wachangiaji wanataka katiba mpya impunguzie rais madaraka,wabunge walioshindwa uchaguzi wasipewe ukuu wa mkoa au wilaya,idadi ya wabunge ipunguzwe,katiba itamke kiongozi mwenye kashfa ajiuzuru na mengine mengi
Inaonekana ni toka kumbi moja ya hotel za hapo Arusha,washiriki ni raia,wanachuo mount meru university, makumila na unaendeshwa na kituo cha sheria na haki za binadamu,mimi naangalia kupitia star tv sipo ukumbini ,naomba anayefahamu huo ukumbi atujuze
Vipi kuhusu suala la uwekezaji limegusiwa kwenye huo mdahalo?????? ukizingatia ya kwamba ni wanafunzi tena wa Vyuo ndiyo wako kwenye huo mdahalo. Mkuu tunaomba aliyeukumbini aendelee kutujuza, kwani sisi hapa tunajiandaa na MTANANGE kati ya MANI YU na LIVAPULI. Mimi nitakuwa nawajulisha mabao yatakavyokuwa yanapigwa.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.