Mjadala: Kipi bora kati ya kwenda Chuo au Advance Level (Kidato cha Tano na cha sita) kwa mwanafuzi aliyemaliza Kidato cha Nne?

rajesh

Member
Sep 30, 2014
17
1

BAADHI YA MASWALI YALIYOULIZWA NA WADAU KUHUSU JAMBO HILI
Mimi ni mwanfunzi nimehitimu kidato cha nne last year, binafsi napenda mambo ya Afya na Engineer

Mimi nimebalance comb ya PCB NA PCM ila kuna baadhi ya watu wamenishauri niende Chuo wengine A level.

Swali: Kama nikienda Chuo kuna tofaut na wa A level na pia nikichukua course ya afya eg co Je, huko mbeleni naweza kusoma coz kama za it au la

Yani naomben mnijuze zaidi mdogo wenu.
---

---



BAADHI YA MAONI, USHAURI ULIOTOLEWA NA WADAU WA JF

1. WANAOUNGA MKONO SUALA LA KWENDA CHUO
---
---
---

---
Nenda chuo kijana, ukitoka hapo unaweza ukafanya kazi ya profession yako au utakayopendezewa nayo.

Au unaweza ukaunga bachelor degree moja kwa moja
na mkopo kama kawaida unapata.
---
Mdogo wangu ushauri ninaokupa njoo chuo either afya ya binadamu au ya wanyama we njoo mi nipo chuo cha mifugo nimeona uzuri wa chuo haina haja ya kukesha njo ufaidi elimu kwa vitendo sawa?

Ushauri ndo huo

2. WANAOUNGA MKONO SUALA LA ADVANCE
---
komaa na Advnce, achana chuo utapoteza hela zako bure halafu elimu yenyewe diploma, piga kitabu advance kwa sababu ukimaliza utaenda degree direct na utasoma kilaini maana kutakuwa na mkopo.
---
---
---
---
===
PIA UNASHAURIWA KUSOMA MJADALA HUU:
Kuna umuhimu wa kidato cha tano na sita? - JamiiForums
 
Nimemaliza form four mwaka jana.

Nikafaulu kwa daraja la merit (Nina B+ya bios na English, B ya history, Civ na phy, na C kwa masomo yaliyobakia ikiwemo math, phy, Geo na kisw)

Nilipangiwa EGM huko kagera ila matarajio yangu ni kua doctor.. nilishaapply chuo kwa course ya clinical officers kwa ngaz ya diploma kutokana na kua watu wengi walinishauri hivyo ila mpaka xx selection hazijatoka.

Wazazi wangu pamoja na ndugu wengine wanataka niende advance ila mm nilitaka kusoma PCB na wala cio EGM. .

Sasa naomba wadau mnisaidie kua niende tu shule nikapige EGM au nasubir selection?

Karibuni wadau..
 
Mkuuu adavance sio mchezo na unaweza ukaenda pcb na ukafaulu alafu ukaishia kuchaguliwa kozi nyingine..subiri selection mkuu
 
Najua malengo yako ni mazuri,ila ushauri wangu ni kuwa ungeenda advance huku ukiendelea kusubiri majibu ya chuo,nasema hivyo kwasababu huwezi jua ya chuo ila kwa sasa changamukia fursa iliyopo kwa sasa.
 
Najua malengo yako ni mazuri,ila ushauri wangu ni kuwa ungeenda advance huku ukiendelea kusubiri majibu ya chuo,nasema hivyo kwasababu huwezi jua ya chuo ila kwa sasa changamukia fursa iliyopo kwa sasa.
Sasa kama nilichaguliwa chuo inakuaje?
 
Njoo advance me mwenyewe nilikuwa na mawazo kama yako...uku ni juhudi zako tu mwenyewe mwisho wa siku unatoboa
 
Kk advance uko kagera sidhani.
mm last year nimeacha pcb tunduru.nipo Clinical medicine mwaka wa 2.
Just ushauri tu.njoo huku.
 
Kwa sasa nenda Advanve kwanza wakat unasubiri matokeo ya chuo. Ukichaguliwa chuo ndo uache Advance maana unaweza kupoteza vyote! Pia kubadikisha combi kutoka EGM kwenda PCB inawezekana sana hata mimi nillibadilishaga cha msingi hiyo combi unayoitaka iwepo hapo shuleni. Work on this plz
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…