Mnakosea kujiita WAPINZANI. Ni vyama vyote wanapinga inategemea unaongelea nini.Ukiwa SISIEMU hata mkutano Posta Mpya unaruhusiwa kufanya ila kama ukiwa mpinzani hata ukifanya meeting na ndugu zako sebuleni kwako MINJINGU Ndani ndani Difenda zitakuja "KAMA ZOTE" kukuzuia.
Viite vyama mbadala.