Mjadala wa leo: Mapenzi au biashara?

Mjadala wa leo: Mapenzi au biashara?

Kitomai

JF-Expert Member
Joined
May 21, 2009
Posts
1,101
Reaction score
329
🔥

Kuna kauli imeibua mjadala mzito:
Mtu hakupatiwa mapenzi kwa wiki mbili hadi aliponunua iPhone! 😳

Swali ni hili👇
Je, mapenzi ndani ya ndoa yanapaswa kuwa na masharti?

👉 Je, ni sawa kusema: “Nifanyie hiki ndipo upate mapenzi”?
👉 Au hii ni dalili ya mapenzi kubadilika kuwa biashara?
👉 Je, zawadi zinapaswa kuwa sehemu ya “exchange” ya mapenzi?

💭 Wengine wanasema:
✔ Ni haki kudai kuthaminiwa (hata kwa vitu)
✔ Ni njia ya kuonyesha value yako

Lakini wengine wanapinga vikali:
❌ Mapenzi si bidhaa ya kununua
❌ Hii inaua hisia za kweli na kuleta presha
❌ Inaondoa heshima ya ndoa

🔥 SASA NI ZAMU YAKO:
Wewe unaonaje?
Ni sahihi kuweka masharti kwenye mapenzi au huu ni mwanzo wa kuharibu mahusiano?

👇 Drop maoni yako hapa, tusikie pande zote!
 
🔥

Kuna kauli imeibua mjadala mzito:
Mtu hakupatiwa mapenzi kwa wiki mbili hadi aliponunua iPhone! 😳

Swali ni hili👇
Je, mapenzi ndani ya ndoa yanapaswa kuwa na masharti?

👉 Je, ni sawa kusema: “Nifanyie hiki ndipo upate mapenzi”?
👉 Au hii ni dalili ya mapenzi kubadilika kuwa biashara?
👉 Je, zawadi zinapaswa kuwa sehemu ya “exchange” ya mapenzi?

💭 Wengine wanasema:
✔ Ni haki kudai kuthaminiwa (hata kwa vitu)
✔ Ni njia ya kuonyesha value yako

Lakini wengine wanapinga vikali:
❌ Mapenzi si bidhaa ya kununua
❌ Hii inaua hisia za kweli na kuleta presha
❌ Inaondoa heshima ya ndoa

🔥 SASA NI ZAMU YAKO:
Wewe unaonaje?
Ni sahihi kuweka masharti kwenye mapenzi au huu ni mwanzo wa kuharibu mahusiano?

👇 Drop maoni yako hapa, tusikie pande zote!
Wanawake asilimia kubwa wanajiuza hata walioko kwenye ndoa.
 
Kwanini uombe simu ya almost 4M ndo utoe unyumba? That's means it is transactional then, it can be bought.
Nimeombwa iPhone 17 Pro Max, ilhali mie natumia Xiamoni 😂😂 huwa kama wanavuta bangee hawa watu.. ila hata hivyo mapenzi siku hizi yamekuwa kama biashara tu, nipe nikupe au nihudumie nikupe bure bure hupewi maku
 
Nimeombwa iPhone 17 Pro Max, ilhali mie natumia Xiamoni 😂😂 huwa kama wanavuta bangee hawa watu.. ila hata hivyo mapenzi siku hizi yamekuwa kama biashara tu, nipe nikupe au nihudumie nikupe bure bure hupewi maku
Kama ni kukulana tu kila mtu anaenda zake unaweza kutoa kama uchumi wako unaruhusu. Lakini fikiria unapewa hiyo condition na mke wako wa ndoa!!!
 
Kama ni kukulana tu kila mtu anaenda zake unaweza kutoa kama uchumi wako unaruhusu. Lakini fikiria unapewa hiyo condition na mke wako wa ndoa!!!
Kiufupi mwanamke anatakiwa kutunzwa, ila kutunzwa kwao wanatumia kama gap , ndipo wanapo haribu
 
Kwanini uombe simu ya almost 4M ndo utoe unyumba? That's means it is transactional then, it can be bought.
Ndoa ni biashara tangu mwanzo wa pdocess yake. Mahari ni pesa ama vitu vya thamani.
MUme kuhudumia mke na watoto ni pesa inahitajika.
Mke anataka matunzo ni pesa inahitajika.
Na mke kupata nyege lazima umtunze vizuri aridhike. Na unapozungumzia matunzo yanaenda sambamba na zawadi za hapa na pale .
Kifupi...NO ROMANCE WITHOUT FINANCE.
 
Tatizo mnang'ang'ania wanawake wasio wenu,, huwezi kupingana na Biblia mke mwema hutoka kwa Mungu,, na bado itafika wakati hata kufua na kupika watataka walipwe pesa kwanza,,
Team kataa ndoa bado wanaongoza ligi,,
 
🔥

Kuna kauli imeibua mjadala mzito:
Mtu hakupatiwa mapenzi kwa wiki mbili hadi aliponunua iPhone! 😳

Swali ni hili👇
Je, mapenzi ndani ya ndoa yanapaswa kuwa na masharti?

👉 Je, ni sawa kusema: “Nifanyie hiki ndipo upate mapenzi”?
👉 Au hii ni dalili ya mapenzi kubadilika kuwa biashara?
👉 Je, zawadi zinapaswa kuwa sehemu ya “exchange” ya mapenzi?

💭 Wengine wanasema:
✔ Ni haki kudai kuthaminiwa (hata kwa vitu)
✔ Ni njia ya kuonyesha value yako

Lakini wengine wanapinga vikali:
❌ Mapenzi si bidhaa ya kununua
❌ Hii inaua hisia za kweli na kuleta presha
❌ Inaondoa heshima ya ndoa

🔥 SASA NI ZAMU YAKO:
Wewe unaonaje?
Ni sahihi kuweka masharti kwenye mapenzi au huu ni mwanzo wa kuharibu mahusiano?

👇 Drop maoni yako hapa, tusikie pande zote!
Alafu atakuambia kakosa mahali ya laki3 tu
 
Back
Top Bottom