom