Da Pretty
JF-Expert Member
- Dec 9, 2010
- 3,059
- 1,148
Mmh... kinyaaIla mi naona mwanaume akivaa kondomu hamuna tatizo, mi huwa navaa kondomu tunado mpenz wangu akiwa hedhi
Mmh... kinyaaIla mi naona mwanaume akivaa kondomu hamuna tatizo, mi huwa navaa kondomu tunado mpenz wangu akiwa hedhi
Heri ya mwaka mpya wadau.. Leo ningependa mnisaidie kutambua madhara yatokanayo na kufanya tendo la ndoa wakati wa hedhi. Madhara kwa pande zote mbili yaani mwanaume na mwanamke!! Asanteni
ukifanya na Mwanamke yupo kwenye siku zake Za Hedhi kama atashika mimba basi mtoto atakaye zaliwa anaweza kuzaliwa na maradhi ya ukoma au wewe ukapata matatizo ya Ukosefu wa nguvu zako za kiume damu ya Mwanamke ya hedhi inaweza kukuharibia wewe nguvu zako za kiume tahadhari sana.
Mkuu hii nimefanya mimi uchunguzi wangu sio uchunguzi wa kisayansi Damu ya Mwanamke anapokuwa yupo kwenye siku zake ina madhara ukifanya nae mapenzi.Mmh! Daktari Embu nipe ufafanuzi kidogo kisayansi huu uhusiano wa damu ya hedhi na nguvu za kiume. Unakujaje hapo?
Utafiti wa kisayansi umethibitisha kuwa wakati huo mwanzo mwanamke anakuwa ni kama mgonjwa na kumuingilia kunamuumiza na ni madhara kwa mume na mke mwenyewe, kwani vidudu huenda vikaingia na mwanamke akakosa kuzaa kabisa na pengine mume mwenyewe kupata ugonjwa kwani damu huwa imebeba vidudu vingi.Mmh! Daktari Embu nipe ufafanuzi kidogo kisayansi huu uhusiano wa damu ya hedhi na nguvu za kiume. Unakujaje hapo?
Mkuu Prezidah Umeshajibiwa na mkuu kkenzki (Mtu mwenye akili timamu sitegemei afanye ilo tendo) Je wewe unaweza kumuingilia Mke wako au mpenzi wako akiwa kwenye siku zake?Hata akitumia kondom bado atapatwa na hayo magonjwa?
Ni Kweli mkuu kkenzki Mtu Mwenye akili Timamu haweza kufanya mapenzi na mke wake au mpenzi wake akiwa kwenye Damu ya Hedhi.Mtu mwenye akili timamu sitegemei afanye ilo tendo
Dah! Nashukur ndug ww pia ni mmoja wao kat ya watu walionishaur vzur kiukwel me nilishawah kufanya hvyo wk chache zlizoptaukifanya na Mwanamke yupo kwenye siku zake Za Hedhi kama atashika mimba basi mtoto atakaye zaliwa anaweza kuzaliwa na maradhi ya ukoma au wewe ukapata matatizo ya Ukosefu wa nguvu zako za kiume damu ya Mwanamke ya hedhi inaweza kukuharibia wewe nguvu zako za kiume tahadhari sana.
Nikwel ndug Lakin kiukwel kabisa mm nilishawah kufanya hvyo Lakini likuwa kama bahat mbayaMtu mwenye akili timamu sitegemei afanye ilo tendo
Nikwel ndug Lakin kiukwel kabisa mm nilishawah kufanya hvyo Lakini likuwa kama bahat mbaya