secretarybird
JF-Expert Member
- Aug 22, 2024
- 15,527
- 29,172
Come-onHaya ndege 😁😁
Come-onHaya ndege 😁😁
Naam kataa ndoa Ina hoja thabiti na Bora, ila kwa long run life plan useja sio kitu kizuri.Kataa ndoa ina sababu haijakuja kizembe ..Ila kuzaliana bila ya familia sio poa.
Ni mtazamo tu masela msi jenge chukiNaona wasaliti ndani ya kambi mapinduzi yanahitajika
Huyu inatakiwa afatwe na apigwe!Naona wasaliti ndani ya kambi mapinduzi yanahitajika
Kaka mi mwenyewe sija oa, ila nawaza tu ki jemedariUmekengeuka wewe unatushawishi tuingie kifungoni HATUTAKI!..
Umekengeuka wewe!Kaka mi mwenyewe sija oa, ila nawaza tu ki jemedari
📌baada ya safari zenye ubize mwingi wa hapa na pale, jana Nika rejea rasmi nyumbani na nilicho kigundua kataa ndoa ni punje ya uhalisia wa maisha yetu.
Japo mimi ni katibu mwenezi wa kataa ndoa, ila niseme ukweli maisha ya useja sio kabisa.
Sawa tuna hustle ili tuishi na tupate utulivu wa nafsi na mwili, ila utulivu una kuja vipi ikiwa watoto wengi wa nje ya ndoa, tena kwa wanawake tofauti tofauti?
All in all ndio barua ina elekea huko, kataa ndoa 2025 iwe kwa manufaa na akili yako mwenyewe.
View attachment 3309194