Yaani mimi mama alikua over protective... Vijana wanajifikiria mara tatu tatu kuja kunitafuta nyumbani... Kuna siku nimetoka buchani mkaka mtanashati tu akanisimamisha... Nikamwambia nina haraka aje anitafute nyumbani... Sijui hakuwai sikia matimbwili ya mama Paprika...
Ile anagonga hodi getini, mama ndo akaenda kufungua, mimi nikawa nachungulia kwa mbali... Kaka akamuuliza mama eti ku a dada nilikutana nae asubuhi akaniambia anakaa hapa!!! Mama akamwambia subiri, akafunga geti akaja kwangu akanivuta baluzi mpaka ndani... Akanipiga mkwara wa nguvu... Eti ukitoka nje utatafuta mama ako..
Mkaka sijui alisubiri kwa mda gani!!! [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]