Elfu 50 haiwezi kuokoa uhai wa mgonjwa. Nenda baa kunywa bia za 30,000 wakati unapanga na kupangua jinsi ya kuongeza pesa ya kudeal na hizo ishu zote tatu.
Kwanza unaongea na Bi mkubwa unamplease kisha mnapitisha wote maamuzi kumsaidia mgonjwa. Asipoelewa unampa mama 50% ya maitaji kisha unarudi kwa mgonjwa. Bila kuchelewa unawacheki wa shule wasimzingue dogo.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.