Mjadala: Je, ni siku zipi ambazo mwanamke huweza kupata ujauzito katika mzunguko wake wa kila mwezi?

FB_IMG_1443526639524.jpeg
 
Very theoretical..kusema siku ya 14 +/-3 ni biology ya form three! Human is not a book guys! Hizo ni hesabu kwa wanawake wenye mzunguko wa siku 28 tu!

Kumbuka kuna wadada/wamama wenye cycle kuanzia siku 21 - 35, so kwa vyovyote vile hiyo hisabati ya hapo juu hai-apply kwa wanawake wote..lakini pia hata the same woman, cycle yake sio constant; kuna wakati anazidisha au anapungua siku moja pengine hata siku mbili..

Lakini pia kuna uwezekano wa sperms kuishi hadi siku 7 kwenye kizazi cha mwanamke,kwa hiyo kusema siku za hatari kwa mwanamke kuna factors nyingi, not just by numbering days!
 
Very theoretical..kusema siku ya 14 +/-3 ni biology ya form three! Human is not a book guys! Hizo ni hesabu kwa wanawake wenye mzunguko wa siku 28 tu!

Kumbuka kuna wadada/wamama wenye cycle kuanzia siku 21 - 35, so kwa vyovyote vile hiyo hisabati ya hapo juu hai-apply kwa wanawake wote..lakini pia hata the same woman, cycle yake sio constant; kuna wakati anazidisha au anapungua siku moja pengine hata siku mbili..

Lakini pia kuna uwezekano wa sperms kuishi hadi siku 7 kwenye kizazi cha mwanamke,kwa hiyo kusema siku za hatari kwa mwanamke kuna factors nyingi, not just by numbering days!
Mdau sperm za binadamu kuishi up to 168 hours ndan ya uzaz wa mwanamke sijawah kusikia nafikir hata science haisem hivyo,ni 72 hours
 
My brother!!!! Acha kumendea vitoto vidogo visivyojielewa ata havijui mizunguko yao ya MP mpaka unaomba ushauri apa,,,,muulze mhusika hayo mambo atakua anajua, na kama hajui muulze anaishi vipi hii dunia ya sasa ya utandawazi,,,,,
 
Swali lina maelezo mengi sana fungua kitabu or google usome usipopaelewa ndo uje uulize.
 
Mdau sperm za binadamu kuishi up to 168 hours ndan ya uzaz wa mwanamke sijawah kusikia nafikir hata science haisem hivyo,ni 72 hours

Mkuu 72 hrs ni kwa simple majority..yet kuna occasions chache zinafika siku saba..lkn pia ungefanya hata kugoogle basi, mbona references nyingi tu zinasema siku 5?

Do not limit yourself in form three references my dear!
 
Mkuu 72 hrs ni kwa simple majority..yet kuna occasions chache zinafika siku saba..lkn pia ungefanya hata kugoogle basi, mbona references nyingi tu zinasema siku 5?

Do not limit yourself in form three references my dear!
Sioni umuhimu wa kubishana kwa hili coz watu wakikalili its 168 hours ni bora zaidi ktk kuzuia mimba kuliko 72 hours
 
Back
Top Bottom