Mjadala: Kwanini vichaa hawaugui ovyo?

Mjadala: Kwanini vichaa hawaugui ovyo?

Nadhani wote mnaipata ile MAGIC POWDER, dawa ya kuozesha ndevu. Sa kuna kichaa alipita bombani akajaribu kufungua koki akashindwa, akaamua kuchota maji yaliyokua kwenye dishi ambayo huwa taka za magic zinatupwa humo akanywa, na hajadhurika mwenzi wa pili huu.

labda Mungu anawalinda!
 
Tatizo la ulimwengu wa leo watu wanasafisha mno kila kitu, kwa kuchemsha au kupika kila kitu au kwa kusafisha kwa madawa ya kuua vijidudu.

Ukweli ni kwamba jambo hilli linadhoofisha uwezo wa mwili wa kujikinga na mashambulizi ya vimelea

Vichaa wengi hawanyi maji ya kuchemsha na wala hawaogi mara kwa mara wala hawatumii neti za kujikinga na mbu hivyo miili yao hujenga kinga imara sana dhidi ya magojwa.

Pia vichaa wengi wanatembea mchana kutwa na hivyo hupata zoezi kubwa la mwili ambalo huimarisha miili yao na kuwapatia afya tele tofauti na watu wengi wenye akili zao ambao hufikiri wanajipendelea kwa kutembelea magari au pikix2 siku nzima. Hawa ndio utawasikia wakiugua kila siku

Vichaa wengi hawana hela za kunywa pombe na kula vyakula vyenye mafuta mengi na sukari nyingi. Wenye akili zao wanajiona wamefanya vyema sana kujaza sahani zao kwa kuku, kiti moto na keki

Vichaa wengi hawana majukumu kama waungwana walivyo na hivyo hawana mawazo mengi kama madirecta na mameneja wanaokufa kwa msongo wa mawazo

Vichaa hawana akili na utashi na kwa hiyo ni kama watoto wadogo mbele ya Mungu hivyo hawana hatia, hata katika mahakama za kidunia kichaa hawezi kuhukumiwa kwa kosa lake. hivyo hawana dhambi na ni moja kati ya mambo yanayowafanya wasiugue hovyo

Kichaa akilala hata kama ni chini usingizi wake ni mkubwa na humwongezea kinga ya mwili na afya

Vichaa hawana mali kama ilivyo wengi wa matimamu na hivyo hawana stress zozote zitokanazo na kupanda au kushuka kwa kipato

Vichaa wengi hawana mahusiano ya kingono na hivyo wengi hawapati ukimwi na magonjwa ya zinaa kama wajanja wenye wapenzi kila kona

Vichaa hawana marafiki na hivyo hawapati mifadhaiko inayotokana na kusalitiwa na marafiki

Vichaa hawaishi maisha ya kufikirika (ideal life) huishi maisha halisi na hivyo kila kitu chao huwa halisi ikiwa ni pamoja na afya zao

Vichaa hawafikiri kuhusu kesho na hivyo huishi kikamilifu maisha ya wakati huu na kuyafurahia
 
Tatizo la ulimwengu wa leo watu wanasafisha mno kila kitu, kwa kuchemsha au kupika kila kitu au kwa kusafisha kwa madawa ya kuua vijidudu.

Ukweli ni kwamba jambo hilli linadhoofisha uwezo wa mwili wa kujikinga na mashambulizi ya vimelea

Vichaa wengi hawanyi maji ya kuchemsha na wala hawaogi mara kwa mara wala hawatumii dawa au neti za kujikinga na mbu hivyo miili yao hujenga kinga imara sana dhidi ya magojwa.

Pia vichaa wengi wanatembea mchana kutwa na hivyo hupata zoezi kubwa la mwili ambalo huimarisha miili yao na kuwapatia afya tele tofauti na watu wengi wenye akili zao ambao hufikiri wanajipendelea kwa kutembelea magari au pikix2 siku nzima. Hawa ndio utawasikia wakiugua kila siku

Vichaa wengi hawana hela za kunywa pombe na kula vyakula vyenye mafuta mengi na sukari nyingi. Wenye akili zao wanajiona wamefanya vyema sana kujaza sahani zao kwa kuku, kiti moto na keki

Vichaa wengi hawana majukumu kama waungwana walivyo na hivyo hawana mawazo mengi kama madirecta na mameneja wanaokufa kwa msongo wa mawazo

Vichaa hawana akili na utashi na kwa hiyo ni kama watoto wadogo mbele ya Mungu hivyo hawana hatia, hata katika mahakama za kidunia kichaa hawezi kuhukumiwa kwa kosa lake. hivyo hawana dhambi na ni moja kati ya mambo yanayowafanya wasiugue hovyo

Kichaa akilala hata kama ni chini usingizi wake ni mkubwa na humwongezea kinga ya mwili na afya tofauti na watanashati wengi ambao hukesha club hadi saa 9 usiku na kulala masaa 3 tu kwa siku

Vichaa hawaja ajiriwa kama watu wengine, vichaa wana ajira binafsi ikiwa ni pamoja na kuombaomba hivyo hawana msongo wa mawazo utokanao na utumwa wa kuajiriwa

Vichaa hawana mali kama ilivyo wengi wa matimamu na hivyo hawana stress zozote zitokanazo na kupanda au kushuka kwa kipato

Vichaa wengi hawana mahusiano ya kingono na hivyo wengi hawapati ukimwi na magonjwa ya zinaa kama wajanja wenye wapenzi kila kona

Vichaa hawana marafiki na hivyo hawapati mifadhaiko inayotokana na kusalitiwa na marafiki

Vichaa hawaishi maisha ya kufikirika (ideal life) huishi maisha halisi na hivyo kila kitu chao huwa halisi ikiwa ni pamoja na afya zao

Vichaa hawafikiri kuhusu kesho na hivyo huishi kikamilifu maisha ya wakati huu na kuyafurahia
 
Ukichaa wenyewe ni ugonjwa na wanaugua namagonjwa mengi tu ni kwavile hata wakisema hawataaminika hivyo huwa tunafikiri hawaugui
 
Kama unaona raha kuishi maisha anayoishi mgogwa wa kichaa ambaye wewe tiyari huoni kichaa kama ugojwa jaribu kuishi yale maisha hehehehehe! (jokes)

umeongea pointi lakn umekosea kufananisha mtu mwenye ugojwa wa kichaa na watu wa kawaida.

kwa maelezo yako igekuwa vyema sana kama ukelinganisha maisha wanayoishi watu wa kijijini na mjini, igekuwa vyema sana.

utalinganishaje mtu ambaye tiyari ni mgojwa na watu ambao magojwa yao ni yanatokea baada ya siku nyingi?
 
Vichaa wengi hawana mahusiano ya kingono na hivyo wengi hawapati ukimwi na magonjwa ya zinaa kama wajanja wenye wapenzi kila kona

umenikumbusha kuna chizi wa kike ..kila siku wanambebesha Mimba..namaanisha nimba juu ya mimba!!..sijui huwa wanapewa na wanaume wa aina gani, au machizi wenzao?

Ahsante Jigo
 
Kichaa anaweza kutembea ovyo tu na kuokota chochote anachokiona hata jalalani na kula lakini huwezi kusikia akilalamika tumbo linauma sasa jaribu wewe ambaye upo normal uone kama hujahamia toi...What is the reason behind?
ukichaa si ni ugonjwa tayari?! Unataka aumwe Mara ngapi?!
 
Tatizo la ulimwengu wa leo watu wanasafisha mno kila kitu, kwa kuchemsha au kupika kila kitu au kwa kusafisha kwa madawa ya kuua vijidudu.

Ukweli ni kwamba jambo hilli linadhoofisha uwezo wa mwili wa kujikinga na mashambulizi ya vimelea

Vichaa wengi hawanyi maji ya kuchemsha na wala hawaogi mara kwa mara wala hawatumii dawa au neti za kujikinga na mbu hivyo miili yao hujenga kinga imara sana dhidi ya magojwa.

Pia vichaa wengi wanatembea mchana kutwa na hivyo hupata zoezi kubwa la mwili ambalo huimarisha miili yao na kuwapatia afya tele tofauti na watu wengi wenye akili zao ambao hufikiri wanajipendelea kwa kutembelea magari au pikix2 siku nzima. Hawa ndio utawasikia wakiugua kila siku

Vichaa wengi hawana hela za kunywa pombe na kula vyakula vyenye mafuta mengi na sukari nyingi. Wenye akili zao wanajiona wamefanya vyema sana kujaza sahani zao kwa kuku, kiti moto na keki

Vichaa wengi hawana majukumu kama waungwana walivyo na hivyo hawana mawazo mengi kama madirecta na mameneja wanaokufa kwa msongo wa mawazo

Vichaa hawana akili na utashi na kwa hiyo ni kama watoto wadogo mbele ya Mungu hivyo hawana hatia, hata katika mahakama za kidunia kichaa hawezi kuhukumiwa kwa kosa lake. hivyo hawana dhambi na ni moja kati ya mambo yanayowafanya wasiugue hovyo

Kichaa akilala hata kama ni chini usingizi wake ni mkubwa na humwongezea kinga ya mwili na afya tofauti na watanashati wengi ambao hukesha club hadi saa 9 usiku na kulala masaa 3 tu kwa siku

Vichaa hawaja ajiriwa kama watu wengine, vichaa wana ajira binafsi ikiwa ni pamoja na kuombaomba hivyo hawana msongo wa mawazo utokanao na utumwa wa kuajiriwa

Vichaa hawana mali kama ilivyo wengi wa matimamu na hivyo hawana stress zozote zitokanazo na kupanda au kushuka kwa kipato

Vichaa wengi hawana mahusiano ya kingono na hivyo wengi hawapati ukimwi na magonjwa ya zinaa kama wajanja wenye wapenzi kila kona

Vichaa hawana marafiki na hivyo hawapati mifadhaiko inayotokana na kusalitiwa na marafiki

Vichaa hawaishi maisha ya kufikirika (ideal life) huishi maisha halisi na hivyo kila kitu chao huwa halisi ikiwa ni pamoja na afya zao

Vichaa hawafikiri kuhusu kesho na hivyo huishi kikamilifu maisha ya wakati huu na kuyafurahia


Ndiyo sababu mnashindwa mtihani. Kuugua ovyo ndio kuuguaje? Au mara kwa mara? Hata hivyo kichaa tayari ni mgonjwa wa akili tena wa kudumu, unataka aumwe nini tena? Kuna maradhi mabaya kuliko ukichaa?
 
Tatizo la ulimwengu wa leo watu wanasafisha mno kila kitu, kwa kuchemsha au kupika kila kitu au kwa kusafisha kwa madawa ya kuua vijidudu.

Ukweli ni kwamba jambo hilli linadhoofisha uwezo wa mwili wa kujikinga na mashambulizi ya vimelea

Vichaa wengi hawanyi maji ya kuchemsha na wala hawaogi mara kwa mara wala hawatumii neti za kujikinga na mbu hivyo miili yao hujenga kinga imara sana dhidi ya magojwa.

Pia vichaa wengi wanatembea mchana kutwa na hivyo hupata zoezi kubwa la mwili ambalo huimarisha miili yao na kuwapatia afya tele tofauti na watu wengi wenye akili zao ambao hufikiri wanajipendelea kwa kutembelea magari au pikix2 siku nzima. Hawa ndio utawasikia wakiugua kila siku

Vichaa wengi hawana hela za kunywa pombe na kula vyakula vyenye mafuta mengi na sukari nyingi. Wenye akili zao wanajiona wamefanya vyema sana kujaza sahani zao kwa kuku, kiti moto na keki

Vichaa wengi hawana majukumu kama waungwana walivyo na hivyo hawana mawazo mengi kama madirecta na mameneja wanaokufa kwa msongo wa mawazo

Vichaa hawana akili na utashi na kwa hiyo ni kama watoto wadogo mbele ya Mungu hivyo hawana hatia, hata katika mahakama za kidunia kichaa hawezi kuhukumiwa kwa kosa lake. hivyo hawana dhambi na ni moja kati ya mambo yanayowafanya wasiugue hovyo

Kichaa akilala hata kama ni chini usingizi wake ni mkubwa na humwongezea kinga ya mwili na afya

Vichaa hawana mali kama ilivyo wengi wa matimamu na hivyo hawana stress zozote zitokanazo na kupanda au kushuka kwa kipato

Vichaa wengi hawana mahusiano ya kingono na hivyo wengi hawapati ukimwi na magonjwa ya zinaa kama wajanja wenye wapenzi kila kona

Vichaa hawana marafiki na hivyo hawapati mifadhaiko inayotokana na kusalitiwa na marafiki

Vichaa hawaishi maisha ya kufikirika (ideal life) huishi maisha halisi na hivyo kila kitu chao huwa halisi ikiwa ni pamoja na afya zao

Vichaa hawafikiri kuhusu kesho na hivyo huishi kikamilifu maisha ya wakati huu na kuyafurahia

sred klozd :becky:
 
ukichaa si ni ugonjwa tayari?! Unataka aumwe Mara ngapi?!

mtu anaweza akapimwa akagundulika ana magonjwa mengi at the same time nazungumzia ugonjwa anaoweza kupata baada ya ukichaa wake mfano tumbo, kipindupindu,tyfod etc
 
Back
Top Bottom