mind ur bussness
JF-Expert Member
- Dec 15, 2016
- 1,050
- 739
Nashukuru pia mkuu.Mkuu ubarikiwe sana ngoja nianze kupractise nione mana nilikuwa kwnny wakati mgumu sana, shukran sana!!
Nashukuru pia mkuu.Mkuu ubarikiwe sana ngoja nianze kupractise nione mana nilikuwa kwnny wakati mgumu sana, shukran sana!!
Mkuu nilijibu usiku na usingizi mwingi, but ni jambo la kheri kwan nimerekebisha tayarimkuu umeeleza vizuri ila hiyo hesabu ya kolomije bala
28-14 =16???
N.b mwanamke kama hana tatizo lolote siku zake haziwezi kuongezeka lazima zipungue siku mbili au siku ile ile.
Mfano kama mwezi ulopita mwanamke uliingia trh 30 mwezi huu wa 5 inabidi aingie trh 28. Yaani ukihesabu ziwe siku 28 vile vile na wale wa 30 ukihesabu ziwe 30 na sio kuzidi tofauti na hapo kuna shida.
Dah kuna watu break yao mtu akikosea ni koromije daa.kapitiwa mkuu but hpo kujiongeza tu jmn;eti ya kolomije!!!
Husababisha kuvuruga mfumo wa hormones mwilini, so period ikisha fika sio rahc kukata mapema inakuwa in continuation situationKuna mwingine period haikat
Mkiambiwa muachane na hz
Masindano,mavidonge hamtak
Je akianza tarehe 30 na kumaliza tarehe 5 hapo inakuaje?Mkuu ubarikiwe sana ngoja nianze kupractise nione mana nilikuwa kwnny wakati mgumu sana, shukran sana!!
Sasa hayo yote n yakujitakiaHusababisha kuvuruga mfumo wa hormones mwilini, so period ikisha fika sio rahc kukata mapema inakuwa in continuation situation
Hedhi?Je akianza tarehe 30 na kumaliza tarehe 5 hapo inakuaje?
Of course yes, kuna wengine wanafanya hayo pasipo kujua, wanafuata ushauri wa marafq so yakisha mkuta na Msaada wa marafq ukakosekana ndo hapo shida huanziaaaSasa hayo yote n yakujitakia
Wenywe mwingine utaskia
Akilalamika hazai
Wakat kizaz kakiaribu
Mwenywe
Je akianza tarehe 30 na kumaliza tarehe 5 hapo inakuaje?
Mmhh ivi kumbe ni rahisi kiasi hicho!!Kama ndio umemaliza miaka mi3 ya kuweka kijiti subiri kwanza mpaka period yako itakapokaa sawa ndipo uanze kufatisha calenda, mwambie ajifunze ku withdraw kwa kipindi kichi hadi mzunguko utakapokaa sawa