Mizengo Pinda: Mshahara wangu kama Waziri Mkuu hauzidi Shilingi milioni sita (6)

Juha wewe unayebase kwenye mapato ya figure kwa mgawanyo wa terminologies!!!!

Watu wanaangalia maisha na.kipato at per! !!!!! Mzigo kwa jumla unaotinga nao home ndio kioato cha mwezi halisi no matter mgawanyo wa maneno na sources!!!!!

Au we ukienda dukani unaanza maeneno ya nipe sukari kwa pesa ya posho,sabuni kwa sitting allowance na ada ya mtoto unalipia outfit allowance!!!!!!!!Au ukipeleka mzigo bank kila fungu lina account yake?????!!!

Acha porojo wewe wanalamba mshiko zaid ya matumizi ya kipato cha kawaida cha mfanyakazi na hawataki kukubali hata kwa maneno tu!!!!!

Hayo mahesabu peleka hazina huko!!!!!


Hujanielewa,pole yako!!!Simply namaanisha Zitto yupo sahihi.


 
Mimi siwezi kuwaamini Magamba hata siku moja, haiwezekani Mbunge avute zaidi ya Waziri mkuu. Hapa kura yangu inakwenda kwa Zitto alisema ukweli, Mpinda ni muongo.
 
Ndulu (BOT) analipwa 20m per month na hao ni watu wa kuteuliwa na rais sasa waache kutudanganya maana huo ni mshahara wa mtu wa IT TRA bila marupurupu wala rushwa. Wao wanaweza kujilipa hata m500 kwa wiki but slip wakaweka m6 nani asiyejua mambo ya Hazina ?

Tuliowahi kufanya kazi Hazina tunaelewa slip inawekwa shs laki 6 but marupurupu yanafika m2 bado safari,vikao vya menejimenti,tender board,overtime,vocha,housing allowance (hata kama unaishi kwenye nyumba yako) nk.

PINDA awe mkweli na kutokana na sera ya mikopo ya Benki kuu benki haziruhusiwi kumkata mtu more than 50% ya mshahara wake saas kama PInda amekopa CRDB na NMB je wamempa kiasi gani ambacho hawezi kukatwa zaidi ya m 1.5 ?
 
Kwa hiyo pinda anazidiwa na mawaziri pamoja na wabunge???
 
Ndulu (BOT) analipwa 20m per month na hao ni watu wa kuteuliwa na rais sasa waache kutudanganya maana huo ni mshahara wa mtu wa IT TRA bila marupurupu wala rushwa. Wao wanaweza kujilipa hata m500 kwa wiki but slip wakaweka m6 nani asiyejua mambo ya Hazina ?

Tuliowahi kufanya kazi Hazina tunaelewa slip inawekwa shs laki 6 but marupurupu yanafika m2 bado safari,vikao vya menejimenti,tender board,overtime,vocha,housing allowance (hata kama unaishi kwenye nyumba yako) nk.

PINDA awe mkweli na kutokana na sera ya mikopo ya Benki kuu benki haziruhusiwi kumkata mtu more than 50% ya mshahara wake saas kama PInda amekopa CRDB na NMB je wamempa kiasi gani ambacho hawezi kukatwa zaidi ya m 1.5 ?

nadhani umefika wakati wa kuwa na uwazi katika hili kwanini maneno ya umwa umwa?
 
samahanini kidogo..kwa mshahara wa w/mkuu aliyoutaja na ule wa wabunge wetu una tofauti gani?
 
Kwani mshahara huwa ni take home pekee? Na kwa kuwa tulielezwa kuwa mshahara wa Waziri Mkuu haukatwi kodi, ina maana kuwa milioni sita aliyoitaja Bw. Pinda ni gross salary. Je, kwa mwezi Waziri Mkuu anapata posho kiasi gani (maana hawazungumzii posho kana kwamba haitokani na kodi zetu)?
 
Kama mshahara wake ni mdogo na anaishi kwa kukopa kwenye vyombo vya kifedha(Mabenki) mfanyakazi wa kawaida na mkulima wanayo fursa hiyo? Kama anakopa benki anapozidiwa anawezaje kurejesha mikopo ya benki mbili kwa wakati? Pinda naye ni muongo maana hajui bei ya chakula, mboga, nauli, mafuta na mahitaji ya nyumbani, anakula analala tu.

kueni waelewa jamani!! amesema hiyo 6m ni salary yake ya uwaziri mkuu, pia anapata salary ya ubunge km wanavyopata wabunge wengine ambayo yasemekana ni 11m!!

ukijumlisha 6m + 11m =17m kwa mwez!! sasa kwanini ashindwe kulipa madeni kwenye mabenk mawili alikokopa?
 
hata huko kukopa anakosema ni kuwa yuko privileged, watz wengi kupata mkopo ni issue sana, achilia mbali kuruhusiwa kukopa ktk mabenki mawili tofauti kwa wakati mmoja.
 
Kweli kuna haja mtu kusikia jambo, kulitafakari na akili za watu pamoja na kuchanganya na zako. ina maana alipwa pesa ndogo kuliko wabunge?
 
Back
Top Bottom