Kauli ya Katibu Mtendaji wa NECTA, Dr Rose Ndalichako, eti mitihani ya darasa la Saba kusahihishwa na machine, ziitwazo Optical Marker Reader (OMR) tuta succeed kweli? au because primary ni ya kuchagua tu?
sula siyo usaishaji,ni mfumo wa mitihani yenyewe,na uchakachuaji uliokithiri,mtoto anafaulu kwa wastani wa B,halafu hata kuandika jina lake hawezi,can u imagine?
nadahni ni hatua nzuri ya maendeleo ya kielimu lakin swali la kujiuliza je hao watahiniwa wameandaliwa vya kutosha kula kijijin kwa bibi na kula huko mjini?isije watu wakafelishwa kutokana na maandalizi mabaya.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.