Mjadala: Je, ni siku zipi ambazo mwanamke huweza kupata ujauzito katika mzunguko wake wa kila mwezi?

Sema ni siku za kheeri ww ujui km kushika mimba ni majaliwaa sikuizi. Hawa watto wa kike wanavyotoa hzo mimba.
Et siku za HATARI una UTEKWAA AU?
 
siku.jpg
 
Kama kichwa cha habari kinavojieleza.

Nahitaji kujua tarehe Zipi katika mzunguko Wangu na uwezo wa kushika ujauzito mzunguko Wangu ni wa siku 28. nimeshapumzika vya kutosha Natafuta mtoto mwingine sasa mwaka umepita Sioni matokeo labda nahisi nakosea tarehe.

Naomba kujuzwa tafadhali
 
Mie sio mtaalam na bahati mbaya sikusoma bayolojia, ila kuna sababu nyingi sana hapo kati kati, hasa kama ulikua unatumia njia za uzazi wa mpango kama sindano, vidone au kijiti, vina athiri sana upatikanaji wa mtoto pale unapokua unahitaji.

Kama hayo yote haupo basi tulia endelea na ratiba zako mambo yatakaa sawa yenyewe.
 
Mie sio mtaalam na bahati mbaya sikusoma bayolojia, ila kuna sababu nyingi sana hapo kati kati, hasa kama ulikua unatumia njia za uzazi wa mpango kama sindano, vidone au kijiti, vina athiri sana upatikanaji wa mtoto pale unapokua unahitaji.

Kama hayo yote haupo basi tulia endelea na ratiba zako mambo yatakaa sawa yenyewe, Msalimie sana Sabrina.
Nilikua natumia vijiti vilipo isha muda nilitoa mwaka juzi mwishoni, nilikaa hivi hivi mpaka Sasa mzunguko Wangu umerudi kama mwanzo Ndio tarehe Sasa sijui au Ndio vijiti Hivyoo.
 
Nilikua natumia vijiti vilipo isha muda nilitoa mwaka juzi mwishoni, nilikaa hivi hivi mpaka Sasa mzunguko Wangu umerudi kama mwanzo Ndio tarehe Sasa sijui au Ndio vijiti Hivyoo.

beingsingle amesharahisisha sana hili jambo, kuanzia siku ya 11 nakuendelea mambo yanaweza kuwa mazuri. Punguza wasiwasi pia shem nae aandaliwe kupunguza msongo wa mawazo.

Nimeshuhudia wengi wakikaa miaka miwili hadi mitatu baada ya kutoa vijiti wakiwa wanatafuta mtoto, kwako una ahueni kubwa kwa sababu siku zako zimeshakaa sawa, hatua inayofuata Muumba vyote ataimalizia. Yote Kheri
 
beingsingle amesharahisisha sana hili jambo, kuanzia siku ya 11 nakuendelea mambo yanaweza kuwa mazuri. Punguza wasiwasi pia shem nae aandaliwe kupunguza msongo wa mawazo.

Nimeshuhudia wengi wakikaa miaka miwili hadi mitatu baada ya kutoa vijiti wakiwa wanatafuta mtoto, kwako una ahueni kubwa kwa sababu siku zako zimeshakaa sawa, hatua inayofuata Muumba vyote ataimalizia. Yote Kheri
Asante Sana Mkuu
 
Back
Top Bottom