Akijibu maswali ya papo kwa papo, Mh. Waziri Mkuu amesema anapata take home ya shng. milioni 6 za tz.. Anasema mshahara wake na wa Mh. Rais na makamu wake, hauna tofauti kubwa, haizidi tshng. Mil. 1.. Amemjibu Zito kwamba kwa kutaja uongo kiasi cha mshahara wake, Mungu atamhukumu.
Kaongezea kwamba yeye ni kati ya viongozi wanaokopa sana mabenki, pale maisha yanapomzidia. Na juzi juzi amechukua mkopo CRDB na NMB..
Nimeshangaa hata mkewe analipwa.
kwani si walisema ni siri?mta mada naona unaendelea kumuhukumu ZZK
Ndio kaamua sasa kutoa siri kwa shinikizo!!!!
Kama ZZK alikurupuka atajua pa kuangukia!!!!
Akijibu swali gumu sana la Habib Mnyaa waziri mkuu kasema mshahara wake ni miioni sita kwa mwezi na tofauti kati ya mshahara wake na rais haizidi milioni moja.
Wenye data njooni mtwambie kama kadanganya tumshitaki kwa umma.
Akijibu maswali ya papo kwa papo, Mh. Waziri Mkuu amesema anapata take home ya shng. milioni 6 za tz.. Anasema mshahara wake na wa Mh. Rais na makamu wake, hauna tofauti kubwa, haizidi tshng. Mil. 1.. Amemjibu Zito kwamba kwa kutaja uongo kiasi cha mshahara wake, Mungu atamhukumu.
Kaongezea kwamba yeye ni kati ya viongozi wanaokopa sana mabenki, pale maisha yanapomzidia. Na juzi juzi amechukua mkopo CRDB na NMB..