Wiston Mogha
Senior Member
- Feb 13, 2014
- 149
- 96
Tulitembelea Mradi wa Mgumile tarehe 30/01/2017 Wajumbe wa Kamati ya fedha na Uongozi na Mstahiki meya wa Manispaa ya kigoma/Ujiji Ndg.Hussein juma Ruhava,Athumani luga,Yunusi Rashidi,Hussein kalyango,Butije Hamis,Foad sefu,Hadija mvano na Hawa Ngai kuangalia na kukagua sehemu itakayojengwa Mradi wa MAJI safi na salama mtaa wa Mgumile na kata ya Kagera kama utekelezaji wa Ahadi ya Mhe. Mbunge wa kigoma mjini Zitto kabwe na Mhe.Diwani wa kagera Ismail Mahamudu.
Mradi umeanza tarehe 01/02/2017 mpaka tarehe 30/07/2017 kwa Gharama ya kiasi 548,000,000/= sasa Vifaa vimefika na Mradi unaendelea ujenzi kutimiza Ahadi ya kampeni zilizotolewa na Mhe mbunge na Mhe.Diwani.
Wakazi wa mtaa wa mgumile na kata ya kagera.
Mradi umeanza tarehe 01/02/2017 mpaka tarehe 30/07/2017 kwa Gharama ya kiasi 548,000,000/= sasa Vifaa vimefika na Mradi unaendelea ujenzi kutimiza Ahadi ya kampeni zilizotolewa na Mhe mbunge na Mhe.Diwani.
Wakazi wa mtaa wa mgumile na kata ya kagera.