Humu humu mjini hakuna soko we piga mishe bro utawaona wanavyojigongaWanajiuzia wapi? Natafuta soko silioni..
Humu humu mjini hakuna soko we piga mishe bro utawaona wanavyojigongaWanajiuzia wapi? Natafuta soko silioni..
Kumbe!! Sawa ila ukiona popote nitag mwanang!Humu humu mjini hakuna soko we piga mishe bro utawaona wanavyojigonga
Hahahaha Hali inazidi kuwa mbayaNimeombwa iPhone 17 Pro Max, ilhali mie natumia Xiamoni 😂😂 huwa kama wanavuta bangee hawa watu.. ila hata hivyo mapenzi siku hizi yamekuwa kama biashara tu, nipe nikupe au nihudumie nikupe bure bure hupewi maku
mbaya sana havieleweki wanapata wapi ujasiri huoHahahaha Hali inazidi kuwa mbaya
Hapo wasiokuwa na pesa za kuhonga na wanaojitafuta hawatoboi wakuu labda yesu ashuke mwenyewembaya sana havieleweki wanapata wapi ujasiri huo
Maisha ya sasa hivi kama huna hela, na ukasema unajihusisha na mapenzi ujue unataka kujidhalilisha 😂Hapo wasiokuwa na pesa za kuhonga na wanaojitafuta hawatoboi wakuu labda yesu ashuke mwenyewe
Hahahaha sana sana mkuu ndo utapoamin ule msemo mapenzi ulaya bongo biashara nMaisha ya sasa hivi kama huna hela, na ukasema unajihusisha na mapenzi ujue unataka kujidhalilisha 😂
Sawa broKumbe!! Sawa ila ukiona popote nitag mwanang!
Kwanini ulikubali kufunga ndoa kama hamna chemistry?Kwasababu hatuna any chemistry na unaniomba unyumba kivipi?
Kumbe unaongelea walioko ndoani? Sikuelewa.. binafsi siwezi kuolewa na mtu hatuna mutual feelings!Kwanini ulikubali kufunga ndoa kama hamna chemistry?
Je ukipewa hizo pesa au zawadi unazotaka ndo chemistry inakuja?
Mada ilikuwa inaongelea mahusiano hata ya kwenye ndoa.Kumbe unaongelea walioko ndoani? Sikuelewa.. binafsi siwezi kuolewa na mtu hatuna mutual feelings!
Okay, kwanini mnapinga sana kutoa kitu kwenye mahusiano? Hiyo ni kama appetizer tu sidhani kama ina maana exchange yoyote ile!Mada ilikuwa inaongelea mahusiano hata ya kwenye ndoa.
Kutoa kunakotokana na conditions sio mahusiano ni biashara. Toa iPhone 17 pro max ndo upate uchi.Okay, kwanini mnapinga sana kutoa kitu kwenye mahusiano? Hiyo ni kama appetizer tu sidhani kama ina maana exchange yoyote ile!
Hiyo ni mbaya.. kwa hivyo utolewe uchi ndio ifuate iphone?Kutoa kunakotokana na conditions sio mahusiano ni biashara. Toa iPhone 17 pro max ndo upate uchi.
Vyote vitolewe bila conditions zozote. Uchi utolewe na iPhone itolewe. 🤣Hiyo ni mbaya.. kwa hivyo utolewe uchi ndio ifuate iphone?
Soko lao ni la kimya kimya mkuuWanajiuzia wapi? Natafuta soko silioni..
Mijadala ya kitoto kabisa hii, pengine mtatutendea haki kwa kuibakiza huko huko kwenye platform zenu, mjadili huko huko. Hii ni level ya watoto wa form two, wanaoanza mambo ya mapenzi. Upumbavu mtupu.🔥
Kuna kauli imeibua mjadala mzito:
Mtu hakupatiwa mapenzi kwa wiki mbili hadi aliponunua iPhone! 😳
Swali ni hili👇
Je, mapenzi ndani ya ndoa yanapaswa kuwa na masharti?
👉 Je, ni sawa kusema: “Nifanyie hiki ndipo upate mapenzi”?
👉 Au hii ni dalili ya mapenzi kubadilika kuwa biashara?
👉 Je, zawadi zinapaswa kuwa sehemu ya “exchange” ya mapenzi?
💭 Wengine wanasema:
✔ Ni haki kudai kuthaminiwa (hata kwa vitu)
✔ Ni njia ya kuonyesha value yako
Lakini wengine wanapinga vikali:
❌ Mapenzi si bidhaa ya kununua
❌ Hii inaua hisia za kweli na kuleta presha
❌ Inaondoa heshima ya ndoa
🔥 SASA NI ZAMU YAKO:
Wewe unaonaje?
Ni sahihi kuweka masharti kwenye mapenzi au huu ni mwanzo wa kuharibu mahusiano?
👇 Drop maoni yako hapa, tusikie pande zote!
Now we are talking!😅Vyote vitolewe bila conditions zozote. Uchi utolewe na iPhone itolewe. 🤣
Duhh sasa wanapataje wateja?Soko lao ni la kimya kimya mkuu
Hakika😅Now we are talking!😅