Malaika wa Misukosuko
JF-Expert Member
- Jul 16, 2021
- 2,820
- 8,500
Hahahha ila akili zako 🙌Kwakweli ishi tu mwenyewe mzee baba, punyeto ni mkombozi mara moja moja unaomba mbususu za dharura....
Hahahha ila akili zako 🙌Kwakweli ishi tu mwenyewe mzee baba, punyeto ni mkombozi mara moja moja unaomba mbususu za dharura....
Au.....???? Au ndo mgumu hadi hauuzingatii upwiru.....😹Hahahha ila akili zako 🙌
Huo muda yule mzee hana mkianza tu kuongea ataanza kkutukana na kukusimanga, anagombana na kila mtu hadi Dada yake wa damu wamegombana sasa unafikiri huyo mtu atasaidiwa na nani ?Story yenyewe ya upande mjaa hii leta na upande wa pili,
sikia mkuu ukiona mtu kafeli ujue alianza kufeli kabla ujamuona kafeli.
sikuu kaa muulize mshua kwa Nini alikua mdwanzi enzi hizo.
Sijui kwa nini nimecheka sana😁
Ni huyo aliekataliwa kwa kua ni "mtu nusu" au.....au mwenye ngiri.Sijui kwa nini nimecheka sana
Hiyo kitu muhimu hainaga baunsa 😀 utaleta ugumu mwshoe unajikuta tu umeingia jungle to jungle operation kutafuta utelezi.Au.....???? Au ndo mgumu hadi hauuzingatii upwiru.....😹
Hapo ndipo nilipo amini kweli tuliongea na nyoka kule eden😁😁😁Ni huyo aliekataliwa kwa kua ni "mtu nusu" au.....
Wanawake wote motoni, hili halina mjadala 😹
Hapo ndipo nilipo amini kweli tuliongea na nyoka kule eden😁😁😁
Mahusiano tu wapenzi wangu tunashindwana sembuse Ndoa kabisa ? Hapo naona nitaleta madhara tu kama sio kumpotezea muda mwenza wangu.Hizo ni changamoto ambazo zipo, na zisisababishe maisha yako yaharibike, hiyo ilikuwa ndoa ya baba yako na mama yako, una nafasi ya kutengeneza yako ambayo ni nzuri kuliko ya wazazi wako
Pole sana mkuu. Wazazi wako wote bado wapi hai?MWISHO,
Kuna siku nilikaa nikafikiria hii imesababishwa na nini nikapata jibu kwamba usikute kipindi kile mama yangu alipokuwa anapigwa mbele yangu na mimi nisiweze kumsaidia basi ile kitu iliniathiri sana kiakili maana Mama yangu alikuwa akiteswa mbele yangu na cha kufanya sikuwa nacho,
Ile kitu ndo ilifanya mpaka hisia ndani mwangu zimekufa kabisa maana naona kama nilishindwa kumsaidia mama yangu kipindi anateseka wewe ni nani mpaka nikusaidie, kiukweli akili yangu imeharibika mno mambo ni mengi sana ningeandika kuhusu Maisha ya Wazazi wangu ila nitawachosha tu,
Nahitimisha kwa kusema siwezi kuingia kwenye Ndoa na mwanamke yoyote maana nahisi nitamtesa tu kwa hizi tabia zangu na pia sijawahi hata kutamani kuwa na familia kitu pekee nachopenda ni kuwa na mtoto tu na hivi karibuni natarajia kumpata.
Nisameheni kwa uandishi kama ni mbaya maana mimi sio Mtunzi wa Vitabu. Leta na wewe kisa chako cha kwanini unakataa Ndoa ?
MWISHO.
Braza mbona msimamo wako dhaifu sanaNDOA NI UTAPELI
ila kwa hii winter....Bora tu kuoa
Sababu yako naona ni nyepesi sana...Ina maana umechukua negative za ndoa lisa wazazi wako...Vipi Babu yako na Bibi waliokulea nao Ndoa walikuwa wanatesana? kwanini usingeamua kuchukua uamuzi kwa kuangalia hata Babu na Bibi basiMWISHO,
Kuna siku nilikaa nikafikiria hii imesababishwa na nini nikapata jibu kwamba usikute kipindi kile mama yangu alipokuwa anapigwa mbele yangu na mimi nisiweze kumsaidia basi ile kitu iliniathiri sana kiakili maana Mama yangu alikuwa akiteswa mbele yangu na cha kufanya sikuwa nacho,
Ile kitu ndo ilifanya mpaka hisia ndani mwangu zimekufa kabisa maana naona kama nilishindwa kumsaidia mama yangu kipindi anateseka wewe ni nani mpaka nikusaidie, kiukweli akili yangu imeharibika mno mambo ni mengi sana ningeandika kuhusu Maisha ya Wazazi wangu ila nitawachosha tu,
Nahitimisha kwa kusema siwezi kuingia kwenye Ndoa na mwanamke yoyote maana nahisi nitamtesa tu kwa hizi tabia zangu na pia sijawahi hata kutamani kuwa na familia kitu pekee nachopenda ni kuwa na mtoto tu na hivi karibuni natarajia kumpata.
Nisameheni kwa uandishi kama ni mbaya maana mimi sio Mtunzi wa Vitabu. Leta na wewe kisa chako cha kwanini unakataa Ndoa ?
MWISHO.