Mjadala juu ya taaluma ya ualimu




Ukweli n kwamba changamoto zilizopo n za kitaaluma na kiutawala.

Unajua mwalim asa hivi anajifanyia kinyume na alivotakiwa kufanya ila sio kwa msukumo wa ndan ya moyo wake, hapana n kwasabab ya utawala unalazimisha mwal afanye hvo.

Utawala ndio uloshikilia taaluma baadala ya wanataaluma wenyewe! xo ili kuleta heshima serilali ijitoe kua muongozaji na iwe muangalizi tuu,

Kauli za viongoz juu ya walim inaonesha fika jinsi gan waafrika mawazo yetu yalivo mgando, jamii borq cio nchi kua na uchum mzur ulostawi,kua n viwanda ving n.k hapana,,, jamii bora n ustawi wa jamii..afya na maarifa n nguzo za ustawi huo.

Tunahitaji kujikomboa kifikra ili kutatua matatizo haya ambayo kwa asili tuu yanahitaji akili,hekima na busara.
 
fanya kazi mkuu kwa bidii jikomboe kiuchumi hayo mengine utajipa pressure tu


Kufanya kazi kupo pale pale lakin unafanya kaz kwa nan na kwann?? unaweza kufanya kaz kubwa na kwa bidii ukanufaika kidogo saaana. Na si vema kua tunafumbia macho dhamb ambazo tunaziona..

Kuna mtu alishasema dunia haitaharibiwa na watu wanaotenda mabaya,ila na watu wema wanaoshuhudia mabaya na kuacha yatokee. namuunga mkono.

mwal Nyerere alisema inawezekana chukua nafas yako...hata mm basema kweli nikichukua nafas yangu na mwingne nafas yake bas ITAWEZEKANA.
 
Naamini kuwa watu ambao walifanya tafiti kuhusiana na ualimu,walimu na sekta ya Elimu,mmoja wapo ni Kipilipili au @xiexie
 
Last edited by a moderator:
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…