Mitihani ya post intern kada ya udaktari(baada ya mafunzo tarajali), baraza haliwaamini wanachama wake?

kwandikwa

Member
Dec 9, 2016
5
11
SERIKALI TAZAMENI KWA UNDANI SUALA HILI:
Tusaidieni tafsiri ya sheria hizi.
1. "The Medical, Dental and Allied Professionals Act, No. 11 of 2017"
2. "The Medical, Dental and Allied Professionals (Internship) Regulations, 2018".
3. "The Medical, Dental and Allied Professionals (Inquiry) Regulations, 2018".
4. "The Medical, Dental and Allied Professionals (Continuing Professional Development) Regulations, 2018".
5. "The Medical, Dental and Allied Professionals (Examination and Registration Procedures) Regulations, 2018

Kwa mujibu wa mrejesho wa kikao cha Baraza la Madaktari Tanganyika kilichofanyika Mwaka 2020, kiliazimia kuwafanyisha mitihani wanafunzi wanaomaliza masomo yao Katika Vyuo mbali mbali. Mitihani hiyo ya Pre-intern na Post-intern (yaani kabla na baada ya mafunzo tarajali). Na Katika ufafanuzi ambao umepatikana ni kwamba suala hili lazima lipewe mkazo Sana maana siku hizi madaktari hawajui hata kuweka Iv Line (iv cannulation). Kwa mtazamo huu Rais wa chama Cha madaktari Tanzania alionyesha Kuwa Kuna wahitimu wengi ambao hawana skills ya udakatari (alipozungumzia suala la mhitimu mmoja kushindwa kuweka iv line).

Mimi ninachofahamu Ni kwamba Baraza la Madaktari Tanganyika(MCT) na Tume ya Vyuo vikuu Tanzania (TCU) hushirikiana pamoja kwa kukagua na kujiridhisha ubora wa Elimu ambayo hutolewa vyuoni. Elimu ya udakatari kwa ngazi ya shahada ya Kwanza hutolewa kwa muda wa si chini ya semista 10 na si zaidi ya muda wa semista 14 na Katika kipindi hiki chote vyuo hutakiwa kuhakikisha kutoa mafunzo kwa mujibu wa Curriculum zao ambazo zimekuwa approved na TCU(kwa kushirikiana na Baraza la Madaktari Tanganyikwa Moja kwa Moja ama indirect).

Mwanafunzi kufika mpaka anamaliza chuo Ni kwamba amefanya mitihani ya masomo yote yanayomuandaa Kuwa daktari na kwamba kufaulu mitihani hiyo ni kukidhi Kuwa daktari!. Mitihani hiyo hutungwa na members wa Baraza la Madaktari Tanganyika, yaani walimu ambao wengi wao Ni Madaktari na wanachama wa Baraza la Madaktari Tanganyika hutunga mitihani hiyo. Bado ninajiuliza Kuwa Kama Baraza limeamua kuanzisha mitihani hii(ya pre na post intern) Nini maana yake?

Ni kwamba hawawaamini walimu(ambao pia ni wanachama wa Baraza Hilo) ama vyuo vya wanafunzi Hawa? Au Baraza haliwaamini wanachama wake ambao kimsingi ndiyo walimu wa wanafunzi Hawa!. Wanachama wa Baraza ndiyo wanahusika Kama external examiners kwa mitihani ya Clinical Exams na Oral Examinations, wanam-approve mwanafunzi Kuwa kafauru, then hao hao wanakuja kusema hatuna uhakika na Elimu yake, tuna mashaka nayo.

Sikatai Kuwa hakuna tatizo la wahitimu wengi Kuwa hawako vizuri Katika skills, lakini tuangalie kiini Cha tatizo, Kama wanafunzi hawajui vitu na wamefaulu kwanini tusiseme tatizo ni la mwalimu?(Na Hapa Kuna harufu yw Rushwa).

Kuna wazazi huko wameuza ng'ombe, mashamba na mazao mengine ili mtoto apate Elimu, halafu kwa sababu ya uzembe na ubinafsi wa watu wachache ndiyo usababishe hatima ya mtu hutu kutokufikiwa. Mh Rais ambaye amekulia Katika mazingira ya familia za chini/kawaida anaifahamu Hali hii, jinsi ambao wazazi wanaweza kupambana kumsomesha mtoto, yeye anaweza pia kuguswa na Jambo hili maana anayajua maumivu na mapito ya namna hii.

Huwezi ukamfundisha mwanafunzi, ukampa mitihani yote na ukaleta external examiners wakamfanyisha mtihani halafu akafauru bado unasema ha-qualify, Hana skills.
Tusidanganyane, udaktari Ni mgumu Sana na Ni kozi nyeti Sana, huwezi test understanding ya mwanafunzi kwa maswali 500 hata kwa kozi mojazndiyo maana kwenye miaka ya clinicals Kuna junior clerkship rotation na senior clerkship rotation. Huwezi kumu-assess mwanafunzi kwa maswali 150 Tena ya MCQs kwa kozi sijui nne basic.

Mimi nafkr Kama Kuna tatizo Ni vyema kusolve mzizi wa tatizo na siyo kuanza kupambana na tatizo huku mizizi ukiiacha.
Nalishauri Baraza kuanza kutatua mizizi ya tatizo na siyo matokeo ya tatizo, haiwezekan serikali imsomeshe mwanafunzi kwa miaka mitano imlipie Ada, fedha ya kujikimu, tafiti na mahtaji mengne halafu anapelekwa pelekwa tu bila kujua vitu halafu mwisho wa siku unasema hajui hivyo afanye mitihani Kwanza. Inasikitisha Sana, uzembe wa wakufunzi na kutafta maslahi Kuna tufikisha hapa.
Naiomba serikali kuingilia Kati na kuchunguza vitendo hivi wmbavyo ndani yake Kuna harufu ya Rushwa na vimelenga kuwakandamiza watu wa hali ya chini.

Serikali inatumia pesa nyingi kufadhili wanafunzi Hapa nchini, hivyo Yeyote anayechangia kuzorotesha ubora wa Elimu hiyo Ni lazima ashughulikiwe, hawezi mh Rais Dkt John Pombe Magufuli kupambana kutafta pesa wanafunzi wasome halafu watu wachache kwa maslahi yao wa-compromise na quality ya Elimu hiyo halafu wanalipwa na fedha.

Mh Waziri wa Elimu na waziri wa Afya Kama watahitaji Clarification juu ya Jambo hili nikotayari kutoa Clarification hiyo.
Ni Mimi niliyesauti ya wanyonge wanyongwao.
Email: ayubumathi1@gmail.com
 
Mitihani yote ya kumalizia semister itoke sehemu moja nyeti kwa mujibu wa curriculum.

Habari ya kwamba kila chuo wanatunga mtihani wao sio sawa sawa na hapo dhana ya kwamba chuo hakuna kufeli inakuja hapo japo kuwa kufeli kupo.

Kama tunategemea madaktari wa vyuo vyote waje kufanya kazi katika Tanzania hii moja basi na mitihani itoke sehemu moja kama form five na six hiyo watu watazidi kuheshimu.

Sio mwalimu anatoa tu maksi kwa sababu huyu ni demu wake hiyo haikubaliki, mamlaka makubwa wamepewa.

Njia ya kupunguza rushwa ni kwamba mitihani itoke sehemu moja tu, hii itapunguza rushwa japokuwa haiwezi kuondoa kabisa
 
Pole sana Daktari! Naona umecheleweshewa sana leseni.

Kusoma kwa semister 10 sio ushahidi kwamba ujanja haujafanyika, ujanja upo mwingi tu umeshamiri kila sehemu.

Intern yenyewe baadhi yenu mnaifanya kijanja kijanja, bora mumewekewa huu mtihani wa taaluma ili angalau iwepo sababu maalumu ya kupewa leseni baada ya kufaulu.

Taaluma zingine za Afya kama Pharmacy huu utaratibu wa mitihani upo toka siku nyingi na hawalalamiki, na kipindi hiki utaratibu umeboreshwa na kuwa mgumu. Watu wanapambana sana bila kulalamika, unakuta mtu anarudia mtihani zaidi ya mara tatu hadi afaulu ili apate leseni.

Madaktari tulieni, huu utaratibu mzuri. Mlipokuwa Intern mlikuwa kwenye practice, kwa hiyo lazima mpimwe kama mumeiva vizuri kabla ya kupewa leseni zenu.
 
Tatizo siyo ulaya na humo kwingne wanafanya au kada zingne wanafanya, ingekuwa hiyo ndiyo sababu ya msingi tungetangaza na sisi Kuwa Kuna covid19, na tufunge mipaka na lockdown zngne!
Anyway tuachane na hayo, lkn hoja hpa ya msingi Ni kwamba unafkr kada ya udaktari Ni sawa na kada zingne? Kwamba mtu umpatie maswali hata 300 then ndo utaprove Kuwa huyu mtu anajua? Every patient is an independent book to read if not an examination!.
 
Ukweli na uhalisia wa hali ya mambo ni kwamba Madaktari wengi wa siku hizi ni kajanjaa tu. Mifano ipo mingi, angalia madaktari walio zalishwa na chuo kama cha St Francis ifakara! Hopeless kabisa they know nothing and yet we call them Doctors. Hongera kwa baraza kufikiria kuanzisha mitihani hio ili kudhibiti madaktari waliopata degree za chupi (Kwa kutoa rushwa ya ngono) na walio pata degree kwa pesa.
SERIKALI TAZAMENI KWA UNDANI SUALA HILI:
Tusaidieni tafsiri ya sheria hizi.
1. "The Medical, Dental and Allied Professionals Act, No. 11 of 2017"
2. "The Medical, Dental and Allied Professionals (Internship) Regulations, 2018".
3. "The Medical, Dental and Allied Professionals (Inquiry) Regulations, 2018".
4. "The Medical, Dental and Allied Professionals (Continuing Professional Development) Regulations, 2018".
5. "The Medical, Dental and Allied Professionals (Examination and Registration Procedures) Regulations, 2018

Kwa mujibu wa mrejesho wa kikao cha Baraza la Madaktari Tanganyika kilichofanyika Mwaka 2020, kiliazimia kuwafanyisha mitihani wanafunzi wanaomaliza masomo yao Katika Vyuo mbali mbali. Mitihani hiyo ya Pre-intern na Post-intern (yaani kabla na baada ya mafunzo tarajali). Na Katika ufafanuzi ambao umepatikana ni kwamba suala hili lazima lipewe mkazo Sana maana siku hizi madaktari hawajui hata kuweka Iv Line (iv cannulation). Kwa mtazamo huu Rais wa chama Cha madaktari Tanzania alionyesha Kuwa Kuna wahitimu wengi ambao hawana skills ya udakatari (alipozungumzia suala la mhitimu mmoja kushindwa kuweka iv line).

Mimi ninachofahamu Ni kwamba Baraza la Madaktari Tanganyika(MCT) na Tume ya Vyuo vikuu Tanzania (TCU) hushirikiana pamoja kwa kukagua na kujiridhisha ubora wa Elimu ambayo hutolewa vyuoni. Elimu ya udakatari kwa ngazi ya shahada ya Kwanza hutolewa kwa muda wa si chini ya semista 10 na si zaidi ya muda wa semista 14 na Katika kipindi hiki chote vyuo hutakiwa kuhakikisha kutoa mafunzo kwa mujibu wa Curriculum zao ambazo zimekuwa approved na TCU(kwa kushirikiana na Baraza la Madaktari Tanganyikwa Moja kwa Moja ama indirect).

Mwanafunzi kufika mpaka anamaliza chuo Ni kwamba amefanya mitihani ya masomo yote yanayomuandaa Kuwa daktari na kwamba kufaulu mitihani hiyo ni kukidhi Kuwa daktari!. Mitihani hiyo hutungwa na members wa Baraza la Madaktari Tanganyika, yaani walimu ambao wengi wao Ni Madaktari na wanachama wa Baraza la Madaktari Tanganyika hutunga mitihani hiyo. Bado ninajiuliza Kuwa Kama Baraza limeamua kuanzisha mitihani hii(ya pre na post intern) Nini maana yake?

Ni kwamba hawawaamini walimu(ambao pia ni wanachama wa Baraza Hilo) ama vyuo vya wanafunzi Hawa? Au Baraza haliwaamini wanachama wake ambao kimsingi ndiyo walimu wa wanafunzi Hawa!. Wanachama wa Baraza ndiyo wanahusika Kama external examiners kwa mitihani ya Clinical Exams na Oral Examinations, wanam-approve mwanafunzi Kuwa kafauru, then hao hao wanakuja kusema hatuna uhakika na Elimu yake, tuna mashaka nayo.

Sikatai Kuwa hakuna tatizo la wahitimu wengi Kuwa hawako vizuri Katika skills, lakini tuangalie kiini Cha tatizo, Kama wanafunzi hawajui vitu na wamefaulu kwanini tusiseme tatizo ni la mwalimu?(Na Hapa Kuna harufu yw Rushwa).

Kuna wazazi huko wameuza ng'ombe, mashamba na mazao mengine ili mtoto apate Elimu, halafu kwa sababu ya uzembe na ubinafsi wa watu wachache ndiyo usababishe hatima ya mtu hutu kutokufikiwa. Mh Rais ambaye amekulia Katika mazingira ya familia za chini/kawaida anaifahamu Hali hii, jinsi ambao wazazi wanaweza kupambana kumsomesha mtoto, yeye anaweza pia kuguswa na Jambo hili maana anayajua maumivu na mapito ya namna hii.

Huwezi ukamfundisha mwanafunzi, ukampa mitihani yote na ukaleta external examiners wakamfanyisha mtihani halafu akafauru bado unasema ha-qualify, Hana skills.
Tusidanganyane, udaktari Ni mgumu Sana na Ni kozi nyeti Sana, huwezi test understanding ya mwanafunzi kwa maswali 500 hata kwa kozi mojazndiyo maana kwenye miaka ya clinicals Kuna junior clerkship rotation na senior clerkship rotation. Huwezi kumu-assess mwanafunzi kwa maswali 150 Tena ya MCQs kwa kozi sijui nne basic.

Mimi nafkr Kama Kuna tatizo Ni vyema kusolve mzizi wa tatizo na siyo kuanza kupambana na tatizo huku mizizi ukiiacha.
Nalishauri Baraza kuanza kutatua mizizi ya tatizo na siyo matokeo ya tatizo, haiwezekan serikali imsomeshe mwanafunzi kwa miaka mitano imlipie Ada, fedha ya kujikimu, tafiti na mahtaji mengne halafu anapelekwa pelekwa tu bila kujua vitu halafu mwisho wa siku unasema hajui hivyo afanye mitihani Kwanza. Inasikitisha Sana, uzembe wa wakufunzi na kutafta maslahi Kuna tufikisha hapa.
Naiomba serikali kuingilia Kati na kuchunguza vitendo hivi wmbavyo ndani yake Kuna harufu ya Rushwa na vimelenga kuwakandamiza watu wa hali ya chini.

Serikali inatumia pesa nyingi kufadhili wanafunzi Hapa nchini, hivyo Yeyote anayechangia kuzorotesha ubora wa Elimu hiyo Ni lazima ashughulikiwe, hawezi mh Rais Dkt John Pombe Magufuli kupambana kutafta pesa wanafunzi wasome halafu watu wachache kwa maslahi yao wa-compromise na quality ya Elimu hiyo halafu wanalipwa na fedha.

Mh Waziri wa Elimu na waziri wa Afya Kama watahitaji Clarification juu ya Jambo hili nikotayari kutoa Clarification hiyo.
Ni Mimi niliyesauti ya wanyonge wanyongwao.
Email: ayubumathi1@gmail.com
 
Hahaha
wakati kozi zingine wakilalamika kuhusu hii mitihani ,mlikua "busy" na issue zenu hamkutaka hata kutoa sapoti tena kuna waliokua wanapiga na vigelegele Tele.

Wakafanya ,wakatoboa. zamu yenu sasa mfanye na nyinyi.

nasema ivi, tena mkaziwe kwerikweriii, mcqs 300 hazitoshi ziwe hata 1000, mtolewe ya toka first year huko. Passmark iwe 97
 
Mm naona Kwandikwa umenena vema Sana japo watu hawawez elewa mzk wa MD ulvo
Baraza la madaktari pamoja na wizara linapaswa kushirikiana na TCU kuhakikisha ubora wa Elimu uko vzur
Masuala ya pre au post intern exam yanaweza yasiwe kigezo Cha kwamba huyu alyehitimu n daktar Bora au lah
Ikumbukwe madaktar ni moja ya sekta nyeti Sana heb chukulia mtu kafaul MCQ 150 za MCT lakn bado ukmpeleka kwenye procedure hawez ktu hv mnahs hiyo inamsaada gan s n Bora kutokuwa kabsa na mtihan
 
Mkuu hata mie kuna kitu kinakeraga BASI tu naona sikufiti katika ulimwengu Wa wasomi.
Na bado hapo kazi haijatangazwa tRNA upigwe mtihani yaani wewe muda wote uwe fiti tu. Nafasi 20 watu wameitwa 90000 lazima mpigwe mithani kama minne ivi kuwachuja . ila wapo wanaoenjoi mifumo hii binafsi kwangu naona ni kuchoshana tu.
Walimu hawapigwi usahili ni kupangiwa tu. Mana wamesoma wakamaliza na wakapewa na cheti na mamlka husika. Kama uzoefu utaupatia hukohuko. Nafasi ya mbunge ama raisi ama waziri haina uzoefu Wa kazi na ni nyeti kwa maendelea ya nchi ila huku chini kuku na mbwa wanasumbuliwaje
 
Hahaha
wakati kozi zingine wakilalamika kuhusu hii mitihani ,mlikua "busy" na issue zenu hamkutaka hata kutoa sapoti tena kuna waliokua wanapiga na vigelegele Tele.

Wakafanya ,wakatoboa. zamu yenu sasa mfanye na nyinyi.

nasema ivi, tena mkaziwe kwerikweriii, mcqs 300 hazitoshi ziwe hata 1000, mtolewe ya toka first year huko. Passmark iwe 97
Unafikiri watu Kama sisi by that time tulikuwepo? Hata Kama tulikuwepo je tulikuwa tushajiunga na kozi hizi? Mm binafsi siwezi kuzungumzia kitu nisichokifahamu, so nimezungumza now kwa sababu Ni kitu ambacho nimekiona na kukifaham kwa undani zaidi!
 
Unafikiri watu Kama sisi by that time tulikuwepo? Hata Kama tulikuwepo je tulikuwa tushajiunga na kozi hizi? Mm binafsi siwezi kuzungumzia kitu nisichokifahamu, so nimezungumza now kwa sababu Ni kitu ambacho nimekiona na kukifaham kwa undani zaidi!
Sawa mkuu..
 
Hahaha
wakati kozi zingine wakilalamika kuhusu hii mitihani ,mlikua "busy" na issue zenu hamkutaka hata kutoa sapoti tena kuna waliokua wanapiga na vigelegele Tele.

Wakafanya ,wakatoboa. zamu yenu sasa mfanye na nyinyi.

nasema ivi, tena mkaziwe kwerikweriii, mcqs 300 hazitoshi ziwe hata 1000, mtolewe ya toka first year huko. Passmark iwe 97
Mkuu usipigilie sana utazidisha maumivu
 
Pole sana Daktari! Naona umecheleweshewa sana leseni.

Kusoma kwa semister 10 sio ushahidi kwamba ujanja haujafanyika, ujanja upo mwingi tu umeshamiri kila sehemu.

Intern yenyewe baadhi yenu mnaifanya kijanja kijanja, bora mumewekewa huu mtihani wa taaluma ili angalau iwepo sababu maalumu ya kupewa leseni baada ya kufaulu.

Taaluma zingine za Afya kama Pharmacy huu utaratibu wa mitihani upo toka siku nyingi na hawalalamiki, na kipindi hiki utaratibu umeboreshwa na kuwa mgumu. Watu wanapambana sana bila kulalamika, unakuta mtu anarudia mtihani zaidi ya mara tatu hadi afaulu ili apate leseni.

Madaktari tulieni, huu utaratibu mzuri. Mlipokuwa Intern mlikuwa kwenye practice, kwa hiyo lazima mpimwe kama mumeiva vizuri kabla ya kupewa leseni zenu.
Na kuhusu pre intern je, inamaana gani
 
Back
Top Bottom