loykeys
JF-Expert Member
- Feb 19, 2014
- 1,175
- 908
angalia hii post yangu nilipost last year july 7 sasa ina miaka 2 na unusu, juzi nimetoka nayo arusha meru huko ndani ndani kwa joshua nassari njia ni off road na milima mikali lakini nimerudi zangu dar yaani mashine ipo vizuri utadhani nimeinunua leo.Mwaka tu mkuu unajiaminisha kiasi hicho?
Bado nashauri Nissan x-trail ni bonge la ndinga.