Ngug yangu Lingusenguse nadhani wewe hujatuelewa wananchi wa Kigamboni, hatupingi mji mpya wa maendeleo ya mji, ila je serikali yetu itaweza, wametusimamisha kwa muda wa miaka 3, badala waje na kwa nini wameshindwa kufanya kitu kwa muda wote huo ndio kwanza wanaongeza eneo, hapo ww unaona sawa? Ferry pale kila siku magari yanagongana kutokana na ufinyu wa eneo, kwa nini serikali iserekebishe tatizo la pale kwanza,Ferry ndio commercial area mimi naona wangeanza na Ferry mpk Machava kwanza hapo hata ss wananchi tungekuwa na imani.