Mizengo Pinda: Mshahara wangu kama Waziri Mkuu hauzidi Shilingi milioni sita (6)

scatter

JF-Expert Member
Feb 15, 2013
1,667
925
Waziri Mkuu amedai bungeni muda huu kwamba mshahara wake hauzidi Tsh. 6mil na akadai wanaodai analipwa zaidi ya hapo ni uzushi mkubwa kiasi kwamba yeye ni mkopaji tu katika mabenki na kuwa mshahara huo ni pamoja na mapato ya mkewe.

Source: leo bungeni -tbc

Akijibu maswali ya papo kwa papo, Mh. Waziri Mkuu amesema anapata take home ya shng. milioni 6 za tz.. Anasema mshahara wake na wa Mh. Rais na makamu wake, hauna tofauti kubwa, haizidi tshng. Mil. 1.. Amemjibu Zito kwamba kwa kutaja uongo kiasi cha mshahara wake, Mungu atamhukumu.

Kaongezea kwamba yeye ni kati ya viongozi wanaokopa sana mabenki, pale maisha yanapomzidia. Na juzi juzi amechukua mkopo CRDB na NMB..
 
Akijibu swali gumu sana la Habib Mnyaa waziri mkuu kasema mshahara wake ni miioni sita kwa mwezi na tofauti kati ya mshahara wake na rais haizidi milioni moja.
Wenye data njooni mtwambie kama kadanganya tumshitaki kwa umma.
 
Akijibu maswali ya papo kwa papo, Mh. Waziri Mkuu amesema anapata take home ya shng. milioni 6 za tz.. Anasema mshahara wake na wa Mh. Rais na makamu wake, hauna tofauti kubwa, haizidi tshng. Mil. 1.. Amemjibu Zito kwamba kwa kutaja uongo kiasi cha mshahara wake, Mungu atamhukumu.

Kaongezea kwamba yeye ni kati ya viongozi wanaokopa sana mabenki, pale maisha yanapomzidia. Na juzi juzi amechukua mkopo CRDB na NMB..
 
Akijibu swali gumu sana la Habib Mnyaa waziri mkuu kasema mshahara wake ni miioni sita kwa mwezi na tofauti kati ya mshahara wake na rais haizidi milioni moja.
Wenye data njooni mtwambie kama kadanganya tumshitaki kwa umma.

Kudanganya au kusema uwongo
 
Akijibu maswali ya papo kwa papo, Mh. Waziri Mkuu amesema anapata take home ya shng. milioni 6 za tz.. Anasema mshahara wake na wa Mh. Rais na makamu wake, hauna tofauti kubwa, haizidi tshng. Mil. 1.. Amemjibu Zito kwamba kwa kutaja uongo kiasi cha mshahara wake, Mungu atamhukumu.

Kaongezea kwamba yeye ni kati ya viongozi wanaokopa sana mabenki, pale maisha yanapomzidia. Na juzi juzi amechukua mkopo CRDB na NMB..

Anakopa bank kwa kuwa mshahara haumtoshi??.............. sasa hizo bank zinatumia vigezo gani kumkopesha maana inavyoonekana ana struggle sasa sijui atazilipaje.
 
Back
Top Bottom