Tushirikishane
Member
- Aug 9, 2016
- 13
- 67
Mradi wa Tushirikishane (JamiiForums yazindua rasmi mradi wa "Tushirikishane") umeanza rasmi jimbo la Kigoma ujiji chini ya Uongozi wa Mheshimwa Zitto Zuberi Kabwe Zitto
Tokana na misingi ya TUSHIRIKISHANE iliyoelemea katika kuwawezesha wabunge wa kuchaguliwa kutekeleza ahadi 4 kati ya jumla ya ahadi walizotoa wakati wa uchaguzi kwa urahisi kwa kushirikiana na wananchi; mada hii itatumika kuwasilisha, kujadili na kupeana taarifa ya kile kinachojiri Kigoma Ujiji.
Katika Warsha ya Kigoma, Mh. Zitto aliongeza ahadi mbili zaidi alizoahidi nazo zitaenda sambamba na nne zilizokubaliwa na wananchi ndani ya mradi huu.
2. Kuboresha mazingira ya Biashara, kuondoa kero ya ushuru Kwa wafanyabiashara wadogo Kwa mujibu wa Sheria ndogo za Manispaa na kujenga Bandari(Jetty) mpya eneo la Forodha ya Ujiji ili kurudisha hadhi ya mji wa Ujiji, na Bandari ya Kibirizi.
3. Kuhamasisha na kusaidia urasimishaji wa vikundi vya uzalishaji mali vya Wananchi (wavuvi, kina mama, wakulima wa bustani, waendesha vyombo vya usafiri n.k) na kuviunganisha na mifuko ya hifadhi ya jamii kwa kuchangia sehemu ya michango yao ili wapate mafao yao kama mikopo nafuu na Bima ya afya. 50% ya Bajeti ya Mfuko wa Mbunge itachangia Mfumo wa Hifadhi ya Jamii wa Manispaa.
4. Kukamilisha mradi mkubwa wa maji ili kumaliza tatizo la maji na kusimamia kikamilifu uboreshwaji wa elimu katika Manispaa; kuboresha chuo cha VETA, kuanzisha High School 2 na kuboresha shule za msingi
2. Kushughulikia utatuzi wa migogoro ya ardhi katika Manispaa ya Kigoma Ujiji na upatikanaji wa Samani na Wenyeviti wa Baraza la Ardhi la Wilaya na kuweka mazingira mazuri kwa mabaraza ya ardhi ya kata.
Mada hii itatumika zaidi na Wana Kigoma Ujiji kutupa taarifa.
Baadhi ya Washiriki watakuwa:-
1. Mh. Mbunge Zitto Kabwe (Zitto )
2. Katibu wa Mbunge, Deogratius W. Dongwe (@Deomageni2810)
3. Afisa habari Kigoma, Wiston Mogha Wistonmogha
4 Na washiriki wote wa Warsha hiyo na wale wote wenye mapenzi ya Maendeleo ya Kigoma Ujiji.
Karibuni.
[HASHTAG]#Tushirikishane[/HASHTAG] [HASHTAG]#Kigoma[/HASHTAG]
Kufahamu majimbo mengine yenye mradi huu tembelea - JamiiForums yazindua rasmi mradi wa "Tushirikishane"
Akaunti za mradi wa Tushirikishane katika mitandao ya Kijamii:
Tushirikishane (@tushirikishane) • Instagram photos and videos
Tushirikishane | Facebook
Tushirikishane (@tushirikishane) | Twitter
Tokana na misingi ya TUSHIRIKISHANE iliyoelemea katika kuwawezesha wabunge wa kuchaguliwa kutekeleza ahadi 4 kati ya jumla ya ahadi walizotoa wakati wa uchaguzi kwa urahisi kwa kushirikiana na wananchi; mada hii itatumika kuwasilisha, kujadili na kupeana taarifa ya kile kinachojiri Kigoma Ujiji.
Katika Warsha ya Kigoma, Mh. Zitto aliongeza ahadi mbili zaidi alizoahidi nazo zitaenda sambamba na nne zilizokubaliwa na wananchi ndani ya mradi huu.
Mbunge wa Jimbo la Kigoma Ujiji Mh. Zitto Kabwe (Kulia) na Mkurugenzi Mtendaji wa Jamii Media Maxence Melo (Kushoto)wakisaini makubaliano ya kushiriki katika utekelezaji wa Mradi wa Tushirikishane yakiwa yameshuhudiwa na Meya wa Manisapaa ya Kigoma mjini(katikati)
TUSHIRIKISHANE – AHADI ZA MBUNGE
KIGOMA UJIJI
1. Kuhakikisha kwamba Manispaa ya Kigoma Ujiji inajenga kilometa 20 za barabara za mawe/pavements na Lami kwa lengo la kusafisha mji na kuzalisha ajira kwa vijana.KIGOMA UJIJI
2. Kuboresha mazingira ya Biashara, kuondoa kero ya ushuru Kwa wafanyabiashara wadogo Kwa mujibu wa Sheria ndogo za Manispaa na kujenga Bandari(Jetty) mpya eneo la Forodha ya Ujiji ili kurudisha hadhi ya mji wa Ujiji, na Bandari ya Kibirizi.
3. Kuhamasisha na kusaidia urasimishaji wa vikundi vya uzalishaji mali vya Wananchi (wavuvi, kina mama, wakulima wa bustani, waendesha vyombo vya usafiri n.k) na kuviunganisha na mifuko ya hifadhi ya jamii kwa kuchangia sehemu ya michango yao ili wapate mafao yao kama mikopo nafuu na Bima ya afya. 50% ya Bajeti ya Mfuko wa Mbunge itachangia Mfumo wa Hifadhi ya Jamii wa Manispaa.
4. Kukamilisha mradi mkubwa wa maji ili kumaliza tatizo la maji na kusimamia kikamilifu uboreshwaji wa elimu katika Manispaa; kuboresha chuo cha VETA, kuanzisha High School 2 na kuboresha shule za msingi
NYONGEZA YA AHADI
1. Kuendelea kuwatetea watu wa Kigoma dhidi ya unyanyasaji kuhusu uraia wao na kupunguza kwa kiwango kikubwa manyanyaso hayo na kuhakikisha kuwa mkoa wa kigoma unakuwa kati ya mikoa ya kipaumbele katika kupata vitambulisho vya uraia.2. Kushughulikia utatuzi wa migogoro ya ardhi katika Manispaa ya Kigoma Ujiji na upatikanaji wa Samani na Wenyeviti wa Baraza la Ardhi la Wilaya na kuweka mazingira mazuri kwa mabaraza ya ardhi ya kata.
Mada hii itatumika zaidi na Wana Kigoma Ujiji kutupa taarifa.
Baadhi ya Washiriki watakuwa:-
1. Mh. Mbunge Zitto Kabwe (Zitto )
2. Katibu wa Mbunge, Deogratius W. Dongwe (@Deomageni2810)
3. Afisa habari Kigoma, Wiston Mogha Wistonmogha
4 Na washiriki wote wa Warsha hiyo na wale wote wenye mapenzi ya Maendeleo ya Kigoma Ujiji.
Karibuni.
[HASHTAG]#Tushirikishane[/HASHTAG] [HASHTAG]#Kigoma[/HASHTAG]
Kufahamu majimbo mengine yenye mradi huu tembelea - JamiiForums yazindua rasmi mradi wa "Tushirikishane"
Akaunti za mradi wa Tushirikishane katika mitandao ya Kijamii:
Tushirikishane (@tushirikishane) • Instagram photos and videos
Tushirikishane | Facebook
Tushirikishane (@tushirikishane) | Twitter