Daren Dedan
Member
- May 6, 2014
- 10
- 2
komaa na Advnce, achana chuo utapoteza hela zako bure halafu elimu yenyewe diploma, piga kitabu advance kwa sababu ukimaliza utaenda degree direct na utasoma kilaini maana kutakuwa na mkopo.
Mdogo wangu ushauri ninaokupa njoo chuo either afya ya binadamu au ya wanyama we njoo mi nipo chuo cha mifugo nimeona uzuri wa chuo haina haja ya kukesha njo ufaidi elimu kwa vitendo sawa?Mm ni mwanafunz nimemalza form four mwaka na nana uhakka wa kufaulu bt npo njia panda kwa kuwa naambiwa na watu advance ngumu na rahs kufel kwa comb sayns na pia nna mpango niende vyuo vya afya i mean clnicor officer je kip bora kati ya hzo option mbl
Jaman jf nmelkuwa mgen bt uandsh co kpmo cha uwezo ninachoomba n ushaur
Jaman jf nmelkuwa mgen bt uandsh co kpmo cha uwezo ninachoomba n ushaur
Nenda Chuo advance unapoteza muda cz husomei ujuzi wowote ule...lakini Kama Una ndoto za kua General doctor basi nenda form 6 PCB.
kama akili yako naiona vileee!!!..,hujui hats spelling za clinical officer??..,
Bado unaamini kufahulu???
asee elimu imeingiliwa,
Dogo hata CO unayoropoka madesa yake usidhani ya kitoto na kuwa utapita ovyo ovyo!!!
We subir matokeo yakija vzr endelea na advance usije kuharibu mamilioni ya babako chuoni na ukaishia disco.