Mitihani mipya kwa Waziri mpya wa Nishati kuhusu tenda na mikataba atayoikuta Wizarani

Freed Freed

JF-Expert Member
Jun 27, 2017
6,232
6,479
Nauona mitihani mkubwa kwa waziri Dotto Biteko kuhusu Nishati.

Hii Wizara ina upigaji mwingi kwa watu wasio waadilifu ila kwa mwaadilifu wala hakuna shida wizarani.

Sasa, Waziri mpya mfano akikuta mirija ya tender na mikataba ya Waziri aliyehamishwa atafanyaje?

Kama kuna dalili ya kutokuwepo uzalendo hapo awali atanyamaza?

Je, mawaziri hawa watawasiliana kidili na kipigaji ili wote kufaidi asali?

Hakutaibuka uadui miongoni mwao wasipokubaliana masuala kadhaa?
 
Kwa akili ya kawaida unaona Dotto anaweza kuingilia madili ya upigaji ya Makamba?

Mama mwenyewe kashikwa pabaya na hawa watoto wa wenye CCM yao. nape, Makamba, rizone. hawa in untouchable kama makonda na Magu.

Huyoo Dotto ni kibaraka palee yeye mwenyewe haamini kapataje pataje hiyoo nafasi, ukiingia ndani zaidi utashangaa hao kina makamba ndo wamemchomeka kwenye hio nafasi kwa vimemo.
 
kwa akili ya kawaida unaona Dotto anaweza kuingilia madili ya upigaji ya makamba?

mama mwenyewe kashikwa pabaya na hawa watoto wa wenye ccm yao. nape,makamba,rizone. hawa in untouchable kama makonda na magu.

huyoo dotto ni kibaraka palee yeye mwenyewe haamini kapataje pataje hiyoo nafasi, ukiingia ndani zaidi utashangaa hao kina makamba ndo wamemchomeka kwenye hio nafasi kwa vimemo.
Duuuuhh, kwamba kina ...........................wanaweza kupanga nani awe waziri na sio Rais?
 
Nauona mitihani mkubwa kwa waziri Dotto Biteko kuhusu Nishati.

Hii Wizara ina upigaji mwingi kwa watu wasio waadilifu ila kwa mwaadilifu wala hakuna shida wizarani.

Sasa, Waziri mpya mfano akikuta mirija ya tender na mikataba ya Waziri aliyehamishwa atafanyaje?

Kama kuna dalili ya kutokuwepo uzalendo hapo awali atanyamaza?

Je, mawaziri hawa watawasiliana kidili na kipigaji ili wote kufaidi asali?

Hakutaibuka uadui miongoni mwao wasipokubaliana masuala kadhaa?
Wala usiumize kichwa, wote hao lao ni mmoja. Hakuna atakachofanya zaidi ya yeye kujitengenezea mrija wake pembeni.
 
Kwa akili ya kawaida unaona Dotto anaweza kuingilia madili ya upigaji ya Makamba?

Mama mwenyewe kashikwa pabaya na hawa watoto wa wenye CCM yao. nape, Makamba, rizone. hawa in untouchable kama makonda na Magu.

Huyoo Dotto ni kibaraka palee yeye mwenyewe haamini kapataje pataje hiyoo nafasi, ukiingia ndani zaidi utashangaa hao kina makamba ndo wamemchomeka kwenye hio nafasi kwa vimemo.
Yaani dogo aliingia pale kufanikisha dili za hewa baridi ule mradi wa trillioni Mia kidogo
 
Anatakiwa avunje bodi aanze UPYA,

Au ashirikiane nao wakati akijiandaa na mashambulizi Kutoka Kwa wananchi wazalendo.
 
Nauona mitihani mkubwa kwa waziri Dotto Biteko kuhusu Nishati.

Hii Wizara ina upigaji mwingi kwa watu wasio waadilifu ila kwa mwaadilifu wala hakuna shida wizarani.

Sasa, Waziri mpya mfano akikuta mirija ya tender na mikataba ya Waziri aliyehamishwa atafanyaje?

Kama kuna dalili ya kutokuwepo uzalendo hapo awali atanyamaza?

Je, mawaziri hawa watawasiliana kidili na kipigaji ili wote kufaidi asali?

Hakutaibuka uadui miongoni mwao wasipokubaliana masuala kadhaa?
Nakumbuka januari kuingia tu akaingia na wahindi tanesco kuweka mfumo wa software ya management wala hapakua na tenda imetolewa. Kwanza wapo watz wenye uwezo mkubwa tu. Akaja na madudu ya kuleta meter za kuingiza umeme ukilipia tu. Kuna madudu mengi tu hatuwezi kutaja yote. And then maharage wake akatosa wosia wa jpm kushudha bei ya umeme ili umma wasifaidike na uwekezaji mkubwa wa umma. Bila pia kujali umeme wa juu kupindukia ni kikwazo kwa wawekezaji. Yaani mapato yakiongezeka tanesco kutokana na kushuka gharama ya uzalishaji kwa chanzo cha hydro vigogo waweze kunufaika wao tu kwa mishahara na marupurupu manono na upigaji.
Dr. Biteko ana mengi kurekebidha. Tunajenga uchumi wa wananchi sio uchumi wa vigogo wachache.
 
Nakumbuka januari kuingia tu akaingia na wahindi tanesco kuweka mfumo wa software ya management wala hapakua na tenda imetolewa. Kwanza wapo watz wenye uwezo mkubwa tu. Akaja na madudu ya kuleta meter za kuingiza umeme ukilipia tu. Kuna madudu mengi tu hatuwezi kutaja yote. And then maharage wake akatosa wosia wa jpm kushudha bei ya umeme ili umma wasifaidike na uwekezaji mkubwa wa umma. Bila pia kujali umeme wa juu kupindukia ni kikwazo kwa wawekezaji. Yaani mapato yakiongezeka tanesco kutokana na kushuka gharama ya uzalishaji kwa chanzo cha hydro vigogo waweze kunufaika wao tu kwa mishahara na marupurupu manono na upigaji.
Dr. Biteko ana mengi kurekebidha. Tunajenga uchumi wa wananchi sio uchumi wa vigogo wachache.
Na hapo uadui ndipo utaibuka Kati ya watoto wa Kiswahili na lake zone
 
Sasa, Waziri mpya mfano akikuta mirija ya tender na mikataba ya Waziri aliyehamishwa atafanyaje?
Waziri aliyetoka hapo kwa ile "kitu mbaya" ni hatari sana na ipo ktk damu!
Biteko ukitaka heshima usimwangalie mtangulizi wako usoni wala usiangalie kule "chalinze", wewe vunja mikataba haramu yote1
 
Waziri aliyetoka hapo kwa ile "kitu mbaya" ni hatari sana na ipo ktk damu!
Biteko ukitaka heshima usimwangalie mtangulizi wako usoni wala usiangalie kule "chalinze", wewe vunja mikataba haramu yote1
Uzuri ni Kama Rais kashutukia mchezo
 
Back
Top Bottom