Spear
JF-Expert Member
- Jun 21, 2008
- 507
- 28
Hali sio ya kawaida tena kwa wageni wa kisilamu katika nchi za wazungu ,swali langu najiuliza hivi jee ukiwa mkiristo mweusi utasalimika na misukosuko inayokuta waisilamu katika nchi za wazungu ?kwani hivi karibuni kumetokea wimbi la wa Tanzania wakiristo katika nchi za ulaya kuvaa vidani vikubwa vyenye nembo kubwa ya msalaba huku wakiwacha vifuwa wazi ,kwakuamini wataepukana na wimbi hili la chuki za kidini lakini wakati huo huo hujisahau kuwa na wao ni wageni kama walivyo waisilamu wanaoshi katika nchi hizo.
BONYEZA HAPA CHNI
Anger as Italian MP praises Norway gunman - Europe - Al Jazeera English
BONYEZA HAPA CHNI
Anger as Italian MP praises Norway gunman - Europe - Al Jazeera English